Jaman nafanya biashara ya ku-deliver parcel au document anayehitaji service anicall 0653-620415. natoa bima ikitokea document ikapotelea ndani ya mikono yetu unataja value yake unarudishiwa.
Habari wakuu, kuna gari inauzwa imeingia nchini wiki iliyopita aina ya SUZUKI CARRY 4WD, MANUAL TRANSMISSION, 4 speed, iko Dar, bei maelewano kuanzia Mil.7.5 tu iliyoingiziwa. mmiliki amehamia...
Vyumba/Hostel vinapatikana mita 300 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa (Tumaini University). Kila Chumba kinajitegemea (self contained), kuna maji ya pre paid meter na umeme wa LUKU.
Mawasiliano, 0787...
Kwa yeyote anaehitaji tafadhali ani-pm, ni product inayofanya kazi effectively na kukuacha na smooth and fair back. Inaondoa hilo tatizo bila kujirudia tena unlike to other products
Mwalimu anahitajika,
Mwenye uwezo wa kufundisha masomo agalau 5 muhimu ya mwanafuzi wa darasa la tano,
ni baada ya mwanfuzi kutoka shuleni, saa za jioni, nyumbani maeneo...
Wana jamii forum wenzangu naomba kujuzwa jinsi ya kupata king'amzi ikiwezekana na dish lake kupata na kuangalia channel za mpira kwa bei nafuu. DSTV wamekua hawashikiki na sisi wapenzi wa soka...
One large bedroom which combines both the living and sleeping areas into a single space; the bathroom is in a separate room and contain the essentials such as a toilet, shower area and a full...
TRACTOR ZINAUZWA
tractor zinauzwa zipo katika hali nzuri karibuni
MASSEY FERGUSON 178 bei ni milioni 19.5 tsh
FORD 4000 bei ni milion 17.5 tsh.
zipo Mbweni, Daresalaam
mawasiliano zaidi 0714242879
Tusafiri Pamoja kutembelea hifadhi ya taifa ya #ngorongoro_crater tarehe 27/12/2016 na kurudi tarehe 29/12/2016 kwa gharama ya 190,000 tu. Mwisho wa kufanya booking ni tarehe 20/12/2016. Safari...
Tunapenda kuwatangazia shule, taasisi kwamba tunatoa punguzo la bei kwa vifaa na chemicals za shule katika kipind hiki cha maandaliz ya mitihan.Tunapatika kariakoo mtaa wa muhoro na swahili pia...
Tunapenda kuwatangazia shule, taasisi kwamba tunatoa punguzo la bei kwa vifaa na chemicals za shule katika kipind hiki cha maandaliz ya mitihan.Tunapatika kariakoo mtaa wa muhoro na swahili pia...
viwanja vya ukubwa kuanzia metre 17.5 hadi heka 30 vinauzwa Moshi
klmanjaro
Viwanja hivi unaweza kujenga nyumba kwa ajili ya makazi au kupangisha unaweza kujenga sheli shule , hospital na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.