Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jaman nafanya biashara ya ku-deliver parcel au document anayehitaji service anicall 0653-620415. natoa bima ikitokea document ikapotelea ndani ya mikono yetu unataja value yake unarudishiwa.
0 Reactions
0 Replies
565 Views
Habari wakuu, kuna gari inauzwa imeingia nchini wiki iliyopita aina ya SUZUKI CARRY 4WD, MANUAL TRANSMISSION, 4 speed, iko Dar, bei maelewano kuanzia Mil.7.5 tu iliyoingiziwa. mmiliki amehamia...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari,wapi naweza kupata mayai ya kuku wa mayai na nyama kwa ajili ya kutotolesha?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vyumba/Hostel vinapatikana mita 300 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa (Tumaini University). Kila Chumba kinajitegemea (self contained), kuna maji ya pre paid meter na umeme wa LUKU. Mawasiliano, 0787...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Brandnew IPhone 5s for sale Original and Full Boxed 16GB Internal Storage Gold in colour Price 580,000 Call 0784780955 or whatsap 0718942311
0 Reactions
0 Replies
585 Views
Kwa yeyote anaehitaji tafadhali ani-pm, ni product inayofanya kazi effectively na kukuacha na smooth and fair back. Inaondoa hilo tatizo bila kujirudia tena unlike to other products
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Mwalimu anahitajika, Mwenye uwezo wa kufundisha masomo agalau 5 muhimu ya mwanafuzi wa darasa la tano, ni baada ya mwanfuzi kutoka shuleni, saa za jioni, nyumbani maeneo...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wana jamii forum wenzangu naomba kujuzwa jinsi ya kupata king'amzi ikiwezekana na dish lake kupata na kuangalia channel za mpira kwa bei nafuu. DSTV wamekua hawashikiki na sisi wapenzi wa soka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nyumba kubwa ina vyumba vitatu kimoja master inapangishwa ina maji na umeme nyumba mpya bei 700,000 kwa mwezi maongezi yapo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vyumba viwili vinapangishwa kitunda machimbo bei elfu 80, machimbo mwisho
0 Reactions
1 Replies
1K Views
One large bedroom which combines both the living and sleeping areas into a single space; the bathroom is in a separate room and contain the essentials such as a toilet, shower area and a full...
0 Reactions
0 Replies
571 Views
32gb storage,LTE &4G bands Tsh 470,000 #0717251751
0 Reactions
0 Replies
472 Views
TRACTOR ZINAUZWA tractor zinauzwa zipo katika hali nzuri karibuni MASSEY FERGUSON 178 bei ni milioni 19.5 tsh FORD 4000 bei ni milion 17.5 tsh. zipo Mbweni, Daresalaam mawasiliano zaidi 0714242879
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Escudo 5 door,dark blue,milioni 8 Maongezi yapo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tusafiri Pamoja kutembelea hifadhi ya taifa ya #ngorongoro_crater tarehe 27/12/2016 na kurudi tarehe 29/12/2016 kwa gharama ya 190,000 tu. Mwisho wa kufanya booking ni tarehe 20/12/2016. Safari...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Tunapenda kuwatangazia shule, taasisi kwamba tunatoa punguzo la bei kwa vifaa na chemicals za shule katika kipind hiki cha maandaliz ya mitihan.Tunapatika kariakoo mtaa wa muhoro na swahili pia...
0 Reactions
0 Replies
949 Views
Tunapenda kuwatangazia shule, taasisi kwamba tunatoa punguzo la bei kwa vifaa na chemicals za shule katika kipind hiki cha maandaliz ya mitihan.Tunapatika kariakoo mtaa wa muhoro na swahili pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Lipo katk hali nzuri na liko full bei ni pm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
viwanja vya ukubwa kuanzia metre 17.5 hadi heka 30 vinauzwa Moshi klmanjaro Viwanja hivi unaweza kujenga nyumba kwa ajili ya makazi au kupangisha unaweza kujenga sheli shule , hospital na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom