Sabuni ya kusafishia sehemu za siri za mwanamke

Sabuni ya kusafishia sehemu za siri za mwanamke

josepher

Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
70
Reaction score
14
Sabuni kwaajili ya usafi wa sehemu nyeti kwa wanawake.


Tatizo la kuwashwa,harufu mbaya na maambukizi ya bacteria na fungus ni kero kubwa kwa wanawake.
Dr.aloe lady intimate wash ni sabuni nzuri kwaajili ya usafi wa maeneo nyeti.ni sabuni iliyotengenezwa kwa mimea.kazi zake ni kama ifuatavyo


1.sabuni hii inaondoa harufu mbaya
2.dr.aloe lady intimate wash huua bacteria wabaya na kuwaacha wanaotakiwa sehemu za siri na kuzuia harufu mbaya kutotengenezwa na bacteria wabaya.
3.inalainisha sehemu za siri na kuweka unyevu nyevu unaotakiwa sehemu hizo


jinsi ya kutumia
weka kiasi kidogo kwenye mikono yako halafu changanya na maji kidogo utenegeneze povu halafu unasafishia sehemu husika.then unajisafisha vizuri na maji masafi
wasiliana nasi kwa number zifuatazo kama utahitaji


1.0755-522018
2.0754299934
3.0653-299934
 

Attachments

  • BeFunky_Lady Intimate.jpg
    BeFunky_Lady Intimate.jpg
    35.7 KB · Views: 541
Mbona wanasema hapatakiwi kuoshwa na sabuni? Au ni nje tuu? How abt ndani?
 
mmh muwe makini mwenzenu aliweka sabuni humo KISIMI kikatuna kikajaa (ukubwa wa ULIMI) ENEO LA TUKIO
 
Mungu kakuumbia dushe kwa ajili ya kusafisha hiyo sehem
so haina haja ya kuingia gharama zingne zisizo za msing!

Ha haaaaa hiyo dushe inaweza pita hata miezi mitatu haijapita humo sasa c majanga ukisema usubirie dushe?
 
Ha haaaaa hiyo dushe inaweza pita hata miezi mitatu haijapita humo sasa c majanga ukisema usubirie dushe?

uzuri wake lile lina kimiminika maalum ambayo huua na kuteketeza kabsa bacteria wasiofaa eneo husika
madhara ya kuwa mbali na dushe maalum ndo hayo
pole sana bibie
 
Mi nafaha eneo lile huwa katka hali ya acid xo hao bacteria sio rahc kuish kama unakua msaf tuu.
Na hzi sabun za viwandan njee tuu ndan utaipoteza hiyo hali ya uacid kwan sabun huwa ni base
 
Mi nafaha eneo lile huwa katka hali ya acid xo hao bacteria sio rahc kuish kama unakua msaf tuu.
Na hzi sabun za viwandan njee tuu ndan utaipoteza hiyo hali ya uacid kwan sabun huwa ni base

naunga mkono hoja
 
Sabuni kwaajili ya usafi wa sehemu nyeti kwa wanawake.


Tatizo la kuwashwa,harufu mbaya na maambukizi ya bacteria na fungus ni kero kubwa kwa wanawake.
Dr.aloe lady intimate wash ni sabuni nzuri kwaajili ya usafi wa maeneo nyeti.ni sabuni iliyotengenezwa kwa mimea.kazi zake ni kama ifuatavyo


1.sabuni hii inaondoa harufu mbaya
2.dr.aloe lady intimate wash huua bacteria wabaya na kuwaacha wanaotakiwa sehemu za siri na kuzuia harufu mbaya kutotengenezwa na bacteria wabaya.
3.inalainisha sehemu za siri na kuweka unyevu nyevu unaotakiwa sehemu hizo


jinsi ya kutumia
weka kiasi kidogo kwenye mikono yako halafu changanya na maji kidogo utenegeneze povu halafu unasafishia sehemu husika.then unajisafisha vizuri na maji masafi
wasiliana nasi kwa number zifuatazo kama utahitaji


1.0755-522018
2.0754299934
3.0653-299934

Siwez kuthubutu kutumia hizi sabun tena, kuna siku nilikuwa salun natengeneza nywele akaja mmama anauza hizo sabun za kusafisha sehemu za siri

nikaingia mkenge nikanunua,nikaanza kutumia mwanzoni sikunote nn kinaendelea, ikaisha nikampigia simu aniletee nyingine, siku zilivyokuwa zinaenda,nikawa najiona nipo dry sana hata ile hali ya kawaida ya uke ikapotea ikafika mahal hata kidole kilikuwa hakipiti, kazi kubwa ikawa wakat wa sex hata niandaliwe siku nzima sipat kuwa wet, nikisex ndio kabisaaa nataman kuzimia kwa maumivu..

Sirudii nimekoma na sitaki tena hata nipewe bure..
 
Hii ndio ile Kaisiki Soap inayofanya Papuchi kurudia hali yake ya upya kwa kuibana na kuwa mnato?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom