Nauza hizi accessories wakuu, zote ni original.
Samsung USB flash drive 3.0 duo 64gb
Inasupport usb 3.0, vilevile ni backward compatible na 2.0
Ina 64gb storage capacity
Inasupport dual...
Nahitaji nyumba ya kuchangia,nyumba yoyote itakayonipendeza niko tayari kuishi,nimeoa na nina watoto wawili.Kwa yeyote aliye na nyumba na anahitaji sharing tuwasiliane mimi niko SOWETO-MBEYA...
Ndugu wanajamvi,
Nimepata nyumba nzima vyumba vitatu na sebule na kila chumba ni self, nahitaji mimi vyumba viwili tu nae achukue kimoja na sebule.
Mimi nitalipa laki mbili yeye alipe laki moja...
Kwa wale wenye iphone na wangependa kubadil housing zilichakaa au kuchubuka na kuzfanya simu zionekane mpya tena... unaweza ukabadil had rang pia .... place your order now!
The Bureau for Industrial Cooperation (BICO) UDSM is organizing a 4 days course called “Result-Based Monitoring and Evaluation” This course will provide participants with M&E tools, techniques and...
Natafuta chumba(masterbedroom) au single/na sebule ila kiwe kizuri maeneo ya kinondoni.Iwe karibu na kituo cha mwendokasi.Bajeti yangu mwisho ni 80000 miezi sita...
Square Feet/Meters: 164,042 ft2/50,000 m2/12 acres
Zaidi ya viwanja 50 vinauzwa Kigamboni Mwasonga,Karibu na Mradi wa Real Madrid soccer Academy na Nssf.
Umeme na maji vipo.
Bei ni tsh 10,000 kwa...
Habari wanajamvi nahitaji mkopo niendeleze biashara yangu ya viatu vya kimasai.
maana inafika wakati wateja wanakuwa wengi ila kutokana ninamtaji mdogo nashindwa kuwapa mzigo kwa wakati...
Natafuta Ofisi ya kupanga iwe sam nujoma road, ali hassan mwinyi mwisho morocco, cocacola kwanza road nk, ukubwa ni 20-30 sqmts, inaweza kuwa hata room moja kubwa au yenye partition au nyumba...
Nimekua nikinunua vifaranga kwa supplier huyu huyu kila siku ila mpaka kuku wanakuja kuuzwa, jumla ya vifaranga vilivyokufa inafikia 33 hadi 40. naona tatizo lipo kwa huyu supplier wa mda mrefu...
Habari wakuu.
Kwa mahitaji ya software ambayo:
1.Ni rahisi kutumia
2.Ina Report za aina zote za IFRS
3.Haihitaji server(CLOUD)
4.Unaweza tumia aidha kwenye computer, simu, tablet au kote kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.