zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,039
- 3,613
Habari za asubuhi wakuu,
Kwa anayefahamu zilipo ofisi za kampuni ya Bunwani enterprises, kampuni ya kuchimba visima naomba msaada.
Ipo Dar es Salaam, sijajua ni Dar sehemu gani.
Kwa anayefahamu zilipo ofisi za kampuni ya Bunwani enterprises, kampuni ya kuchimba visima naomba msaada.
Ipo Dar es Salaam, sijajua ni Dar sehemu gani.