Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau,nahitaji Volkswagen beetle old model inayotembea,body structure iwe safi, iwe right hand drive haijalishi Brazil au Germany Nawasilisha
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Galaxy note 5/ LTE 4G-CDMA Colour Gold Storage 32Gb Ram 4gb Camera ( rear) 16Mp / Secondary 5Mp Detailed informations. Link below. Samsung Galaxy Note5 - Full phone specifications Used just 3...
0 Reactions
3 Replies
826 Views
Kiwanja chenye msingi na nyumba Chumba sebule kinauzwa bei maelewano mahali : Butiama Mara mawasiliano 0785746105
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Inahitajika iphone 5 yenye icloud(password locked) Nyeupe itakua poa zaidi. Bt hata nyeus poa pia.
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Orliflame ni kampun ya kisweden iliazishwa mwaka 1967, iko zaid ya nchi 60 dunian, na uzoefu wa miaka 50. Inajihusisha na bidhaa za asilia kuazia kichwan hadi miguuni, kwa wanawake, wanaume na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Vunja Bei: Nauza Samsung Galaxy Note 4 kwa bei pouwa kabsa. Color: white Storage: internal 32GB, xternal up to 128GB Ram: 3GB Network: 3G & 4G network Price: 550k
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta mkopo wa kuniwezesha kulipa ada ya chuo. Anayeweza kunikopesha tutaweka makubaliano ikiwa ni pamoja na collateral ya fixed asset yangu iliyopo wilaya mpya ya Busega mkoni Simiyu. Please...
0 Reactions
0 Replies
476 Views
WE HAVE POTENTIAL BEACH PLOT AT JAMBIAN SOUTH EAST COAST OF ZANZIBAR ISLAND IN TANZANIA. THE PLOT IS ABOUT 19,000SQM. WE ARE VERY FLEXIBLE FOR WHOEVER INTERESTED, WE MAY LEASE THE LAND, OR...
0 Reactions
0 Replies
605 Views
Tunapatikana Mabibo Farasi lakini tutakufikia popote Dar es Salaam.. Bei: Tzs 50,000 kwa Turubai moja kwa siku Tzs 400 kwa kiti kwa siku Tunatoa huduma ya usafiri bure.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wasalaam wana JF Kwa heshima na taadhima napenda kuwafahamisha kwamba ninauza shamba langu lililopo eneo la Ihumwa katika manispaa ya Dodoma. Mwenyewe nina heka kadhaa katika eneo hilo, hivyo...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za mchana wadau, mimi ni mtanzania wa kawaida natafuta mbia ambaye tutashirikiana kujenga na kuendesha kituo cha mafuta pale Fukayose bagamoyo, nina kiwanja very pontential kwa biashara...
1 Reactions
1 Replies
853 Views
Nahitaj chombo tajwa hapo juu kiwe katika hali nzur na vibali vyote. Namba B itapewa kipaumbele. Npo kigambon DSM. Nipigie 0713806766. Karibuni sana.
0 Reactions
0 Replies
541 Views
nahitaji kijana msaidizi wa kazi mgahawani. mgahawa upo uswazi hauna mishe nyiingi kivileee..nilisha wahi kupost hapa nashukuru nilimpata mmoja mpaka leo ninae..nahitaji mwingine Ofisi inakua...
1 Reactions
5 Replies
925 Views
pata pochi, unique, genuine, nzuri, kubwa, imara, na nadhifu inayokupa classy kutoka kwa mjasiriamali Mtanzania.. achana na plastic za kiChina... bei nafuu pochi +kiatu 45000 pochi only...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Upungufu wa nguvu za kiume ni shida inayosumbua wengi,lishe duni,msongo wa mawazo na mitindo ya maisha ya watu wengi, vimekuwa visababishi vikubwa vya tatizo hili kwa kuona hivo kampun yetu ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tusafiri pamoja kutembelea mji wa kale wa Bagamoyo Jumamosi ya tarehe 24/9 kwa gharama ya shilingi 15,000/- tu ikijumuhisha Nauli ya kwenda na kurudi, gharama ya mwongozaji (guide) na breakfast...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimebobea ktk masuala ya environment Epp ni Muhimu kwa Wachimbaji wadogo wa Madini,, ntaksaidia kwa bei poa nitafute 0766707790
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Nimebobea ktk masuala ya environment Epp ni Muhimu kwa Wachimbaji wadogo wa Madini,, ntaksaidia kwa bei poa nitafute 0766707790
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MacBook Pro core i5 13inc. Pocessor type: Intel Core i5 , clock speed @2.4ghz (x4 cores) Storage: Hdd 500Gb Ram: 4gb DDR3 13inc LCD screen. Intel HD 3000 graphics adapter. Health battery...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari walimu, nawatangazia kwamba nimefanya maboresho ya system(chenjifasta) na kuweza kurahisisha kumpata mwalimu wakubadilishana kituo haraka pasipo ata kutumia nguvu nyingi. Kama ujajisajiri...
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Back
Top Bottom