Kwa wahitimu wa kidato cha sita 2016 hongereni wote mliofaulu mitihani yenu kazeni buti kwani mapambano ndo yanaanza kwa wale ambao kwa bahati mbaya matokeo yao sio mazuri basi msikate tamaa kwani...
Habari wanajamvi,
Napenda kuwatangazia biashara ya nyumba inauzwa kiuhalali Kinyerezi mwisho yenye sifa zifuatazo
1. Nyumba kubwa na banda la uani (nyumba ndogo)
Nyumba kubwa ina:
Vyumba...
Habari Wakuu, nilikuwa Natafuta ushauri,uzoefu na maelekezo yenu ni wapi ntapata mkaa Mzuri kwa matumizi ya nyumbani. Mkaa ninaotafuta ni wa bei ya jumla pia biashara hii ntaifanya kwa kufuata...
Wana JF,
Kuna viwanja vinauzwa eneo la Kimara Kibamba.
Ramani ya viwanja husika imeambatanishwa hapa chini.
Kila kiwanja kinachoonekana ni TZS 4,000,000/= (milioni nne tu).
Nafasi ya majadiliano...
Kma kichwa cha habar kilivyoeleza apo juu naitaji rain za iyo mitando tajwa apo juu kama utakua nayo na unaihuza niprivate massage
Note:- itakua vizur ukataja aina ya mtandao wa rain unayoiuza...
Jipatie vocha ya Buku ya Airtel yenye dakika 110 (dakika 10 mitandao yote) SmS bila kikomo. Inateneti 2GB.
-whatsapp bure
-twitter buree
-Na Facebook buree
Unatumiwa popote, mda wowote kwa...
Kwa wale wakazi wa mbezi ya kimara na sehemu nyingine kwa ujumla. Tunawatangazia course zifuatazo kwa bei nafuu sana.
Computer Course, QT(Elimu ya Secondary kwa miaka miwili), Tuition kwa masomo...
Vipo mbezi juu tankibovu viwili katika nyumba ya (L-shaped) ni vya nje si ndani.. vina tiles Safi Madirisha Mazur maji yapo na kwenye kiwanja kikubwa bila msongamano wa nyumba
Contact 0689315582
Rejea kichwa cha habar hapo juu.
Nyumba inapangishwa maeneo ya savei dk 5 kwa mguu tokea mliman city.
Ina vyumba viwili jiko toilet sebule pia ina tiles. Haina uzio. Maji ya bomba yapo masaa...
Wadau kwa yeyote atakayehitaji huduma ya fumigation au kama ana mtu,ofisi,hotel inayohitaji huduma ya fumigation tuwasiriane kwa simu namba 0685232010 tumfanyie hiyo kazi. Ni kazi tunayoimudu tena...
Kichwa cha habar cha jieleza, Natoa huduma ya kupimiwa mashamba au viwanja kwa maeneo ya mwanza pamoja na mikoa ya karbu. Ushaur juu ya ardhi utapata. Pima ardhi yako pata hati miliki yako...
Make : Toyota
Model : LITEACE NOAH
Mileage : 100,000 km
Engine size : 1990cc
Fuel : Gasoline/Petrol
Drive : Four wheels drive (4WD)
Steering : Right
Transmission : Automatic
Ext. Color ...
Habari.
Fremu inapangishwa ipo kijitonyama kisiwani karibu na Salma Kikwete Secondary kodi ni 100,000/= kwa mwez inatakiwa ya miezi 6. Fremu ipo barabarani(lami) kabisa inafaha hata kwa jiko...
Macbook Pro 13inc unibody.
Processor Intel core 2 duo 2.24Ghz
Ram 4gb
Hdd 500Gb
Nvidia GeForce video adapter.
13inch LCD screen
Pc is in Excellent condition and fully operational.
Price Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.