Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninauza mbao za miti aina ya pine kutoka Iringa za size zifuatazo: 1 kwa 10, 1 kwa 8, 2 kwa 6, 2 kwa 4 na 1 kwa 6. Na urefu wa futi 12. Kwa mahitaji yako ya mbao kwa jumla na reja reja kwa Dar es...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa,sisi tunajishughulisha na uchimbaji wa visima pamoja utafiti wa maji ( ground water survey ) kwa bei rahis. Tunachimba kwa shillingi elfu sitini kwa mita moja na tunaweka pampu...
0 Reactions
0 Replies
596 Views
hivi nikikupa 50000 na nokia lumia 525 nzima kabisa haina tatizo lolote. JE WEWE UTANIPA CM GANI?
0 Reactions
1 Replies
987 Views
Kwa pamoja tunaweza nunua tshirt. Hizi ili kwa pamoja tuweze kuchangaia wahanga wa tetemeko la ardhi kagera
0 Reactions
50 Replies
3K Views
Natanguliza salamu kwenu wanajukwaaaa............... nafikiria kuanza biashara ya kuuza cd za movie ambazo maarufu sana dar sehem za uswahilini uzikosi hizi zile wanazoita feki ambazo zinzpgwa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Sony Xperia Z3 ambayo ina mwezi 1 tangu kuinunua inauzwa bei ni 400,000 napatikana kigamboni, sifa za simu ina 16 gb ROM na RAM ni 3 gb, ina 21 megapixel camera, marshmallow android version, kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu, natafuta chumba kimoja cha kupanga kwa dar, kiwe na umeme, choo na bafu kwa nje kwa ajili ya wapangaji.Mwenye chumba aweke bei hapa.Aweke bei kwa mwezi itakua bei gani. Nipo serious...
0 Reactions
84 Replies
18K Views
Brand new!! Series: 5 Model: J5100 Full HD 1920 x 1080 resolution Clear motion rate 100 Wide color enhancer Connect share USB connect share HDD connect share TRANSFER sound out 20w Story replay...
0 Reactions
6 Replies
774 Views
Sold
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Za Jumapili ndugu zangu? Kwa Jumapili ya Leo ningependa kuwajulisha wale wote wajasiriamali kuwa ile Kampuni iliyojitolea kudhamini, vikundi vya wakina Mama, au vijana ili kuweza kupata Mikopo...
0 Reactions
2 Replies
851 Views
Ndugu zangu heshima kwenu Naomba kama unauza simu (smartphone) yenye hali nzuri njoo uniuzie isiwe mbovu nina cash mkononi... Dau langu ni 90,000/=. Piga simu namba 0713926364
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Natafuta frem ya biashara nataka kuuza vifaa vya umeme pamoja na vifaa vya ujenzi frem iwe kati ya kimara Korogwe adi kibamba frem iwe nzuri na sehemu ambazo kuna watu wengi na pia eneo ambalo...
0 Reactions
1 Replies
667 Views
2 master bedroom/ 2 bedrooms, /dining/ sebule/ corridor/ praying room/ na server quarter za master mbili nje, square meters 498, kusima cha maji fresh Bei tsh mil 100 Eneo: mikadi mtàa wa magogoni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Super clean IPhone 5 for sale Used for one day Original and Full Boxed with Original New Accesories 16GB Internal Storage Silver in colour Price 360,000 Call 0784780955 or whatsap 0718942311
0 Reactions
2 Replies
623 Views
One piece. Bei: 179,999/- Imebakia Moja tu.
0 Reactions
3 Replies
856 Views
Kutoka blog ya Bongo5 Kitu pekee kinachoweza kuwapendeza wapenzi wa muziki kuhusu toleo jipya la Tecno Phantom 6 au 6+ | Bongo5.com TECNO Phantom 6 kuzinduliwa karibuni inakuja na iafoni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za siku nyingi wana JF Nataka kupack bidhaa za chakula, hivyo basi natafuta mtaalamu wa kutengeneza stixkers ili nibandike nembo na maelezo ya vidhaa zangu kibiashara. Kana uko tayari piga...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii ni maalum kwa shule za *Secondary*, *Taasisi*, *Mtu binafsi*, *Company* N.k njoo nikutengenezee vitambulisho vya *PVC* *(polyvinyl* *Chrolide)* kwa wasiofahamu zile ID zinazofanana na Card za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wasalaam wakuu, Natafuta kiwanja moro mjini cha kawaida tu nijenge kibanda cha kuishi maana nimechoka kupanga bajeti yangu ni 1.8-2mill. Nitashukuru sana kama nitasaidiwa kupata hicho kiwanja
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Karibu LEU Technologies. Tunafunga CCTV cameras maeneo mbali mbali maofsini, majumbani, hotelini, madukani supermarkets, vituo vya mafuta n.k GHARAMA ZETU: (1). 4 CHANNEL ANALOG SYSTEM (system ya...
1 Reactions
1 Replies
824 Views
Back
Top Bottom