Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Karibu Nipigie hapa kama unahitaji 0775823513 Bei ni 650k fixed. Inapatipatikna Mbezi Beach- karibu na shule ya JK NYERERE. IMEUZWA TAYARI
1 Reactions
8 Replies
692 Views
Hello guys Mm ni muhitimu wa chuo nikaona kukaa tu sio poa niko Dar hapa kuna vyuo vingi natafuta mdada ambae yuko tayali tuanze kupita vyuoni kutafuta wateja na kuuza nguo kwenye hostels tunaenda...
6 Reactions
27 Replies
1K Views
Habari wakuu, Natafuta soko la uhakika la mayai ya kienyeji pure kwa dodoma jiji. Ninauza tray 17,000. Pure kienyeji. Karibuni sana. Ninapatikana Dodoma Mjini.
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari, naamini uko salama. Mimi ni agent natoa magari madogo na makubwa, container, loose cargo katika bandari ya Dar es Salaam. Pia nauza magari used na chassis pamoja na container za 20 feet...
1 Reactions
6 Replies
938 Views
Liwe sio mbali na Bagamoyo mjini kwasababu litajengwa hospital. Lenye hati litapewa kipaumbele
4 Reactions
7 Replies
509 Views
1 Reactions
5 Replies
629 Views
-Ukubwa wa kiwanja ni SQM 1045 - kiwanja ni Tambalale -umbali kutoka Fery ni KM 21 umbali kutoka baharini ni km 3 na kutoka Main Road ni km 3 kiwanja kipo Mtaa wa Shirikisho Document - serikali...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
wadau, hasa wanaoishi Zanzibar naomba msaada wenu, Nitakuwa Zanzibar kikazi kwa mwaka mmoja kuanzia mwezi wa sita. Natafuta Nyumba ya kupanga 2 Bedrooms ikiwa master room ni vyema zaidi...
1 Reactions
23 Replies
18K Views
Zipo aina kadhaa za kutengeneza CHAKI kulingana na uwezo wa mtu binafsi. Kwa kijana mjasiriamali unaweza kuanza na mashine ndogo na baadae ukishakuza mtaji unaweza kutafuta mashine kubwa zaidi...
2 Reactions
4 Replies
8K Views
Heavy Duty Scale Balance 1. 80 Tonnes (Used) - Tsh 76.3M 2. 60 Tonnes (New) - Tsh 81.75M Karibu
0 Reactions
4 Replies
411 Views
Habari wana JamiiForums, Kuna kitabu changu ninakiandika, na bado kidogo kukimalizia. Nataka kujua ni utaratibu gani niufuate ili niweze kukiingiza sokoni na pia nahitaji kujua gharama za...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF za kazi? Naomba msaada wenu kuna Idhaa ngapi za kimataifa za Kiswahili duniani. Naomba mnisaidie kuzitaja na nchi zilipo. nafanya utafiti. Na kwa walioko katika Funga nawatakia Saum Maqbull
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habarini, wapendwa nilipata shida kidogo nilikuwa nataka kujua wapi naweza uza pete ya Tanzanite kwa Dar es salaam?
1 Reactions
3 Replies
493 Views
Habari zenu wadau, Nipo mwanza nilkuwa nauhitaji wa winchi kubwa kwanzia TAN 25+ Please mwenye kujua anijuze naipata wapi 0614853457 pls
1 Reactions
6 Replies
490 Views
Nunua kiwanja kwa bei chee. Mbezi Msakuzi Makabe 18×22 kiwanja kina nyumba kuu kuu ya vyumba 3 bei mln 20 Kiluvya Gogoni 22×25 bei mln 9 Kiluvya kwa Komba 20×20 mln 6 Kiluvya kwa Sumaye...
2 Reactions
270 Replies
18K Views
Hi Ni router za ukweli sana hauhitaji router ya kila kampuni insupport mtandao wowote ule online kama unapata si chini ya 200,000 hata kwenye soko la china.. Mimi nauza nusu bei yaani 120,000...
0 Reactions
1 Replies
431 Views
Hotel Amenities kwa nusu bei!!! Tunauza Bidhaa za kipekee za kisasa. (International Standards) Zimetengenezwa mahsusi kwa Hoteli za Nyota 3 na kuendelea. Tunazo Dental kits(Mswaki na dawa yake)...
0 Reactions
3 Replies
380 Views
Tofauti Kati ya Mji Mdogo (Township Authority) na Mji Kamili (Town Council) Mji mdogo (Township Authority) na mji kamili (Town Council) ni ngazi mbili tofauti za utawala wa miji, zenye mamlaka na...
1 Reactions
0 Replies
496 Views
Habari, naomba kujua aina gani ya Chainsaw mashine ni bora kwa kupasua mbao Na bei zake zikoje kwa Dar Nasoma coments
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza gari aina ya IST namba CLW Bei ni mil 6.6 (inapungua kidogo) Gari ni nzima sana Napatiakana Shekilango nyuma ya ofisi za Shabiby na mawasiliano ni: 0659781878 Madalali plz hapa si mahala...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Back
Top Bottom