chumba kikubwa na kizuri..madirisha mawili and gypsum..umeme upo pia plus godoro jipya la 4*6 kwa bei nzuri..room ni elfu 40 kwa mwezi kinawafaa pia wanafunzi wa udsm ni jirani na chuo.karibuni
Uzinduzi wa Phantom 6 jijini Dar es Salaam ulikuwa ni wa Aina yake kutokana na umati mkubwa kufurika na kuwepo kwa burudani nyingi zilizotumbuiza.
Watu walipanga foleni ndefu kwenye mistari ili...
Waungwana kama kichwa cha habari kilivyo jieleza apo juu nilikua natafuta soko la dagaa Nyasa la jumla kwa apa dar na kama kuna mtu atakua anawaitaji kwa wingi ani PM tuongee vizuri ili tufanye...
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu,nina shida na pikipiki aina ya Baja ya mtumba hasa kwa ajili ya matumizi ya shambani,nikipata XL 250 itakuwa vizuri budget yangu ni 6mil tunaweza kuongea...
Kwa wanaohitaji practical za physics,chemistry na Biology niko na mobile laboratory nakufikia popote ulipo kwa walioko Dar es salaam au fika ofisini kwetu barabara ya kwenda bagamoyo shuka kituo...
New Petrol,Diesel and Kerosene Filling station at Kibaha and another one of same qualification at Mkuranga for sale, 5 pumps, 4 tanks of 100,000 ltrs, car-wash 17 toilets for passengers...
Tembelea www.sosteneslekule.blogspot.com hapa utakutana na elimu mbalimbali kuhusiana na umeme na technolojia mbalimbali ambazo zinalengwa katika maisha ya kila siku duniani
Ina Aloe vera ya asili inayoua vijidudu na inayoondoa harufu mbaya katika makwapa.
Haina Chumvi ya Aluminium wala anti-perspirant.
Chumvi za Aluminium ni sumu na huaribu mifumo ya fahamu...
iPad min inauzwa bei nafuu kabisa ya Tsh 300000. Imenunuliwa tar 28/09/2016 ina leather cover yenye detection. Eneo ni posta mpya dar es salaam. Kwa aliye interested aniPM
K.n.y bizplan
Nauza toyota starlet yenye sifa hizi.
1.Displacement: 1330 cc
2.Colour: Dark Blue
3.Model: Toyota Starlet Carat
4.Mileage: 20,000
5.Rims: Sports
6.Transmission: Automatic...
Vitu vinauzwa kwasababu aliyekuwa anavitumia ni mwanafunzi na kwasasa amemaliza masomo yake.Vitu hivyo ni vifuatavyo:-
Kitanda cha 3×4
Dressing table
Jiko la gesi(mtungi mdogo wa mihan gas)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.