Mashine ya uchimbaji visima mpya kabisa inauzwa

Mashine ya uchimbaji visima mpya kabisa inauzwa

Poxino

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
727
Reaction score
53
IPO DAR ES SALAAM Inachimba hadi mita 200 ila ninazo sticki za mita 150 tu. Inatumia diesel na ulaji wake mzuri kuliko mashine zote zingine
Inachimba hadi mita 100 kwa lita 50 BEI 65,000,000 kwa mawasiliano 0712690760
 
Tafadhali
Ni-PM namba yako tujadili namna kuikimbiza hii dili ndugu.
 
Sijapigiwa namtu Yoyote Simu kusu mashine namba yangu ni 0712690760
 
IPO DAR ES SALAAM Inachimba hadi mita 200 ila ninazo sticki za mita 150 tu. Inatumia diesel na ulaji wake mzuri kuliko mashine zote zingine
Inachimba hadi mita 100 kwa lita 50 BEI 65,000,000 kwa mawasiliano 0712690760
Wewe umeiagiza kwa Tshs ngapi mpaka imefika hapa na kodi zote??
 
Sijapigiwa namtu Yoyote Simu kusu mashine namba yangu ni 0712690760
Si-kweli nimekupigia Mara mbili.
Kabla sijamjibu jamaa alienihoji baada ya mimi kughafirika
Na baada ya kumjibu pia.Nimetumia namba ya tiGo inayoishia na 48.

Simu yako ilikuwa inaita tu.

Ila sio ishu nitakupigia tena mapema leo bila kukosa.
 
Karibu sana machine bado ipo
 
Mbona watu wengi wamekuwa wakikulaumu kuwa hupokei simu zao.
 
Nimepigiwa na watu wawili nanimewajibu
 
Bado IPO machine karibun sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom