Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu. Microwave inauzwa. Bei 120,000/- Inapatikana Dar Es Salaam Karibuni
0 Reactions
6 Replies
512 Views
Kwa Wanachuo waliochaguliwa na wanaosoma TIA,Diplomasia,IFM na Mwalimu Nyerere vyumba vyakupangisha na hostels zinapatikana 📍 Kwa Aziz Alli -Single Rooms Kwanzia 50,000 - 80,000 -Master Room...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari Tunaandaa documents mbalimbali kwa ajili ya wajasiriamali. Wajasiriamali wengi nchini wamekuwa wakitafuta huduma hizi kwa gharama nafuu ila wamekuwa wakifanyiwa kwa bei kubwa kutoka kwa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari viongozi naiman mpo poa nipo hapa kutangaza biashara yangu mimi noifundi bomba wa majumbani na building materials pia ambae nimebobea pia tuna duka la hardware lipo kariakoo kwa huduma...
1 Reactions
2 Replies
514 Views
Habari wakuu Kwa wanaopenda viti vizuri basi viti hivi vitakufaa Sana kwa ajili ya bustani yako au baraza yako. Bei ya kuuzia ni Shilingi 120,000/- Vipo Dar Es Salaam ila popote unaweza...
0 Reactions
5 Replies
505 Views
Technology imekuwa, watu wanaprint cake kwenye 3D printers, mi natafuta software ya kuprint pilau.., Mwenye nayo anijuze..
1 Reactions
12 Replies
3K Views
  • Closed
Hallow JF habari zenu Natumaini mko sawa Kama kichwa cha Uzi kinavyosema Viatu Vinauzwa, ni vizuri havina mushkeri yoyote bado ni vipya havijatumika sana, bei ni Tsh 15000 tu ila maelekezo ya...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari wakuu. Kwa wale wahitaji WA mashine za kunolea na kukatia vyuma. Nauza benchi grinder hii kwa bei ya Shilingi 120,000/- Ipo Dar Es Salaam ila popote inaweza kukufikia. Karibuni
0 Reactions
1 Replies
418 Views
Habari wakuu. Pasi ni nzuri Sana unaweza kutumia mvuke. kwa wale wanaopenda vitu vizuri vya nyumbani. Bei ni 150,000/- Zipo Dar Es Salaam ila popote unaweza kutumiwa zikakufikia. Karibuni
0 Reactions
3 Replies
499 Views
Niko hapa kukusaidia kutengeneza programu bora kwa matumizi yako binafsi au ya kibiashara. Ninabuni websites na applications za kisasa kwa gharama nafuu na bei maelewano. Muda ni ndani ya siku 2...
1 Reactions
1 Replies
441 Views
Mwenye hela ya chap njoo uwekeze Kinapitika barabara > kina hati halali hakuna mgogoro ni mali tu ya mtu hakuna udalali unanunua unapewa hiyo hati majina utabalisha ww kwa mamlaka husika...
1 Reactions
5 Replies
463 Views
Kiwanja kilichopimwa kinauzwa Mjini Nzega,bei 5m.Kipo Mita 150 toka Rami,Mita 600 toka Stand Kuu ya Mabasi,Ujazo SQM 876,kuna Maji na Umeme.Matumizi ni biashara hususani Lodge/Hotel,Godown...
0 Reactions
5 Replies
526 Views
Habarini wakuu, Naomba kujuzwa sehemu wanapouza vitambaa vya sofa kwa bei ya jumla,
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Salaam Wadau.Kama Una Mashine ya kusaga Karanga kuwa rojorojo upo Dar, njoo tuzungumze biashara. Tunaweza kukupa mzigo kisha tukapatana utupe finished product au kila kitu kwako Sisi tunachukua...
1 Reactions
1 Replies
308 Views
ISHAUZWA TAYARI!
0 Reactions
5 Replies
582 Views
Nyumba inauzwa eneo karibu na shule ya msingi mbezi luis Njia ya kwenda Goba Eneo lina SQM 400 (20×20) Nyumba ina umeme na maji Nyumba ina vyumba vinne. Finishing haijakamilika vizuri. Dakika 10...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Mwani(Seamoss) ni miongoni mwa mimea inayopatikana baharini, ikichukua sehemu ya ikolojia ya bahari kwa kulea na kulisha viumbe wengine baharini. Hivi karibuni kilimo cha mwani kimeongezeka sana...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za mchana huu, napenda kuwatangazia kuwa Kwa yeyote anaye hitaji simu ya satellite anuchek ninayo
2 Reactions
9 Replies
590 Views
Je? Unamiliki biashara ya aina yoyote na ulikuwa unahitaji kufikia wateja wengi,kujitangaza pia kuuza bidhaa zako kupitia njia ya kidigitali. Wasiliana nasi Leo tutakutengenezea website kwa...
1 Reactions
1 Replies
781 Views
Back
Top Bottom