na mm naomba unisaidie kwani nataka nianze kupima udongo wa ruvu kwa kilimoVifaa vya kupimia vipo vingi sana mkuu katika parameters tofauti tofauti. Lazima ujue ni nini haswaa unataka kupima, mfano alikalinity or acidic kama pH. Hebu funguka mkuu nikusaidie.
mkuu kuna post iliwekwa humu ina offer ya hivyo vifaa vya kupima ph, moisture etc unfortunate kwa sasa siionVifaa vya kupimia vipo vingi sana mkuu katika parameters tofauti tofauti. Lazima ujue ni nini haswaa unataka kupima, mfano alikalinity or acidic kama pH. Hebu funguka mkuu nikusaidie.
Masatu huyona mm naomba unisaidie kwani nataka nianze kupima udongo wa ruvu kwa kilimo
Ukiona Mtu anaingia bar anasema naomba bia ujue huyo Si mnywaji wenyewe wanasema NaombA safari au Serengeti baridi. Umenisoma?Vifaa vya kupimia vipo vingi sana mkuu katika parameters tofauti tofauti. Lazima ujue ni nini haswaa unataka kupima, mfano alikalinity or acidic kama pH. Hebu funguka mkuu nikusaidie.
Tunauzana mm naomba unisaidie kwani nataka nianze kupima udongo wa ruvu kwa kilimo
Tunauzamkuu kuna post iliwekwa humu ina offer ya hivyo vifaa vya kupima ph, moisture etc unfortunate kwa sasa siion