Hallo.
Nahitaji kutengeneza Bango Sio la Biashara, hapana. TANGAZO/NOTICE. Lenye Maneno kama 20.
Material yatakayo tumika ni kitambaa tu.
Naomba Mwenye kufanya mambo ya Graphic designing anipe...
Cannone D 1100 inauzwa ina Lens 18mm mpaka 55mm ipo na charger bei Tsh 700,000, Nikon D 50 lens 18 mpaka 55mm tsh 500,000, Cannone D 1000 lens 18mm mpaka 55mm tsh 600000 na Nikon Lens 55mm mpaka...
Tusafiri pamoja kutembelea mji wa kale wa Bagamoyo Jumamosi ya tarehe 24/9 kwa gharama ya shilingi 15,000/- tu ikijumuhisha Nauli ya kwenda na kurudi, gharama ya mwongozaji (guide) na breakfast...
naomba tujuzane nyie mnatumia dawa au kemikali gani kufulia ili kuongeza ufanisi na pia kemikali gani unatumia kung'arisha nguo? unaweza kunitumua pm au kuandika moja kwa moja
This is blog that provide Ict Education for all levels, We post various Computer problems and their Solutions on how to solve/fix them, Latest Technology news, Programming skills, Tutorials, Funny...
Habari zenu, mwenye kuifaham au aliyekwishaitumia hii gari naomba anielezee uzuri na mapungufu ya hii gari mana natakakuinunua. Mawazo yenu ni muhimu.asante
Nina miradi Kimbiji kwa chale, Puna na potea vyote ni mbele ya kimbiji
Price zina range kianzia 7500@sqm hadi 23000@sqm.
Puna na kwa chale umeme upo tayari potea bado haujafika.
Pia ninavyo...
Bajeti yangu ni laki 4. Mshine iwe na uwezo wa kuweka mayai 100 kuendelea na iwe automatic inageuza mayai yenyewe. Ni pm au mawasliiano 0783085858.0769881984.0715075858
Range Rover Sport 2008model inahitajika... (Sample hiyo kwenye picha) Kama unayo tuma details na picha kwa WhatsApp 0689315582
Zingatia: model isiwe chini ya mwaka 2008 maswali zaidi sitaki
Habari zenu wadau hasa wale wenzangu na mimi walioamua kujikwamua kwa kukiendea kilimo.
Baada ya msoto wa muda mrefu niliamua kukiendea kilimo cha matikiti na hapa ninapoandika uzi huu matunda...
Gari ya mwaka 2004.rim sport.tairi zote mpya.imelipiwa insurance na motor vehicle hadi 2017.full air condition. Dvd redio.power window.Gari ilinunulia mmiliki akasafiri nje ya nchi. Ni gari...
ram 4GB
hdd 320Gb
core i3
processor 2.4 GHz
WIFI
bluetooth
dvd rom
lcd Backlight Technology LED b
Resolution 1366 x 768 ( HD )
hdm
Headphone output
VGA
530000
712191251
Nakutengenezea blog ya wordpress, au blogger kwa gharama nafuu ya tsh 5,000(elfu tano) tu.
Utafanyiwa settings zote muhimu na kuwekewa logo,bila ya kuongeza pesa yoyote.
Utapatiwa maelezo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.