Nakutengenezea blog ya wordpress, au blogger kwa gharama nafuu ya tsh 5,000(elfu tano) tu.
Utafanyiwa settings zote muhimu na kuwekewa logo,bila ya kuongeza pesa yoyote.
Utapatiwa maelezo ya...
EMPOWER STATIONERY - THE UNIVERSITY OF DODOMA
TUNAPATIKANA MKOANI DODOMA KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ALI MAARUFU UDOM
COLLEGE OF EDUCATION (COED)
ENEO LA UJASI
TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO:-...
EMPOWER STATIONERY - THE UNIVERSITY OF DODOMA
TUNAPATIKANA MKOANI DODOMA KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ALI MAARUFU UDOM
COLLEGE OF EDUCATION (COED)
ENEO LA UJASI
TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO:-...
Habari.
Nilikua nikiendesha biashara ya Stationary kwa muda sasa nabimekua ikiingiza faida nzuri tu.
Nimeona nikajiendeleze kimasomo nje ya nchi hivyo nimeamua kuuza vitu vilivyomo ktk stationary...
Habari zenu wanabod, Kama maada imavojieleza natafuta kiwanja cha kuenea vyumba viwili na sebule, kama mnavojua laifu sahiz limekaba sihitaji kitakachozidi ml 2, maeneo kiwe Kigamboni, Buza...
EMPOWER STATIONERY - THE UNIVERSITY OF DODOMA
TUNAPATIKANA MKOANI DODOMA KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ALI MAARUFU UDOM
COLLEGE OF EDUCATION (COED)
ENEO LA UJASI
TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO:-...
Wana Jukwaa Habarini
Nimekuwa nikipambana kwa muda wa miezi miwili sasa kumuuguza Bi Mkubwa Muhimbili. Juzi nimepewa Rufaa nimpeleke India kwa matibabu zaidi. Nikiangalia mfukoni hali haijakaa...
Habari wakuu, engine ya gari yangu ina matatizo,hivo nmeamua kutafuta nyingine, gari ni ya mwaka 1996, engine ya 4,600 cc, HSE ( high specified edition). Kwa anaejua wapi naweza pata ntashukuru sana.
Poleni na majukumu wanajukwaa wenzangu, lodge ipo sokoni ni mpya na bado haijaanza kufanya kazi.
Ipo eneo la Mbagala Kizinga umbali wa mita 50 kutoka barabarani, wiring ya umeme imeshafanyika...
Mwenye kufahamu tafadhali naomba kujuzwa.Ni aina ipi kati ya hizi itanifaa kusafiria kifamilia,kwa mfano kutoka Dodoma mpaka mmoshi kwenda Na kurudi angalau Mara mbili kwa mwaka na mizunguko...
Mbuzi hao wanaoonekana ni wa maziwa isipokuwa huyo anayenyonyesha yeye amekuwa crossed ni uzao wake wa 1 baba wa mtoto ni Dume picha ya 2 toka kushoto juu ni pure Norwegian ni mkubwa sana...
Naomba nitoe tena tangazo hapa kwa wenye taarifa zaauzaji wa Bajaji used kutoka nje. Nasema kutoka nje kwa sababu za hapa bongo zinakuwa zimechoka sana. Ila kama kuna anaeuza ya kwake hapa bongo...
Ving'amuzi vya continental vimeshuka bei ni elfu 40 tu hapo inajumuisha dikoda na antenna
mwezi.mmoja bureee
halaf vifurushi nafuu.kipo.mpaka cha 4000 yaani raha. sana
Shamba linauzwa liko kijiji cha Msowero wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro, linaukbwa wa ekari 47.8 limeshapimwa na linahati. kuna nyumba na barabara shamba linafaa sana kwa kilimo cha umwagiliaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.