Sabuni kwaajili ya usafi wa sehemu nyeti kwa wanawake.
Tatizo la kuwashwa,harufu mbaya na maambukizi ya bacteria na fungus ni kero kubwa kwa wanawake.
Dr.aloe lady intimate wash ni sabuni nzuri...
nimeletewa zawadi ya Tecno boom j8, ila sina mpango wa kuitumia, simu ni mpya kabisa rangi ya dhahabu utapewa na box lake lenye
1. cover moja la simu la kufunika la leather, lina rangi ya dhahabu...
Pata kibanda cha Mpesa kwa bei raisi, pia line za Mpesa zipo na kama ujue kufanya biashara hii nitakufundisha vzuri. Kibanda ni TSh. 150,000 na line za Mpesa na airtel ntakupatia zote kwa...
Habari za kazi wakuu?
Naomba nipatiwe laptop kwa bei tajwa hapo juu..
Ikiwa medium size itafaa zaidi..
Iwe na uwezo wa kukaa na charge kuanzia masaa matatu na zaidi..
Brand yeyote, kikubwa iwe...
Habari
Tunafanya networking ya wired au wireless kwa ajili ya ofisi kwa bei poa tu
Kazi yetu ni ya uhakika na vifaa vyetu tunazotumia ni za hali ya juu
Also tunatoa support baada ya kufanya...
Habari zenu,
Kwa wale wanaohitaji Tally.ERP 9 original version lakini hawawezi ku afford gharama ya kuinunua, tunayo license za kukodisha
Kwa maelezo zaidi unaweza kuuliza
Ahsante
Habari zenu,
Sisi tunatoa huduma ya installation, training, na implementation ya Tally.ERP 9
Tally ni accounting software ambayo kwa sasa inatumika na biashara nyingi ku maintain accounts books...
Wakuu nina mdogo wangu wa kike kapangiwa udsm na amepata hostel za mabibo lakini sitaki akae kule.
Hivyo kama kuna ambaye anauza chumba au ataweza mbebaa kwa main campass hostel za kike anifate...
Wakuu za masiku,
Nimetafuta uzi unaolezea hayo mambo nimekuta nyingi ni za muda sana na hazina mambo yote kwa pamoja naomba watu wenye ufahamu au wanaofany biashara ya matairi ya magari...
CISA (Certified Information Systems Auditor) review class will start Today on 09/05/2016 at DSM City Center Raha Tower Building .The course duration is 5 weeks, three hours a day from 1700-2000...
Ni Vitolize For Men & Women.
BORESHA AFYA YA UZAZI:
VITOLIZE FOR MEN:
Ni bidhaa ya asili iliyotengezwa kwa mchanganyiko wa Vitamin C,D,E,B6 na madini kama Zinc na Selenium.
Bidhaa hii...
African capital ni taasisi inayohusika na kutoa mikopo kwa watumishi/wafanyakazi wa serikali dar ea sala. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na utalipa ndani ya miezi sita mpaka miaka...
Used
Dell inspiron 15R Special Edition
Screen:LED
CORE i7
RAM 8GB
1TB(1000GB) Hdd
USB 3.0 4ports
2gb intel hd graphics
Amd 2gb graphics
PLAYS ALL HIGH GRAPHIC GAMES
tsh. 810,000/=
Stays with...
Malumalu : Nyumba nzima
Gypsum: Nyumba Nzima
Maji: Yapo
Umeme: Upo
Bei: 150,000 kwa Mwezi
Hali Ya Nyumba: Mpya
Mahali : Kigamboni Tungi (Km 1 toka Ferry/kwa usafiri ni Dakika saba umefika)...
Wakuu,
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nyumba ipo msakuzi njia ya kwenda mpigi magohe.Vyumba 3, kimoja master, jiko, sebule, dinining, public toilet.
Mnakaribishwa kujionea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.