Wadau bata mzinga wangu sasa wameanza kutaga na nimeanza kutotolesha.Kwasasa wamebaki vifaranga 11 wa wiki 3 nauza.Pia ntakua na vifaranga wa peking ducks kama mtu anapenda anaweza weka oda.Nipo Morogoro na shamba lipo bigwa.Naweza kuwaleta popote kwa Mteja.Ni PM kawa utapenda kuwanunua au nitext no 0659300000.