Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninauza shamba maeneo ya horohoro, ni kolimita sita kabla hujafikana mpakani horohoro kwenda Mombasa. Shamba ni hekari 13, lina lambo kubwa la maji lenye kuweza kuhifadhi maji msimu mpaka msimu...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
...habari wana JF mimj ni supplier wa material za ujenzi kama kokoto,mchanga na kifusi ....napatikana Mbagara-Dar es salaam naweza kukuletea popote jijini kwa bei nafuu. KWA WANAOHITAJI...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi, Ningependa kufahamu kama kuna suala la kukatwa kodi na TRA pale unapoagiza mzigo toka Ebay au Amazon, mizigo kama simu, nguo, perfumes N.K, nitashukuru sana kwa msaada wenu...
1 Reactions
0 Replies
563 Views
Habari wanaJF, karibu kwenye training course za computer zinazoanza kuanzia Jumatatu (on Monday) kama zinazoonekana kwenye picha chini. Location: Dodoma, Mitimirefu - Mailimbili
2 Reactions
19 Replies
2K Views
#Imetumika miezi mitatu tu #Bado kama mpya vile #Haina mchubuko hata kidogo #Internal storage 8gb #with memorycard 32gb external #with glassprotector #with back cover 450k fixed Call: 0732 000 001
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jaman members napangisha fremu yangu manyanya nataka kodi ya miezi 10.ina tailizi na mlango wa aluminium. Serious mteja tuwasiliane kupitia 0742698585 karibu sehemu ni nzur sn
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi, natafuta wateja wa kununua madini ya dhahabu kuanzia kilomoja hadi kilo tatu, yameshapimwa tayari.
1 Reactions
5 Replies
8K Views
Kipi kizuri hapo? Startimes hakistratch kama zamani Zuku wameleta kifurushi mpaka cha elfu kumi channel 38 Haya na startime nao wana kifurushi cha elfu tano channel 38 kipi kizuri wakuu?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Simu kali ya Tecno Camon C9 yenye uwezo wa hali ya juu katika kupiga picha ikiwa na Camera mbili (Mbele na nyuma) za Megapixel 13, uwezo wa 4G LTE na teknolojia mbali mbali za kisasa imeingia...
4 Reactions
74 Replies
26K Views
Kwa mweye hii gari anipm, iwe 2nd hand, au imekuwa registered mwaka huu, iwe katika hali nzuri, kwa maana original colour (ila isiwe nyeupe) no scratches wala dents, (mibonyeo) mileage isizid...
0 Reactions
3 Replies
894 Views
Bikuhabari memba wenzangu wa JF. Lodge mpya bado haijaanza kufanya kazi, ina jumla ya vyumba 12, vyumba 10 self, viwili vilivyobakia ni store na mapokezi. IPO Mbagala Mzinga, bei inaanzia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu. Msaada kwa yoyote anayejua jinsi ya kusafirisha bidhaa kutoka Nairobi hadi Dar. Mabasi yakawaida hayaruhusiwi kubeba mzigo wa biashara ila kuna mabasi special ya mzigo yanaishia...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habarini, mwenye kufahamu bei ya Toyota volts kwa sasa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nadhani kichwa cha habari kimejitosheleza kwa mahala ni mbeya
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu Kwa budget ya mil.2 naweza gari aina gani na litakuwa kwenye hali gani kwa matumizi
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Wauzaji WA Mbao aina zote za kupaulia na kujengea, na niwauzaji wa vifaa vyote vya kupaulia, mfano Mbao, bati aina zote Na misumari. Wasiliana nao 0744756127/0655337479.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
DELLflat screen tv pia unaweza kuitumia kama monitor kwenye computer 200,000/= Deki ya singsung 45000/= King'amuzi cha startimes 20000/= Subwofer aina ya rising 70000/= Laini ya m pesa 120000/=...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Shamba linauzwa, liko kijiji cha msowero, wilaya ya kilosa mkoa wa Morogoro. shamba limepimwa na lina hati, ukubwa ni ekari 47.8 liko kandokanda mwa mto msowero linafaa sana kwa kilimo cha...
0 Reactions
2 Replies
922 Views
Hiki King'amuzi unapata Channels zaidi ya 110 za Dini, zikiwepo channel za Bongo Maarufu kama -SHILO TV(Prophet Frank J.K.) -ARISE AND SHINE(Apostle Bulldoza) Nyinginezo za nje Maarufu ni kama...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
MBU ni tatizo kubwa kwa afya zetu na familia zetu kwa ujumla.Tokomeza maleria kwa kutumia dawa ya asili iliyotengenezwa kwa mitishamba.Dawa hii ukishaiweka kwenye umeme inatoa harufu nzuri...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Back
Top Bottom