mareeTZ
Senior Member
- Jun 4, 2015
- 171
- 179
Jipatie monitor (kioo cha computer) inch 14 chenye tv hapo hapo kwa shilingi elfu 90 tu. Hakuna habari ya kununua tv box yani unachomeka direct kin'gamuzi chako au DvD yako unakula burudani. Ukinunua Monitor hii aina ya Orion (made in Denmark) nitakupa na adapter mpya nzuri ambayo utaweza pia kuitumia kwenye laptops za Toshiba. Nipo dar -es-salaam.simu no. 0674 522382.