Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Identifier : Macbook pro 9.1' Processor lntel 3rd generation i5@2.6ghz 4gigs of ram 1600 Mhz bus speed 500gb hdd Graphics:Intel Hd 4000 (1.57gb adaptor memory) Os x El capitan (upgradedable...
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Mazda Demio chombo kiko vizuri namba D inauzwa.. Bei ni 8m Maongezi yapo.. Kwa manunuzi na mawasiliano zaidi pitia hapa 0755155782. ipo Dar es salaam.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta chumba cha kupanga kiwe self
0 Reactions
2 Replies
530 Views
MAHALI: Kisarawe Km 35 toka Airport UKUBWA: Heka 17 SIFA: Lina Hati , kuna Nyumba kubwa Pia Kuna Mazao Kama Mitiki, Michungwa,Mikaratusi Bei: Tsh Milioni 800 aliyesirias Anakaribishwa kuliona Pi...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Shamba linauzwa morogoro habari njema kwa wakazi wa morogoro au hata hapa dar shamba kubwa sana linauzwa morogoro limelimiwa mpunga mpaka sasa ni hekali 12 na bei yake ni rahisi million 7 kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza iPhone 6 16gb $650 na 6s 16gb $750 full seal box Rangi unachagua Maongezi yapo
0 Reactions
1 Replies
704 Views
Wana jamii ninashida sanaa na frem mbili. Kwanza kwaajili ya biashara ya vitu vya mtaani au sokoni(food staff). Na frem kwaajili ya kukamua juice ya miwa. kwa maeneo yote ya Dar...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Samsung Galaxy S5 inauzwa Call 0752 370724
1 Reactions
4 Replies
950 Views
Habarini wana Jf nahitaji Tv flat screen inch 42 bei maelewano mwenye nayo aje inbox
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Kwa mahitaj ya mayai ya kanga yenye uhakika wakutoa vifaranga wasiliana nani nisipokua hewani waweza ni sms wasap kupitia 0717 209059 ila elimu ya ufugaj ni bure KARIBU SANA NAFAS NDIO HII
1 Reactions
3 Replies
986 Views
SD Memory Cards for Sale....Special Price Offer. 8gb - Tsh. 9,000 16gb - Tsh. 18,000 32gb -Tsh. 36,000 Mobile/Call: 0655659115...!!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tecno N8...Tsh. 250,000... Na HTC M8...Tsh. 250,000... Call: 0655659115 Whatsapp: 0624132227
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda kuwatangazia kuwa kuanzia tarehe 5 mwezi ujao tutakuwa tukitoa kuku wa nyama kuanzia 1000 tunapokea tenda kuanzia kuku kumi tutakufikishia katika eneo lako la kazi au ofisini kwako bei...
2 Reactions
0 Replies
741 Views
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1137514/ Microwave bei sawa na bure
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Habari rafiki? Je umekuwa na kiu ya kuongeza kipato chako zaidi ya unachopata sasa? Au kwa sasa huna kipato cha uhakika? Karibu kwenye semina ya MILIONI YA ZIADA, Hii ni semina ambayo utajifunza...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Wakuu, nauza samsung galaxy s5 used kwa miezi mitatu. Bei Tzs 500,000/= Nicheki 0652902994 Niko Dodoma.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wasalaam JF, Wakuu naomba mwenye kujua sehemu ninaweza kupata wino wa hii pen nimejaribu kuutafuta nimekosa. Nitashukuru sana kwa msaada wenu.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza samaki sato na sangara jumla na rejareja hapa jijini Dar. Natafuta tenda za samaki eneo lolote Dar, mahotelini, maofisini, mashuleni na hata kwa wafanyabiashara wa reja reja (wenye mabucha...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Natafuta nyumba ya double rooms self contained. Bajeti: 100,000 kwa mwezi Kama wewe ni mwenye nyumba na una nyumba yenye sifa nilizotaja hapo juu tafadhali wasiliana nami kupitia: Simu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom