Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Sold
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wadau, Nauza lexus is200 bei ni 6 million 6 cylinders, Automatic. Functioning cruise control Heated Seats. Semi leather Custom front bumper with LED fog lights Fiberglass custom side...
0 Reactions
3 Replies
963 Views
Kwa anaejua kichina anisaidie,juzi kwenye pita pita zangu mitaani nikakuta nguo za mtumba zinauzwa nikanunua moja kubwa kwa lengo la kwenda Ku edit.Nilipofika home kuikagua mifukoni nikakuta coin...
0 Reactions
2 Replies
614 Views
JE wewe ni mfanya biashara ndogo ndgo, na mwana kikundi chchte ambacho kimesajiliwa au bado hakijasajiliwa na unataka uduma ya mkopo unakataliwa na benk kisa hamjasajili kikundi chenu? Je wewe...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Mwenye nyimbo za kundi la muziki maarufu kama Ngoni Tribe, naomba atusaidie hapa.
0 Reactions
0 Replies
540 Views
Kama habari inavyo jieleza, utapata mafunzo ya program mbalimbali za computer popote ulipo hapa DAR, pia matengenezo na ushauri wa kitaalam wa huduma za computer kwa bei rahisi sana, kwa maelezo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NIMESHAIPATA HIYO PIK-UP ASANTENI SANA === NATAFUTA PICK UP,BEI SH MILIONI 4.5 NIPO CHALINZE,naweza kuja Dar kama ipo tayari. natafuta aina ya toyota hilux,au nisana pickup,kama una brand...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Brethren, Naamini kumekucha salama, naombeni msaada wa info ni wapi naweza kupata machine ya wheel alignment ya kununua, ikiwa kwa Tanzania tayari nitafurahi au kama unafahamu kampuni ambayo...
0 Reactions
33 Replies
10K Views
Wakuu naulizia nitapata wapi laini ya ttcl nitumie kwenye simu yangu ?napatikana kigamboni dar es salaam
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Dawa special ya nguvu za kiume, pure organic, 100% miti shamba inapatikana Dar. Siyo ya kunywa ni ya kupaka tu dushe siku moja kabla ya kukutana na mke wako..... Then make malove, mpaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
PATA AIRMX YA KUPANDA NAMBA 43 YAANI NAMBA TISA KWA 60000 MAONGEZI KIDOGO YAPO NA PIA PATA SMARTPHONE YA KIJANJA SIMPLE ZTE KIS3 KWA 120000 MAONGEZI KIDOGO YAPO NAPATIKANA UBUNGO EXTERNAL 0712100668
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Wanajamvi naomba anaejua bei ya semitrailer kama zile zinazosafirisha mbao kutoka Iringa anifahamishe. Naomba bei ya kichwa na ile flatbed. New and used. Asanteni
2 Reactions
10 Replies
16K Views
Kwa wale wageni ktk biashara ya mchele wa kahama, au unahitaji mtaalamu wa huko kahama anayehusika na mchele huu wa kahama vizuri ni huyu jamaa, maana mm nilikuwa mgeni ktk hii biashara lakini...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Unga huu wa lishe ni bora sana kwa afya yako,umetengenezwa na lishe mbalimbali ambazo ni muhimu kwa afya yako,kama karanga,soya,mahindi,ulezi na mchele,na umetengenezwa kwa ubora wa hali ya...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari wakubwa. Kwa anayehitaji ardhi maeneo ya Kigamboni, Mikwambe barabara ya Kongowe kwa anayetokea Mbagala. Na kama unatokea Ferry ni kituo cha Mikwambe unashuka mbele kidogo baada ya...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Niko ubungo maziwa 220000 0755661541
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu nataka kufungua ofisi. Kama una viti vya ofisi niuzie. Bei tutaelewana.
0 Reactions
2 Replies
940 Views
Mtaji wa 50000 tuu unakutajirisha ni I charity karibuni
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nakuja sokoni mkononi nikiwa na laptop aina ya lenovo idea pad 300 hii ni mpya (used for only 3 months) ina specs hizi hapa chini Windows10 Pro 2015 original version Intel Processor(N3050) 500GB...
1 Reactions
2 Replies
875 Views
Back
Top Bottom