Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

WADAU KUNA GARI YA HARUSI INAKODISHWA KWA MAHARUSI WETU,BEI MAELEWANO TU AIFANYIWI NJAA.IPO POA KABISA NA NI MPYA KABISA AINA YA GARI NI SIENTA INABEBA WATU SABA MAWASILIANO MPIGIE 0715 45 92 41
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafiti zilizofanywa marekani na wanasayansi katika chuo kikuu cha Mississippi Wamethibitisha kua chupi za kubana za wanaume si nzuri kiafya ya uume wako na usalama wa mbegu za uzazi na ina...
1 Reactions
10 Replies
8K Views
Viwanja vinauzwa viko Mbezi Makabe Njia Panda . Ukubwa Ni "20-20" bei Sh mil.10. Vimepimwa kisasa. Umeme upo karibu mno. Wasiliana Na mwenye no: 0714486466.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Zote zinapitakana kwa Tsh 370,000. Nipo Dar.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu kama inavyosomeka! Zinahitaji hekari (2) za haraka. Nihakikishiwe hati. Naomba kujua offer yako wewe muuzaji, biashara tunafanyia hadharani.
0 Reactions
2 Replies
887 Views
Karibu Utengeneze computer au upate ushauri wa kitaalamu wa manunuzi ya computer au vifaa vya computer: Sisi ni Connectmoja Tech Ltd Wasiliana nasi: 0714 215 600 au 0777880007
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mwenye kujua inakopatikana au yeye ni mtumiaji anijulishe tushirikiane wote huku nilipo naiona fursa hii ya biashara tunawez fanya biashara hiyo nasikia ni nzuri ni pm
0 Reactions
21 Replies
10K Views
Salaam kama wewe ni mwanafunzi wa IFM au CBE na ni mtaalamu wa kuandika michanganuo ya kibiashara kwa ajili ya kupata mitaji.. wasiliana nami kupitia namba yangu ya whatsapp +255758441676
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ziwe kampun za sony au samsung au nokia au bose au apple. Umuhim ni kuwa na sauti ya bass iliyochujwa pia.. Kwa mwanza au dar. Nimeweka picha za mfano. 0753101020.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. nipo dodoma nakufuta popote ulipo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza nyumba Nauza nyumba
0 Reactions
2 Replies
846 Views
Nauza mashine ya photocopy #Ricoh aficio mp2000 #inatoa photocopy #ina print # ina scan #fax #wireless print Mashine iko katika hali nzuri sana yaani ni karibu na mpya. Price: 1million maongezi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau Kuelekea Oktoba 25,nauza Unfinished House yangu pichani. Ipo Madale,Dar es Salaam. Ina Hati na Eneo la Uwanja ni Square Meter 1103. Ina Vyumba 4 vyote Master,VIP Lounge,Study Room nk. Bei...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ndugu wana JF. Kwa wale wote wenye mahitaji ya kufanyiwa Electrical wiring & Installation katika nyumba zao, mnaweza kuwasiliana nasi ili tuifanyie nyumba yako Wiring ya uhakika iliyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji hp deskjet ink advantage 5525 pesa ipo cash au printer yyt ya hp inayowez kuprint picha lkn iwe self yaan isitegemee computer kuprint
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nimefanya kilimo cha cabbage Kilombero Sugar. Katika week mbili zijazo nitaanza kuvuna. Yoyote mwenye kujua mnunuzi wa Jumla aweza nijuza kwa 0786388083 au 0654087243. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Wadau Habari za wikiend na poleni na misukosuko ya maisha, Ninahitaji laptop nzuri aina ya DELL yenye specification angalau hizi HDD kuanzia 500GB RAM 3-4 GB Processor 5i Na vingine kama kuna Mtu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
*OFA OFA OFA OFA* *PEARL SOAP* ni sabuni ambayo inatatua matatizo yako ya ngozi yaliyokuwa yanakusumbua kwa muda mrefu bila kupata ufumbuzi sabuni hii ni sabuni ya asili ambayo haina kemikali...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom