Habari za asubuhi waungwana,
Hawa Kopa Mali foundation wanahusika na ukopeshaji wa vitu kama bajaji, pikipiki, gari Noah na pesa.
Mwenye kuwaelewa vizuri hawa jamaa tafadhali atujuze
On behalf of Association of Machine and equipments manufacturers Tanzania and Career Times LTD am pleased to inform you about our Conference , Taking the Long View on The Role of Local Machinery...
Chanika Mjini(Videte)
50Ft X 50Ft,
Bei: 5.0M.
Maongezi yapo.
Waweza Lipia kwa Awamu Mbili.
Umeme na Maji hapo hapo.
0.6Kms kutoka Barabara ya Lami.
1.7Kms toka Chanika Stand.
Pamepimwa...
Product Highlights
MODEL: 40H5003
Multi-System Compatible
Full HD 1920 x 1080 LED Panel
Clear Motion Rate 120 Technology
Wide Color Enhancer Plus
Samsung ConnectShare Movie
Soccer Sound and...
Natafuta fundi anaekata worktop/mable na kuweka sink,cooker(plates) jikoni. Worktop zipo nahitaji aje akate na kufanya fitting tu.
Fundi anaeweza hii kazi anipe aje pm.
Wapendwa wana JF naomba muongozo wenu.natafuta soko au wateja wa jumla wa nta na asali.nitafurahi zaidi nikipata wateja wanaoexport kwa ajili ya bei nzuri.kwa yeyote anayejua vizuri kuhusu hili...
Wakuu karibuni nauza mchele super kabisa kutoka mbeya kyela,kwa bei ya tsh 2000/kg na tsh 2200/kg nakuletea popote ndani ya dar kuanzia kg 50.
Napatikana msasani karibu na msaani shopping mall or...
Gari tajwa hapo juu inauzwa, sababu za kuuza ni mabadiliko tu ya mfumo wa maisha, haina shida yeyote..
Year of manufacturing: 2002
Imported: 2012
ODO: 110,000+ chache
Transmission: Manual...
(FENICHA ZOTE ZIMESHAUZWA)
Habari wana Jf
Fenicha zifuatazo za ofisi zinauzwa kwa bei rahisi kabisa. Zimetumika kwa muda usiozidi miezi 8 tu
1. Meza ya kichina (imported, executive table) kubwa ya...
Wakuu, Vunja bei hapa nabwaga HTC desire eye yenye camera safi, flash mbele na nyuma , 4G Lte network na kioo kipana kwa bei pouwa sana ya 450k (pungufu unaongea)
Simu ipo full na vifaa vyake...
I'm giving you a free ride on the Uber app (up to TZS9,000). To accept, use code 'gerryj209ue' to sign up. Enjoy! Details: https://www.uber.com/invite/gerryj209ue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.