Laptop inauzwa kwa TSH. 200,000/=.

Laptop inauzwa kwa TSH. 200,000/=.

Inamonga

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2016
Posts
779
Reaction score
476
Habari za kazi wakuu?
Naomba nipatiwe laptop kwa bei tajwa hapo juu..
Ikiwa medium size itafaa zaidi..
Iwe na uwezo wa kukaa na charge kuanzia masaa matatu na zaidi..
Brand yeyote, kikubwa iwe vizuri kwenye net basi..
 
Wewe ndio unauza au unataka kununua na hiyo laptop hapo juu ipo wapi?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom