Nina Chaja ya laptop ambayo inaweza tumika kwenye umeme wa Gari,Battery ya Gari au Solar(input 11V to 14V) kwa ajil ya kuchajia laptop,inaweza tumika kwa aina 8 tofauti za laptop(ina pin 8 so...
Tunataka mtu 1 mwenye Diploma/degree ya Records Management/ Archives kwa ajili ya assigment fupi ya up to 2moths.
Awe Dar na awe available immediately.
Kama hujasome hii please us pm.
Pm au weka...
Jamani eeh,mimi mjasiriamali mdogo mwanzo nilinunua line humu nimetapeliwa....anyway mimekupotezea. Sasa nimejipanga upya,nahitaji laini mbili mpya za m pesa na T.pesa ukijihisi tapeli hii thread...
Habari... Natafuta ukumbi uliotulia na uliopo sehemu salama na inayofikika kirahisi Arusha Mjini kwa ajili ya Kuendesha seminar kwa wiki mbili.
Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 30 tu.
Wanadu wa jukwaa, yeyote anayeweza kunisaidia mahala nitakapoweza kukipata kifaa hiki ndani ya TANZANIA atakuwa amenisaidia kwani nimeshatafuta sana kwenye maduka ya electronics bila mafanikio
Fursa kwa wafugaji wa kuku wa mayai, nahitaji kununua nayai kwa bei ya jumla niko mtwara uwe tayari kunisafirishia kwa basi cost za usafiri za kwangu, serious seller PM please!
NB:kwa wauzaji wa...
Kama heading inavyoeleza , kwa mwenye Uwezo wa ku edit na kumalizia research proposal then research nzima hapo baadae aje PM faster .. ! Guidelines zote utapewa
habari,
Rejea kichwa cha habari hapo juu...
Budget kwa vits iliyosimama ni 5 mil
Budget kwa swift iliyosimama ni 4.5 mil
whatsapp pictures kwa 0712 507060, nipo Dar
karibuni
Iwe Namba D, kwenye kundi la ama Brevis(250), Carina(TI or SI), Rav 4, Crown, Progress, Wish, Noah(SR40)
Weka taarifa zifuatazo:-
Bei.................,
Aina ya Gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.