Viwanja Kigamboni opposite na Avic town

Viwanja Kigamboni opposite na Avic town

kawombe

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
17,563
Reaction score
21,208
Kuna viwanja vinauzwa maeneo ya kigamboni vinatizamana n AVIC TOWN
umbali kutoka city center ni 26 KM.na kutoka njia kuu y kimbiji kwenda kwenye viwanja ni 3 KM TU.Vipo vilivyo pimwa vitatu tu
Square meters 400
Square meters 500
Square meters 600
Kila square meters 1 = 10000
Kipo pia kimoja cha miguu 20 kwa 20 na kina kisambusa chake mwisho utapatiwa.BEI 2 million mazungumzo yapo pia.tuwasiliane kupitia PM kwa mwenye mahitaji.
cb87e5726bae10541101399707fd320a.jpg
c2fbce9c70edee855fce611d2120bc73.jpg
 
Asante kwa taarifa,vina hati na je miundombinu kama umeme upo?

Maji unachimba kisima maji ukichimba hayako mbali sn kwenda chini.na kuhusu umeme uko mbali wa kama 2 kilometer. Kwa sasa
 
Kuna viwanja vinauzwa maeneo ya kigamboni vinatizamana n AVIC TOWN
umbali kutoka city center ni 26 KM.na kutoka njia kuu y kimbiji kwenda kwenye viwanja ni 3 KM TU.Vipo vilivyo pimwa vitatu tu
Square meters 400
Square meters 500
Square meters 600
Kila square meters 1 = 10000
Kipo pia kimoja cha miguu 20 kwa 20 na kina kisambusa chake mwisho utapatiwa.BEI 2 million mazungumzo yapo pia.tuwasiliane kupitia PM kwa mwenye mahitaji.
cb87e5726bae10541101399707fd320a.jpg
c2fbce9c70edee855fce611d2120bc73.jpg

Asanteni sana.
Hiki cha miguu 20 kwa 20 tayri na kisambusa chake kimechukuliwa.
 
Navyojua mm kuanzia nadhani gezaulole kulia kama unatokea kigamboni ni eneo la jeshi mpaka unapokaribia kimbiji
 
Navyojua mm kuanzia nadhani gezaulole kulia kama unatokea kigamboni ni eneo la jeshi mpaka unapokaribia kimbiji

Oh okay kama unafahamu shamba la sophia simba heka zaidi ya 40 mbona ziko karbu n hv viwanja. Je n yy ni jeshi??? Kama usemavyo.na siyo yy tu yuko upande huo.hakuna kitu kama hicho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom