SNL SOLAR CO. LTD tumejikita katika kuboresha mifumo ya solar kwa kutumia technologia ya kisasa.
Tunafunga SOLAR kwa mteja ambaye hana umeme wa tanesco lakini pia tunafunga BACKUP system kwa...
Iris Sat plus super slim design
49 INCHES: 4K ultra HD
Sound Bar: Dolby digital ( powerful sounds )
3 HDMI & 2 USB PORTS
Android system: Wifi/Ethernet
Tv is in excellent condition and fully...
Ni basi la abiria au kwa kubebea wanafunzi.lina hali nzuri Sana liko hapa Mwanza njoo Leo ujipatie kwa bei ya Tshs. 25 milioni Tu.
Anaehitaji tuwasiliane kwa Namba 0742159555
nataka nunua gari kwa installment pls let me know wapi inaweza kwa kuanza nitalipia 3mil but gari isizidi 6mil.
asante
nitafute in box nitakujibu asante
Je unahitaji huduma mojawapo kati ya zifuatazo katika nyumba yako?
Kufanyiwa Wiring
Michoro ya Wiring (Electrical wiring drawing).
Ukadiriaji wa gharama katika manunuzi ya vifaa vya umeme katika...
Natafuta chumba cha kupanga self mwanza maeneo ya nyegezi Au Kona ya bwiru pasiasi nyamanoro Au ilemela. nyumba yenye usalama karibu na barabara ningefurahi zaid ikiwa na uzio.
Jaman madalali...
Viwanja viwili vinauzwa kigamboni mwembe mdogo kilomita mbili kutoka dege house project.
30*30 tshs 10 milions na 30*60 kikiwa na tofali 700 kinauzwa 17 mls.
Vina documents za serikali ya mtaaa...
0753816313 Mwenye namba hiyo hapo anahitaji pikipiki ya kununua, iliyotumia muda mfupi, mnunuzi ni mkazi wa Kibaha kwa Mathias, kwa mwenye nayo waweza mpigia, muelewane.
Hi
posting again
finance is available for any good viable project
finance start from $5million and on
our requirement is
need to have your local bank or government guarantee only.
pls...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.