Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

FOR SALE/ NYUMBA INAUZWA TSH.75 MILLIONS Iyo nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, sitting room, dinning room, kitchen na stoo ya nje na choo cha ziada cha nje. Eneo la kiwanja chake ni Futi 50...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Achana na iPhone, Note 7 na Huawei, Phantom 6 kutoka Tecno itafunika zote kwa muundo wake, camera 21MP, processor 16GB ROM, GB kibao na muonekano mwembamba wa 4.69mm kuliko simu yoyote uliyowahi...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
10.5m maongezi yapo contact 0713270309
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Infinity alluminium pvc and welding, tunatengeneza madirisha, milango, makabati, partitions na shelves za alluminium pvc na vioo kwa bei nafuu. ofisi zetu ziko tegeta kwa ndevu ila tutakufikia...
0 Reactions
1 Replies
856 Views
Used 20.7 megapixel back camera 5 megapixel front camera Magnetic charge na unaweza weka pad controller 16 gb internal memory NFC ,screen Mirroring,mirrorlink support. ram 3gb Processor 2.5 ghz...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Nyumba inauzwa ipo kijichi ina vyumba 3 vya kulala darning choo cha nje sebule kubwa fansi na geti kubwa kuna bomba la maji na eneo zur la limebaki bei yake ni 65ml mazungumzo yapo kama mtu yupo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Je unaipenda afya yako ? Kama jibu ndio basi kampuni yako yenye bidhaa zilizothibitishwa kimataifa kwa ubora na kuwatendea wengi Makubw na maajabu kwa kuwaponya magonjwa sugu, inakuletea bidhaa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gari Kali na ya kijanja inauzwa aina ya Subaru Simu no 0717673698,WhatsApp 0768302047
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nauza kiwanja changu sh. mil 1 na nusu tu. Kipo vikindu, ukubwa wa kiwanja ni mita 20*20. Piga 0625667292.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nauza lumia ipo kwenye hali nzuri bei ya chee
0 Reactions
2 Replies
998 Views
Kuanzia septemba mosi mwaka huu, shirika la umeme tanzania (tanesco) litaanzisha operesheni kabambe na endelevu ya kukusanya madeni ya wadaiwa wake wote kwa nchi nzima. Uongozi wa shirika...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni vitabu vya zamani lakini vilikuwa ni vizuri, vinaburudisha na kufundisha. 1. Hekaya za abunuwasi 2. Malimwengu 1-12 3. Adili na nduguze 4. Bulicheka na lizabeta 5. Abdul 6. Alfu lele u...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Naitaji techno C8.. Bajeti yangu ni 150. Mwenye nayo njoo pm. Asante!
0 Reactions
7 Replies
841 Views
Nimewahi kukisoma kitabu tajwa hapo juu na baadae kikapotea. Nimekikumbuka sana kitabu hicho na nimekitafuta sana kwenye maduka ya vitabu sijakipata. Naomba yeyote anayejua kinakopatikana...
1 Reactions
17 Replies
8K Views
Habarini wadau, Nipo dar, nauza mayai ya kuku aina ya kroiler na vifaranga vya kuku aina ya kroiler. Pia tunatoa ushauri wa namna gani ya kufuga kuku kwa njia za asili. Kwa myenye mahitaji...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mimi ni designer nauwezo mzuri katika kudesign napenda tambua kuhusu utengenezaji wa viatu vya ngozi mahitaji yanayo hitajika nakazalika plz naombeni msaada wenu wanajamvi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza toyota hilux bei 7.5 haidaiwi chochote na kama inadaiwa italipwa kwa bei ya Manunuzi ipo mwanza inatumia Diesel manual gear ni nzuri kwa long trip na matumizi yake ya mafuta ni mazuri...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Gorofa + nyumba ya kawaida + swimming pool Na Eneo la kutosha: 4000 sqr meters Mawasiliano: +255716939441
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bei Ni milioni mbili na nusu,shamba lipo jirani na mto usiokauka maji linafaa kwa kilimo na ufugaji. Muhitaji tuwasiliane Mara moja.
0 Reactions
2 Replies
813 Views
Nyumba ina vyumba 2 vya kulala, Sitting room,jiko na toilet with bathroom ndani...mimi natumia bedroom moja na siting room
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom