Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nakutengenezea blog ya wordpress, au blogger kwa gharama nafuu ya tsh 5,000(elfu tano) tu. Utafanyiwa settings zote muhimu na kuwekewa logo,bila ya kuongeza pesa yoyote. Utapatiwa maelezo ya...
1 Reactions
0 Replies
707 Views
EMPOWER STATIONERY - THE UNIVERSITY OF DODOMA TUNAPATIKANA MKOANI DODOMA KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ALI MAARUFU UDOM COLLEGE OF EDUCATION (COED) ENEO LA UJASI TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO:-...
0 Reactions
0 Replies
689 Views
EMPOWER STATIONERY - THE UNIVERSITY OF DODOMA TUNAPATIKANA MKOANI DODOMA KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ALI MAARUFU UDOM COLLEGE OF EDUCATION (COED) ENEO LA UJASI TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO:-...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Habari. Nilikua nikiendesha biashara ya Stationary kwa muda sasa nabimekua ikiingiza faida nzuri tu. Nimeona nikajiendeleze kimasomo nje ya nchi hivyo nimeamua kuuza vitu vilivyomo ktk stationary...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari zenu wanabod, Kama maada imavojieleza natafuta kiwanja cha kuenea vyumba viwili na sebule, kama mnavojua laifu sahiz limekaba sihitaji kitakachozidi ml 2, maeneo kiwe Kigamboni, Buza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
EMPOWER STATIONERY - THE UNIVERSITY OF DODOMA TUNAPATIKANA MKOANI DODOMA KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ALI MAARUFU UDOM COLLEGE OF EDUCATION (COED) ENEO LA UJASI TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO:-...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama unayo Tuwasiliane kwa Namba 0718295182 Bango
0 Reactions
3 Replies
952 Views
Kwa yoyote anehitaji kingamuzi anicheki hapa 0676431143 bei sh.100,000 pamoja na dish kimetumika miezi 3 tu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana Jukwaa Habarini Nimekuwa nikipambana kwa muda wa miezi miwili sasa kumuuguza Bi Mkubwa Muhimbili. Juzi nimepewa Rufaa nimpeleke India kwa matibabu zaidi. Nikiangalia mfukoni hali haijakaa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza laini ya Tigo pesa bei maelewano nitafute katika nambari 0765657222
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Habari wakuu, engine ya gari yangu ina matatizo,hivo nmeamua kutafuta nyingine, gari ni ya mwaka 1996, engine ya 4,600 cc, HSE ( high specified edition). Kwa anaejua wapi naweza pata ntashukuru sana.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Sold-out.
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Automatic Tempreture Controlled & Combined Oil Mill manufacturer
0 Reactions
1 Replies
695 Views
Poleni na majukumu wanajukwaa wenzangu, lodge ipo sokoni ni mpya na bado haijaanza kufanya kazi. Ipo eneo la Mbagala Kizinga umbali wa mita 50 kutoka barabarani, wiring ya umeme imeshafanyika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye kufahamu tafadhali naomba kujuzwa.Ni aina ipi kati ya hizi itanifaa kusafiria kifamilia,kwa mfano kutoka Dodoma mpaka mmoshi kwenda Na kurudi angalau Mara mbili kwa mwaka na mizunguko...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mbuzi hao wanaoonekana ni wa maziwa isipokuwa huyo anayenyonyesha yeye amekuwa crossed ni uzao wake wa 1 baba wa mtoto ni Dume picha ya 2 toka kushoto juu ni pure Norwegian ni mkubwa sana...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Naomba nitoe tena tangazo hapa kwa wenye taarifa zaauzaji wa Bajaji used kutoka nje. Nasema kutoka nje kwa sababu za hapa bongo zinakuwa zimechoka sana. Ila kama kuna anaeuza ya kwake hapa bongo...
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Ving'amuzi vya continental vimeshuka bei ni elfu 40 tu hapo inajumuisha dikoda na antenna mwezi.mmoja bureee halaf vifurushi nafuu.kipo.mpaka cha 4000 yaani raha. sana
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Shamba linauzwa liko kijiji cha Msowero wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro, linaukbwa wa ekari 47.8 limeshapimwa na linahati. kuna nyumba na barabara shamba linafaa sana kwa kilimo cha umwagiliaji...
0 Reactions
2 Replies
585 Views
Back
Top Bottom