Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari zenu wadau kwa wale wote wenye mitaji hawajui namna ya kuitumia(mchanganuo wa biashara) na wale ambao wanataka kuanzisha makampuni na hawajui wanaanzishaje pia wale ambao wapo kwenye...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
pm bei ya samsung yako ambayo mbovu kwa aliye nayo ila display iwe nzimaaaaaa then tuwasiliane nitanunuaaaa
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Ninauza shamba maeneo ya horohoro, ni kolimita sita kabla hujafikana mpakani horohoro kwenda Mombasa. Shamba ni hekari 13, lina lambo kubwa la maji lenye kuweza kuhifadhi maji msimu mpaka msimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Twende udzungwa national parks weekend ya jumamosi ya terehe 27/8 na kurudi ni Jumapili ya terehe 28/8. Gharama kwa mtu mmoja ni 80,000/- tu. Safari itaanzia Ubungo, Dar es salaam. Wahi nafasi ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mada inasomeka bayana. Nahitaji gari hizo tajwa ziwe namba C.. Bajeti yangu ni 5m. Mazungumzo yapo.. Njoo inbox kwa maelewano
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Je wewe ni mwanadada unayependa kujisitiri kisasa? Kwako mwanaume...mwenye wake/mke na hata michepuko [emoji4][emoji4] Haya hapa mabaibui ya kisasa... Ni mwendo wa kujisitiri kwa mwendo...
8 Reactions
77 Replies
28K Views
REMAX 200HB HiFi V4.1 Bluetooth Headset HiFi sound with little distortion, naturally presents the original charm of the music Balanced high pitch and low tune, wonderful sound feast enjoyment...
0 Reactions
2 Replies
676 Views
FOR ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ DATE LISTED: 1 AUGUST 2016 ASKING PRICE: TSH:500,000 laki 5 TERMS OF PAYMENT: 6 MONTHS ( miezi 6) + KODI YA MWEZI MMOJA YA DALALI DIRECTION...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mlioko Arusha, Nakodisha vyombo vya Muziki k.v. Kinanda, Gitaa Speaker na Drum. Pia kama una Harusi au Sherehe yoyote na ungehitaji Bendi au solo Performer (kinanda tu), tuwasiliane kwa namba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu Nahitaji watoto wa mbwa wa breed hizi rottweiler au german shepherd Niko Dar Mawasiliano 0763309632 Au sema breed nyingine uliyonayo!!
1 Reactions
0 Replies
635 Views
verossa yenye cc 1980 namba c, km 113000 ipo kwenye hali nzuri bei ni mil 8.5. nitumie whatsap namba yako nikutumie picha tuelewane.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta kiwanja Dodoma mjini maeneo ya kisasa au mwangaza kuwe na huduma za kijamii kwa maana ya barabara, maji na umeme Kisipungue 1500sqm au viwe viwili vinavyopakana vyenye ukubwa wa 900sqm @...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye kiwanja Dodoma mjini kuanzia sq.m 1000, maeneo ya njedengwa au ilazo. Kiwe tambarare Dalali sihitaji, makubaliano kati yangu na muuzaji mwenye kiwanja
0 Reactions
4 Replies
924 Views
Serious buyer 0717197449
0 Reactions
3 Replies
866 Views
Inauzwa kwa tsh. 200,000 Tu. Kwa mahitaji ni PM nipo dar.
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Two surveyed plots with title deeds (1) 5,115 sqm (2) 9,199 sqm. Good access road off the Dar es Salaam-Mtwara Highway. No middlemen required. Only interested buyers should in-box me.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar zenu wanachama wa JF. Nina habari Nzuri kwa wote wanaohitaji Payroll calculator/ Sheet kwaajili ya kukokotoa mishahara ya wafanya kazi yenye sifa zifuatazo : 1. Iko updated katika PAYE...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanasaikolojia Anti Sadaka Ameandaa Semina kwa Vijana Na Amewaomba Wazazi na Walezi kuwashirikisha kwenye hii semina ya vijana.... "College Ready" kwa vijana wote walio vyuoni na wale...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nina Chaja ya laptop ambayo inaweza tumika kwenye umeme wa Gari,Battery ya Gari au Solar(input 11V to 14V) kwa ajil ya kuchajia laptop,inaweza tumika kwa aina 8 tofauti za laptop(ina pin 8 so...
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Back
Top Bottom