FOR SALE/ NYUMBA INAUZWA TSH.75 MILLIONS
Iyo nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, sitting room, dinning room, kitchen na stoo ya nje na choo cha ziada cha nje.
Eneo la kiwanja chake ni Futi 50...
Achana na iPhone, Note 7 na Huawei, Phantom 6 kutoka Tecno itafunika zote kwa muundo wake, camera 21MP, processor 16GB ROM, GB kibao na muonekano mwembamba wa 4.69mm kuliko simu yoyote uliyowahi...
Infinity alluminium pvc and welding, tunatengeneza madirisha, milango, makabati, partitions na shelves za alluminium pvc na vioo kwa bei nafuu.
ofisi zetu ziko tegeta kwa ndevu ila tutakufikia...
Used
20.7 megapixel back camera
5 megapixel front camera
Magnetic charge na unaweza weka pad controller
16 gb internal memory
NFC ,screen Mirroring,mirrorlink support.
ram 3gb
Processor 2.5 ghz...
Nyumba inauzwa ipo kijichi ina vyumba 3 vya kulala darning choo cha nje sebule kubwa fansi na geti kubwa kuna bomba la maji na eneo zur la limebaki bei yake ni 65ml mazungumzo yapo kama mtu yupo...
Je unaipenda afya yako ? Kama jibu ndio basi kampuni yako yenye bidhaa zilizothibitishwa kimataifa kwa ubora na kuwatendea wengi Makubw na maajabu kwa kuwaponya magonjwa sugu, inakuletea bidhaa...
Kuanzia septemba mosi mwaka huu, shirika la umeme tanzania (tanesco) litaanzisha operesheni kabambe na endelevu ya kukusanya madeni ya wadaiwa wake wote kwa nchi nzima.
Uongozi wa shirika...
Ni vitabu vya zamani lakini vilikuwa ni vizuri, vinaburudisha na kufundisha.
1. Hekaya za abunuwasi
2. Malimwengu 1-12
3. Adili na nduguze
4. Bulicheka na lizabeta
5. Abdul
6. Alfu lele u...
Nimewahi kukisoma kitabu tajwa hapo juu na baadae kikapotea. Nimekikumbuka sana kitabu hicho na nimekitafuta sana kwenye maduka ya vitabu sijakipata. Naomba yeyote anayejua kinakopatikana...
Habarini wadau,
Nipo dar, nauza mayai ya kuku aina ya kroiler na vifaranga vya kuku aina ya kroiler. Pia tunatoa ushauri wa namna gani ya kufuga kuku kwa njia za asili. Kwa myenye mahitaji...
Mimi ni designer nauwezo mzuri katika kudesign napenda tambua kuhusu utengenezaji wa viatu vya ngozi mahitaji yanayo hitajika nakazalika plz naombeni msaada wenu wanajamvi
Nauza toyota hilux bei 7.5 haidaiwi chochote na kama inadaiwa italipwa kwa bei ya Manunuzi ipo mwanza inatumia Diesel manual gear ni nzuri kwa long trip na matumizi yake ya mafuta ni mazuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.