Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nafasi Tutors (Diogonostic radiography na Nursing), Receptionist na Networking Sifa za Mwombaji Elimu ngazi ya diploma na kuendelea Maombi yote yatumwe kupitia Email...
4 Reactions
13 Replies
826 Views
Karibu mysol kampuni inayojihusisha na uuzaji wa Sola za mikopo karibu tunazo Sola watts 80,120,na 200 na tunauza kwa cash ama mkopo unatanguliza ela kidogo na unafungiwa vifaa vyako nyumbani...
0 Reactions
6 Replies
594 Views
Nauza Toshiba external yenye ukubwa wa 1 TB na pamoja sata 3.0 kwa 55,000 tuu. contact 255 685068828
0 Reactions
2 Replies
448 Views
Tunatengeneza VITAMBULISHO, LOGO kwa anae anza biashara BUSINESS CARDS, POSTERS, FLIERS, BROCHURES, LABELS ZA BIDHAA na DESIGN mbalimbali kwa makampuni mashule na TAASISI mbali mbali kwa gharama...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana JF Natoa huduma za utengenezaji wa graphics kama ifuatavyo Natengeneza LOGO kwa matumizi ya ofisi,biashara au matumizi binafsi.Bei ya kutengenezea logo ni Tsh 30,000 na ukinitafuta...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Watu, salamu kutoka Azma Africa. Uzi huu ni mahsusi kwa yeyote anaehitaji Logo na anaamini tunaweza kufanya nae kazi. Zifuatazo ni hatua ambazo kwa kawaida huwa tunazifuata mpaka kukamilisha zoezi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nina shda ya usb/stick moderm yeyote ya mtandao mmoja au universal aje aniuzie niwe natumia kwa ajili ya internet kma pc yangu. Kutumia tethering ya simu hainipi uhuru.
0 Reactions
0 Replies
274 Views
Bei/Price TSH 21.8M Call 0747 999 927 TOYOTA ALPHARD(ECP) Year: 2007 Engine: 2360Cc Mileage: 84,000+ Transmission: AUTO Automatic Doors In Good Condition Exchange Possible
1 Reactions
4 Replies
774 Views
TV yako haiwaki? TV yako inajizima? TV yako unasikia sauti huoni picha? TV yako inawaka nusu hazijazi kioo? TV yako imeingia giza upande mmoja? TV yako imeua taa? TV yako inarangi moja, njano...
7 Reactions
105 Replies
8K Views
Habari wana Jf Tunajishughulisha na masuala ya UCHIMBAJI WA VISIMA NA KUFANYA UNDERGROUND WATER SURVEY Tunatumia mashine za kisasa katika shughuli zetu Ukichimba nasi uhakika wa kupata maji ni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
SPECIFICATION Model : Dell Latitude 5300 Processor: Core i5 Ram : 8 GB SSD : 500 GB Size : Inch 14 Generation : 8 Window : 11 Screen: Normal and Touch screen Bei : 500,000/= Computer ni used ila...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Tunapaua na kuezeka kwa kutumia nyasi chelewa na makuti kwa kazi nzuri na yenye ubora cheki nasi
9 Reactions
25 Replies
1K Views
Nanunua viwanja na nyumba arusha kwa mawasiliano piga simu number 0697614768 only seriously salers should call
1 Reactions
1 Replies
336 Views
Hello, my people, are you oke? Me greet you all after a long time. Have a woundful day. byby
4 Reactions
15 Replies
680 Views
Habari, Shamba linauzwa eneo la Ismani mkoa wa Iringa, ukanda huu sehemu nzuri sana kwa uwekezaji wa mifugo, maeneo haya mifugo inazaliana sana na kukua kwa haraka ukilinganisha na kanda zingine...
0 Reactions
1 Replies
371 Views
Habarini wote. Mimi ni muhanga wa macho nimeyavumilia kwa muda mrefu lakini naona ni too much. Siwezi focus vitu vya mbalii hata karibu hasa maandishi ziwezi somaa. Naitaji miwani ya bei nafuu...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Mambo ya kuzingatia kabla ya kuanza ujenzi. Hakikisha unakiwanja ambacho kimepimwa na kinatambulika na manispaa ya mji...kuepuka migogoro. Katika kiwanja unachotaka kuanza ujenzi Hakikisha...
3 Reactions
0 Replies
432 Views
Wakuu, Nina Samsung Galaxy s24 Ultra, nimenunua jana baada ya kukosa Google pixel 9. Hili simu ni pana sana, nashindwa kuishika vizuri. Ili niitumie nashika kwa mikono miwili. Sipo comfortable...
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari.Nauza mirunda, mbao, na marine boards zilizotumika. Marine boards ziko size 18mm, Mbao zipo size 2x2, 4x2, 1x9, na 1x 10. Bei maelewano. Vifaa vimetumika mara moja tu, nategemea kuezua...
7 Reactions
9 Replies
984 Views
EMAUS LOGISTICS (T) LTD We do all Dar es salaam port and airport clearance of goods and vehicles on time, without additional costs. In need of our service please call us or whatsap on...
2 Reactions
2 Replies
489 Views
Back
Top Bottom