Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

" Ni fursa adimu kuwa mmiliki wa kiwanja cha bei poa huko Mikocheni A. Kiwanja hiki kina ukubwa wa 1500sqm na kina hati miliki, kwa hiyo unaweza kuwa na uhakika wa umiliki wako. Kiwanja hiki ni...
0 Reactions
10 Replies
790 Views
Hii ni endelevu au mnawaonjesha wasukuma uhondo waliokuwa wameuzoea wakati wa fast jet?. ========= Kutoka kwa mdau humu jukwaani. Rodney01 "Kutoka kwa chanzo cha ndani..ni kwamba ilikuwa ni...
26 Reactions
219 Replies
21K Views
• Direction: Magomeni Makanya • Facilities: Old house and 6 frames • Plot Area: 350 sqm • Document: Title deed • Price: TZS 250 million • Site Visiting: TZS 30,000 . ✓ ni kiwanja cha kona ✓ kipo...
0 Reactions
1 Replies
408 Views
Wakuu kwema? Mzee wa machimbo leo chimbo mimi mwenyewe. Naweka mfululizo wa pochi kali ninazoleta kutoka china mimi mwenyewe Ofisi yangu iko kawe ukwamani. Frem mpya za Lugalo Mikoani utatumiwa...
11 Reactions
39 Replies
2K Views
Habari, nauza mbao za mti wa Eucalyptus, kwa majina ya kiswahili unajulikana kama Mlingoti, Mkaratusi, Mti Mbao, Mbao nyekundu. Mbao zina ubora, size zimejaa na bei ni rafiki (ya shambani). Mbao...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Shamba linauzwa hakuna udalali lipo DODOMA kata ya chihanga Lina ukubwa wa heka 4 linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Wasiliana nami 0658090695 bei kwa kila heka ni million 3
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Leo katika sikukuu hii ya wafanyakazi duniani, nimeona itakuwa ni vyema kujuzana juu ya wataalam muhimu katika katika tasnia ya ujenzi. Hapa nalenga zaidi ujenzji wa Majengo madogo,yaani Nyumba...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Yesss! Kama ada yangu wazee sina nongwa ila cha ajabu Lamomy ana nongwa na mm! Sio kes... Kuna sahan nzito kali tu za mifupa kwa wafanyabiashara. Duka la mchina liko kariakok aggrey na...
12 Reactions
60 Replies
3K Views
Habari za asb wadau. Nyama nzuri iliyopimwa na mtaalam ~Steak kilo & Mixed Beef ~Nyama yenye mifupa - Kilo 80 inapatikana. Una shughyli, shule, Hoteli tupigie 0787904860 tupo Morogoro mjini Steak...
0 Reactions
6 Replies
773 Views
• Direction: Basihaya, the road to Ununio, 400 meters off Bagamoyo Road • Facilities: wall fence, servant quarter • Plot Area: 2,200 sqm • Document: Title deed • Forced Value: TSH 300 million •...
0 Reactions
0 Replies
312 Views
Karibuni kununua iPhone 16 Promax highcopy. Wahi, tuwahi. BCC:Nenga
7 Reactions
36 Replies
3K Views
Duka la dawa Muhimu DLDM LINAUZWA mwenye nalo, anaondoka Tabora bei ya kutupa million 3 tu pamoja na dawa Bei haipungui Duka Lina kabati 2 nyuma Kila moja futi 8 kimo 4 upana Kabati 1 mbele futi...
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Hello. Tunauza Peramiho beef Sausages. Nusu kilo packet 18,000 Kilo moja packet 35,000 Kilo moja na robo 40,000 Delivery ipo bei poa Call/whatsapp 0654465446
0 Reactions
5 Replies
661 Views
Habari wakuu, nina kiwanja changu maeneo ya tegeta kituo cha polisi, kina ukubwa wa 19 kwa 21. Hakijakaa square, kipo flat na hakijai maji. Kipo karibu na shule ya msingi na kituo cha polisi...
2 Reactions
6 Replies
612 Views
Habari zenu Wakuu, Nauza Tv ya TCL inch 32 SmartTv kwa 320,000 tu! Tv ni nzima na haijawahi kwenda kwa fundi. Napatikana Dar es Salaam. Mawasiliano 0626753305
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Natafuta mtaalamu wa mifugo (Dar) atakayenisaidia kunipatia design nzuri ya banda la ng'ombe 10 wanaokamuliwa/ wanaonyonyesha: cow pen (10 separate sections for 10 adult cows) + calf pen, crush...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari? Nadizain LOGO na POSTERS za Biashara, Kongamano n.k POSTERS za Kupost Mtandaoni kama INSTA, WATSAPP, FB N.K Hizi Ni baadhi ya kazi nilizofanya ukipendezwa tuwasiliane nami ili Tufanye...
9 Reactions
44 Replies
3K Views
Wana JF, Kuna wadau wanaagiza used computers toka Netherland nilikutana nao kwenye pita pita zangu leo nikaona kuna ndugu zetu wale wa Internet Cafe, Mashule, nyumbani n.k ambao wanahitaji...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
PACK 1 Business Watches Bei Ya China Bila Usafiri 14000 kwa saa moja Makadirio Usafiri kwa meli 500-1000 kila moja (Unalipia baada ya mzigo kufika bongo) Makadirio Muda wa usafiri siku 30-45 Kima...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za asubuhi viongozi naomba muuzaji wa vifaa vya simu Kwa bei ya Jumla ,vitu kama Mic, LCD za simu ndogo hizo Techno na nyingine karibuni
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom