Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau Habari za wikiend na poleni na misukosuko ya maisha, Ninahitaji laptop nzuri aina ya DELL yenye specification angalau hizi HDD kuanzia 500GB RAM 3-4 GB Processor 5i Na vingine kama kuna Mtu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
*OFA OFA OFA OFA* *PEARL SOAP* ni sabuni ambayo inatatua matatizo yako ya ngozi yaliyokuwa yanakusumbua kwa muda mrefu bila kupata ufumbuzi sabuni hii ni sabuni ya asili ambayo haina kemikali...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamvi Natafuta hii display inayoonyesha radio/dvd na a/c buttons. Kama unayo weka hewani na bei yako.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
.....................................thread deleted....
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hallo. Nahitaji kutengeneza Bango Sio la Biashara, hapana. TANGAZO/NOTICE. Lenye Maneno kama 20. Material yatakayo tumika ni kitambaa tu. Naomba Mwenye kufanya mambo ya Graphic designing anipe...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
NATAFUTA SOKO LA KUUZA MAYAI YA KUKU WA KIENYEJI PAMOJA NA KUKU WENYEWE, JE LINAPATIKANA?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cannone D 1100 inauzwa ina Lens 18mm mpaka 55mm ipo na charger bei Tsh 700,000, Nikon D 50 lens 18 mpaka 55mm tsh 500,000, Cannone D 1000 lens 18mm mpaka 55mm tsh 600000 na Nikon Lens 55mm mpaka...
0 Reactions
4 Replies
851 Views
Tusafiri pamoja kutembelea mji wa kale wa Bagamoyo Jumamosi ya tarehe 24/9 kwa gharama ya shilingi 15,000/- tu ikijumuhisha Nauli ya kwenda na kurudi, gharama ya mwongozaji (guide) na breakfast...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu wanaJF..: Nahitaji mashine tajwa, kwa mwenye ufahamu kuhusu wapi naweza kupata kwa Dasilamu, aina (size) zake na bei tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
naomba tujuzane nyie mnatumia dawa au kemikali gani kufulia ili kuongeza ufanisi na pia kemikali gani unatumia kung'arisha nguo? unaweza kunitumua pm au kuandika moja kwa moja
0 Reactions
0 Replies
830 Views
This is blog that provide Ict Education for all levels, We post various Computer problems and their Solutions on how to solve/fix them, Latest Technology news, Programming skills, Tutorials, Funny...
1 Reactions
0 Replies
899 Views
Habari zenu, mwenye kuifaham au aliyekwishaitumia hii gari naomba anielezee uzuri na mapungufu ya hii gari mana natakakuinunua. Mawazo yenu ni muhimu.asante
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina miradi Kimbiji kwa chale, Puna na potea vyote ni mbele ya kimbiji Price zina range kianzia 7500@sqm hadi 23000@sqm. Puna na kwa chale umeme upo tayari potea bado haujafika. Pia ninavyo...
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Bajeti yangu ni laki 4. Mshine iwe na uwezo wa kuweka mayai 100 kuendelea na iwe automatic inageuza mayai yenyewe. Ni pm au mawasliiano 0783085858.0769881984.0715075858
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Range Rover Sport 2008model inahitajika... (Sample hiyo kwenye picha) Kama unayo tuma details na picha kwa WhatsApp 0689315582 Zingatia: model isiwe chini ya mwaka 2008 maswali zaidi sitaki
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Natafuta mtu ambae ntakuwa namuuzia asali kwa bei ya jumla au anae elewa sehem ambayo naweza kufanya biashara hiyo
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habar wanaJF kinauzwa ni pm kwa maelezo zaidi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wadau hasa wale wenzangu na mimi walioamua kujikwamua kwa kukiendea kilimo. Baada ya msoto wa muda mrefu niliamua kukiendea kilimo cha matikiti na hapa ninapoandika uzi huu matunda...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Gari ya mwaka 2004.rim sport.tairi zote mpya.imelipiwa insurance na motor vehicle hadi 2017.full air condition. Dvd redio.power window.Gari ilinunulia mmiliki akasafiri nje ya nchi. Ni gari...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habri kinavyojieleza naomba mnishauri brands and type ambazo naweza pata kwa bei hiyo
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Back
Top Bottom