Ninauza shamba maeneo ya horohoro, ni kolimita sita kabla hujafikana mpakani horohoro kwenda Mombasa. Shamba ni hekari 13, lina lambo kubwa la maji lenye kuweza kuhifadhi maji msimu mpaka msimu...
...habari wana JF mimj ni supplier wa material za ujenzi kama kokoto,mchanga na kifusi ....napatikana Mbagara-Dar es salaam naweza kukuletea popote jijini kwa bei nafuu.
KWA WANAOHITAJI...
Habarini wana jamvi, Ningependa kufahamu kama kuna suala la kukatwa kodi na TRA pale unapoagiza mzigo toka Ebay au Amazon, mizigo kama simu, nguo, perfumes N.K, nitashukuru sana kwa msaada wenu...
Habari wanaJF, karibu kwenye training course za computer zinazoanza kuanzia Jumatatu (on Monday) kama zinazoonekana kwenye picha chini.
Location: Dodoma, Mitimirefu - Mailimbili
#Imetumika miezi mitatu tu
#Bado kama mpya vile
#Haina mchubuko hata kidogo
#Internal storage 8gb
#with memorycard 32gb external
#with glassprotector
#with back cover
450k fixed
Call: 0732 000 001
Jaman members napangisha fremu yangu manyanya nataka kodi ya miezi 10.ina tailizi na mlango wa aluminium. Serious mteja tuwasiliane kupitia 0742698585 karibu sehemu ni nzur sn
Kipi kizuri hapo?
Startimes hakistratch kama zamani
Zuku wameleta kifurushi mpaka cha elfu kumi channel 38
Haya na startime nao wana kifurushi cha elfu tano channel 38 kipi kizuri wakuu?
Simu kali ya Tecno Camon C9 yenye uwezo wa hali ya juu katika kupiga picha ikiwa na Camera mbili (Mbele na nyuma) za Megapixel 13, uwezo wa 4G LTE na teknolojia mbali mbali za kisasa imeingia...
Kwa mweye hii gari anipm, iwe 2nd hand, au imekuwa registered mwaka huu, iwe katika hali nzuri, kwa maana original colour (ila isiwe nyeupe) no scratches wala dents, (mibonyeo) mileage isizid...
Bikuhabari memba wenzangu wa JF.
Lodge mpya bado haijaanza kufanya kazi, ina jumla ya vyumba 12, vyumba 10 self, viwili vilivyobakia ni store na mapokezi.
IPO Mbagala Mzinga, bei inaanzia...
Habari zenu. Msaada kwa yoyote anayejua jinsi ya kusafirisha bidhaa kutoka Nairobi hadi Dar. Mabasi yakawaida hayaruhusiwi kubeba mzigo wa biashara ila kuna mabasi special ya mzigo yanaishia...
Wauzaji WA Mbao aina zote za kupaulia na kujengea, na niwauzaji wa vifaa vyote vya kupaulia, mfano Mbao, bati aina zote Na misumari. Wasiliana nao 0744756127/0655337479.
DELLflat screen tv pia unaweza kuitumia kama monitor kwenye computer 200,000/=
Deki ya singsung 45000/=
King'amuzi cha startimes 20000/=
Subwofer aina ya rising 70000/=
Laini ya m pesa 120000/=...
Shamba linauzwa, liko kijiji cha msowero, wilaya ya kilosa mkoa wa Morogoro. shamba limepimwa na lina hati, ukubwa ni ekari 47.8 liko kandokanda mwa mto msowero linafaa sana kwa kilimo cha...
Hiki King'amuzi unapata Channels zaidi ya 110 za Dini, zikiwepo channel za Bongo Maarufu kama
-SHILO TV(Prophet Frank J.K.)
-ARISE AND SHINE(Apostle Bulldoza)
Nyinginezo za nje Maarufu ni kama...
MBU ni tatizo kubwa kwa afya zetu na familia zetu kwa ujumla.Tokomeza maleria kwa kutumia dawa ya asili iliyotengenezwa kwa mitishamba.Dawa hii ukishaiweka kwenye umeme inatoa harufu nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.