Habari wakuu, engine ya gari yangu ina matatizo,hivo nmeamua kutafuta nyingine, gari ni ya mwaka 1996, engine ya 4,600 cc, HSE ( high specified edition). Kwa anaejua wapi naweza pata ntashukuru sana.
Poleni na majukumu wanajukwaa wenzangu, lodge ipo sokoni ni mpya na bado haijaanza kufanya kazi.
Ipo eneo la Mbagala Kizinga umbali wa mita 50 kutoka barabarani, wiring ya umeme imeshafanyika...
Mwenye kufahamu tafadhali naomba kujuzwa.Ni aina ipi kati ya hizi itanifaa kusafiria kifamilia,kwa mfano kutoka Dodoma mpaka mmoshi kwenda Na kurudi angalau Mara mbili kwa mwaka na mizunguko...
Mbuzi hao wanaoonekana ni wa maziwa isipokuwa huyo anayenyonyesha yeye amekuwa crossed ni uzao wake wa 1 baba wa mtoto ni Dume picha ya 2 toka kushoto juu ni pure Norwegian ni mkubwa sana...
Naomba nitoe tena tangazo hapa kwa wenye taarifa zaauzaji wa Bajaji used kutoka nje. Nasema kutoka nje kwa sababu za hapa bongo zinakuwa zimechoka sana. Ila kama kuna anaeuza ya kwake hapa bongo...
Ving'amuzi vya continental vimeshuka bei ni elfu 40 tu hapo inajumuisha dikoda na antenna
mwezi.mmoja bureee
halaf vifurushi nafuu.kipo.mpaka cha 4000 yaani raha. sana
Shamba linauzwa liko kijiji cha Msowero wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro, linaukbwa wa ekari 47.8 limeshapimwa na linahati. kuna nyumba na barabara shamba linafaa sana kwa kilimo cha umwagiliaji...
Shamba linauzwa liko kijiji cha Msowero wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro, linaukbwa wa ekari 47.8 limeshapimwa na linahati. kuna nyumba na barabara shamba linafaa sana kwa kilimo cha umwagiliaji...
Site ya Kujenga Mnara wa simu Inapatikana(KODISHWA). Iko na Grid Kubwa ya Umeme(High T. Power)
Pia kuna Transformer papo hapo kwenye Site.
Utakuwa umeokoa gharama za kujenga line Kubwa kwa ajili...
Surveyed Plot inauzwa eneo la Ilala-Buyuni lililopo 29Kms kutoka Clock tower City Centre. Ukubwa wa Plot husika ni mita za mraba 1,120. Lina nyaraka zote halali za serikali (Land registry title...
SNL SOLAR CO. LTD tumejikita katika kuboresha mifumo ya solar kwa kutumia technologia ya kisasa.
Tunafunga SOLAR kwa mteja ambaye hana umeme wa tanesco lakini pia tunafunga BACKUP system kwa...
Je ungependa kujua mahali lilipo gari lako bila hata kumuuliza dereva??
Je ungependa kujua tabia/undeshaji wa dereva wako awapo barabarani??
Je ungependa kujua matumizi ya mafuta ya gari lako na...
Habari wanaJF,
Nauza TV used aina ya homebase;
Ni nchi 21
Model hb-2143us
On screen timer
Hyper band tuner
Game $ calendar
Teletex function
240 minutes sleep timer
- Screenshots
Contacts...
Shamba linauzwa liko kijiji cha Msowero wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro, linaukbwa wa ekari 47.8 limeshapimwa na linahati. kuna nyumba na barabara shamba linafaa sana kwa kilimo cha umwagiliaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.