Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Iwe Namba D, kwenye kundi la ama Brevis(250), Carina(TI or SI), Rav 4, Crown, Progress, Wish, Noah(SR40) Weka taarifa zifuatazo:- Bei................., Aina ya Gari...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Natafuta mbia wa kuwekeza kwenye eneo lenye ukubwa wa ekari moja mbezbeach Africana lililo umbali wa mita 300 kutoka barabara ya lami (Bagamoyo road) na lililo karibu na bahari Contact +255689315582
0 Reactions
1 Replies
766 Views
Wadau, Nina tafuta watu wa ku administer questionnaire katika wilaya za Mkuranga na Bagamoyo kazi ambayo inatarajiwa kuchukua siku 5 - 7 Sifa: Ninahitaji watu ambao ni: 1.Wanafunzi wa vyuo ambao...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wadau Naomba mwenye ufahamu wa mashine ambazo hutumika ku pack vitu kwenye mifuko midogo midogo kama ile ya sabuni OMO, najua ziko machine ndogo ambazo husimamishwa wima na zina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba Dar es Salaam inauzwa kwa thamani sawa na Beverly Hills, nchini Marekani. Wapigaji, wakwepa kodi na mafisadi ndipo walipotufikisha hapa.
4 Reactions
57 Replies
12K Views
LaserJet Pro M1132 MFP Kazi zake; •print •photocopy •scanner Iko kwenye hali nzuri na inafanya kazi vzuri. Bei ni 160,000/- Kwa maelezo zaidi ni pm
0 Reactions
0 Replies
958 Views
hanari wadau,Kuku wa malawi wanauzwa wapo 250 Majogoo 100 na tetea 150 majogoo nauza kwa 20,000 na tetea kwa 17,000 kama unachukua wote kwa pamoja nakuuzia kwa bei ya punguzo,hawa kuku...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Za asubuhi wapendwa. Nnapenda kuwataarifu kua kwa yeyote mwenye uhitaji au mwenye ndugu, jamaa au rafiki mwenye uhitaji wa viwanja mkoani mwanza kua kuna viwanja viwili vyenye ujazo wa juu wa mita...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Procurement Professionals database available Procurement Professionals database available
1 Reactions
2 Replies
935 Views
members mpo? kuna freezer inauzwa! Hii freezer ni yangu ila nimeamua kuiuza kutokana na uhitaji wa hela za jambo la muhimu na la haraka zaidi! niliinunua kwa ajili ya matumiz ya nyumbani ila...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Nahtaj gari SUZUKI CARRY kutoka kwa mtu mwenye shida kama mm kama unayo binafsi tutafutane.iwe nzuri na iwe ina 4WD
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jipatie huduma bure ya kuweka na kuhifadhi nota za nyimbo au mziki wako kidijitali. Kwa maelezo zaidi tuma barua pepe kwenda digitalised@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Hi posting again finance is available for any good viable project finance start from $5million and on our requirement is need to have your local bank or government guarantee only. pls...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hello friends; I Nyamoni Warioba from Tanzania, I have been nominated for the YOUTH CITIZEN ENTREPRENEURSHIP Competition in the Best Idea 2016 Category. I would be happy if you support my idea...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Ni HP compaq presario specification zake. RAM 2GB HDD 320 GB PROCESSOR 1.70GHz battery inadumu kwa masaa 3-4 imetumika mwaka mmoja na miezi 6 BEI NI LAKI TATU TU (300000) karibu PM
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nauza huawei P8 ambayo nimetumia mwezi mmoja hivyo ni kama mpya haina scratches wala tatizo lolote ina support 4G na internal memory ni GB 16,,, bei ni shilingi 380,000 nimeshindwa kupost picha...
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Kwa mahitaji ya mavazi aina zote karibu kwenye duka letu lililopo Barbara ya kumi Dodoma mjini ujipatie nguo bora na za kisasa
0 Reactions
0 Replies
699 Views
nina king'amuz cha startimes nakup king'amuz na elfu 40 naomba kingmz cha azam
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mwenye decoder anipigie fasta 0712 355025
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu, nahitaji Toyota rav4 new model ya mwaka 2007 na kuendelea, mwenye nayo tunawezafanya biashara.
0 Reactions
2 Replies
942 Views
Back
Top Bottom