Shamba linauzwa Muheza Tanga

Shamba linauzwa Muheza Tanga

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,056
Reaction score
1,867
Linaukubwa wa ekari tano bado ardhi yake ni bikra hajawahi kupandwa chochote inafaa kwa mazao yote yanayolimwa mkoa wa tanga hususani muheza. Mawasiliano 0716238374, 0683361843,
 
Linaukubwa wa ekari tano bado ardhi yake ni bikra hajawahi kupandwa chochote inafaa kwa mazao yote yanayolimwa mkoa wa tanga hususani muheza. Mawasiliano 0716238374, 0683361843,
Weka bei yake apa
Eneo lilipo shamba kwa mana kata , kijiji
 
Shamba lipo maeneo ya kwemnyefu kata ya ngomeni kila ekari inauzwa kwa TSh, 700,000/=(Laki saba) ila mongezi yapo.
 
Back
Top Bottom