Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za asubuhi waungwana, Hawa Kopa Mali foundation wanahusika na ukopeshaji wa vitu kama bajaji, pikipiki, gari Noah na pesa. Mwenye kuwaelewa vizuri hawa jamaa tafadhali atujuze
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Bei ni 72,000 kwa chupa moja na unapata matokeo ndani ya wiki tu,popote tunakufikishia na mikoani pia tunatuma karibu 0769643939
0 Reactions
1 Replies
1K Views
On behalf of Association of Machine and equipments manufacturers Tanzania and Career Times LTD am pleased to inform you about our Conference , Taking the Long View on The Role of Local Machinery...
0 Reactions
0 Replies
487 Views
Connect up to 10 device at once Bei 60,000/-
0 Reactions
0 Replies
558 Views
Mimi bajeti yangu ni 150000 - 250000.Naomba kufahamishwa ni sabufa gani imara na Ina mziki mkubwa na ulio tulia kulingana na bajeti yangu.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Chanika Mjini(Videte) 50Ft X 50Ft, Bei: 5.0M. Maongezi yapo. Waweza Lipia kwa Awamu Mbili. Umeme na Maji hapo hapo. 0.6Kms kutoka Barabara ya Lami. 1.7Kms toka Chanika Stand. Pamepimwa...
0 Reactions
0 Replies
574 Views
Product Highlights MODEL: 40H5003 Multi-System Compatible Full HD 1920 x 1080 LED Panel Clear Motion Rate 120 Technology Wide Color Enhancer Plus Samsung ConnectShare Movie Soccer Sound and...
0 Reactions
1 Replies
801 Views
Ipo Bodaboda Mpya. Mkataba 47 weeks. Kila week 70Elfu. Location: Dar. Njoo PM.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Natafuta fundi anaekata worktop/mable na kuweka sink,cooker(plates) jikoni. Worktop zipo nahitaji aje akate na kufanya fitting tu. Fundi anaeweza hii kazi anipe aje pm.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapendwa wana JF naomba muongozo wenu.natafuta soko au wateja wa jumla wa nta na asali.nitafurahi zaidi nikipata wateja wanaoexport kwa ajili ya bei nzuri.kwa yeyote anayejua vizuri kuhusu hili...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Wakuu karibuni nauza mchele super kabisa kutoka mbeya kyela,kwa bei ya tsh 2000/kg na tsh 2200/kg nakuletea popote ndani ya dar kuanzia kg 50. Napatikana msasani karibu na msaani shopping mall or...
0 Reactions
2 Replies
920 Views
Wasaalam. Ndg zangu nipo dar nimelima tikiti natarajia kuvuna kesho. Naomba mwenye ufahamu wa soko anisaidie.. Nitashukuru. Asanteni.
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Gari tajwa hapo juu inauzwa, sababu za kuuza ni mabadiliko tu ya mfumo wa maisha, haina shida yeyote.. Year of manufacturing: 2002 Imported: 2012 ODO: 110,000+ chache Transmission: Manual...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
(FENICHA ZOTE ZIMESHAUZWA) Habari wana Jf Fenicha zifuatazo za ofisi zinauzwa kwa bei rahisi kabisa. Zimetumika kwa muda usiozidi miezi 8 tu 1. Meza ya kichina (imported, executive table) kubwa ya...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Kipo kibaha kwa mfipa. Ni 23x20. Bei ni milion 6. Ukihitaj ni pm.
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Wakuu, Vunja bei hapa nabwaga HTC desire eye yenye camera safi, flash mbele na nyuma , 4G Lte network na kioo kipana kwa bei pouwa sana ya 450k (pungufu unaongea) Simu ipo full na vifaa vyake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Samsung s6 edge Gold Bei-800,000 FIXED
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mwenye nokia C7 ambayo ipo ktk hali nzuri na anaiuza ana PM
0 Reactions
0 Replies
547 Views
I'm giving you a free ride on the Uber app (up to TZS9,000). To accept, use code 'gerryj209ue' to sign up. Enjoy! Details: https://www.uber.com/invite/gerryj209ue
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Back
Top Bottom