Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta kampuni ambayo ina uwezo kuchimba kisima maeneo ya Moshi bar karibu na relini njia ya kuelekea Kampala university. Nimechimbiwa na waswahili wenzangu visima 2 lakini yamebaki mashimo tu...
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Ndugu mteja nauza hii gari Land Cruiser 1HZ model HZJ105-GCMRS year of manufacture 2000 Gari ni nzuri Bei Milioni 24,000,000/= Maongezi yapo usiogope. Namba ya simu; +255752307878
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa anayependa anaweza kushiriki kwenye bahati ya kujishindia Tiketi za kwenda kutazama Muvi ya Tom Cruise - Jack Reacher ambayo ndio itaoneshwa kwa mara ya kwanza Dar Free Market Ijumaa 21 Oktoba...
0 Reactions
0 Replies
708 Views
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Domain names za .com kwa bei ya Tsh 10,000/= kwa mwaka Unaipata instantly Tunakuunganishia kwenye blog yako free kwa wanaohitaji website hosting: bei ni Tsh 5000/ kwa mwezi or 40,000/ kwa mwaka...
1 Reactions
16 Replies
989 Views
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa msimbazi..
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Tunafanya repair za Laptop na Desktop zenye matatizo mbalimbali na kurudia hali yake ya kawaida; Motherboard repair - tunafanya repair ya chip mbalimbali zilizokufa kwenye motherboard, diodes...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
mpaign/giveaway-summer-2016?refer=580728e6295082106f228f73
0 Reactions
5 Replies
930 Views
Nauza Simu hizi.. Samsung S5 Bei 360,000 LG G3 Bei 360,000 Used with very good condition.. No scratches.. Serious buyer's 0625690081
0 Reactions
2 Replies
977 Views
Natafuta laptop tajwa hapo juu... Specifications iwe na RAM 8GB Harddisk 500 GB Ni-PM kama unayo pamoja na ulipo na gharama zako, biashara tufanye tarehe 7-11-2016.
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Tibu Maradhi ya Computer yako kwa BEI NAFUU zaidi Tupo Sinza Makaburini - Mtaa wa Sokoni Simu: +255 755 257 508 / +255 713 741 758 Email...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
COMPUTER REPAIR AND MAINTENANCE-MOSHI, ARUSHA. SERVICES PROVIDED - LAPTOP REPAIR- TUNA REPAIR LAPTOPS ZENYE HARDWARE PROBLEMS ie power, display problems etc. -MOTHERBOARD REPAIR-Tunafanya...
0 Reactions
1 Replies
816 Views
Je, unajua ni Kwanini #Kuroiler ndio kuku mwenye faida kuliko kuku mwingine yoyote . Kuroiler ni mchanganyiko wa kuku wa aina mbili. Ni mchanganyiko wa Jogoo wa broiler ( Kutoka Sasso). Hawa...
3 Reactions
11 Replies
14K Views
ALOE HAND & FACE SOAP. Ni sabuni ya maji inayotumiwa kwa kunawia, Uso , Mikono na Kuogea pia, imetengenezwa kwa Aloe Vera na imewekwa katika uwiano sawa wa ngozi za aina zote. Husaidia na...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Arctic sea imetokana na mafuta ya samaki anayepatikana kwenye kina kirefu cha bahari ya Arctic anayetoa Omega 3 (750mg) na mafuta ya mizaituni inayotoa Omega 9 (250mg). FAIDA: 01. Husaidia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarin Wakuu nahijtaj TV Inch 26 ya kununua kwa laki mbili cash,muuzaji awe dar as salaam alienayi ni pm tufanye biashara mapema. Nb
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Nyumba ipo Kimara mwisho km 3 kutoka barabara ya MOROGORO maeneo ya Mavurunza eneo limepimwa lina ukubwa wa sq mita 900 nyumba imeishia linta ,(haijapauliwa) ni selfu ina vyumba 3 vya kulala...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Tunatoa huduma vifuatazo Website designing kuanzia TZS 150,000 Website Hosting Kuanzaia TZS 5,000 kwa mwezi Domain name Registration TZS 25,000 Kwa mwaka Mawasiliano: 0679732975
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mda huu wana JF, Yeyote mwenye kufanya biashara ya nguo hususan suti please anipe muongozo km naweza kupata suti yenye :- 1 Single button 2 Blue Coat 3 Black trouser
0 Reactions
0 Replies
663 Views
Habari msomaji! Natafuta shamba kwa ajili ya kufugia maeneo ya kiluvya lenye ukubwa kuanzia hekari moja na kuendelea. Tafadhali mwenye taarifa au shamba tuwasiliane hapa, pia unaweza kunitumia PM...
0 Reactions
2 Replies
956 Views
Back
Top Bottom