Iwe Namba D, kwenye kundi la ama Brevis(250), Carina(TI or SI), Rav 4, Crown, Progress, Wish, Noah(SR40)
Weka taarifa zifuatazo:-
Bei.................,
Aina ya Gari...
Natafuta mbia wa kuwekeza kwenye eneo lenye ukubwa wa ekari moja mbezbeach Africana lililo umbali wa mita 300 kutoka barabara ya lami (Bagamoyo road) na lililo karibu na bahari
Contact +255689315582
Wadau,
Nina tafuta watu wa ku administer questionnaire katika wilaya za Mkuranga na Bagamoyo kazi ambayo inatarajiwa kuchukua siku 5 - 7
Sifa:
Ninahitaji watu ambao ni:
1.Wanafunzi wa vyuo ambao...
Habari zenu wadau
Naomba mwenye ufahamu wa mashine ambazo hutumika ku pack vitu kwenye mifuko midogo midogo kama ile ya sabuni OMO, najua ziko machine ndogo ambazo husimamishwa wima na zina...
hanari wadau,Kuku wa malawi wanauzwa wapo 250 Majogoo 100 na tetea 150 majogoo nauza kwa 20,000 na tetea kwa 17,000 kama unachukua wote kwa pamoja nakuuzia kwa bei ya punguzo,hawa kuku...
Za asubuhi wapendwa.
Nnapenda kuwataarifu kua kwa yeyote mwenye uhitaji au mwenye ndugu, jamaa au rafiki mwenye uhitaji wa viwanja mkoani mwanza kua kuna viwanja viwili vyenye ujazo wa juu wa mita...
members mpo? kuna freezer inauzwa! Hii freezer ni yangu ila nimeamua kuiuza kutokana na uhitaji wa hela za jambo la muhimu na la haraka zaidi! niliinunua kwa ajili ya matumiz ya nyumbani ila...
Hi
posting again
finance is available for any good viable project
finance start from $5million and on
our requirement is
need to have your local bank or government guarantee only.
pls...
Hello friends; I Nyamoni Warioba from Tanzania, I have been nominated for the YOUTH CITIZEN ENTREPRENEURSHIP Competition in the Best Idea 2016 Category. I would be happy if you support my idea...
Ni HP compaq presario
specification zake.
RAM 2GB
HDD 320 GB
PROCESSOR 1.70GHz
battery inadumu kwa masaa 3-4
imetumika mwaka mmoja na miezi 6
BEI NI LAKI TATU TU (300000)
karibu PM
nauza huawei P8 ambayo nimetumia mwezi mmoja hivyo ni kama mpya haina scratches wala tatizo lolote ina support 4G na internal memory ni GB 16,,, bei ni shilingi 380,000 nimeshindwa kupost picha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.