Identifier : Macbook pro 9.1'
Processor lntel 3rd generation i5@2.6ghz
4gigs of ram 1600 Mhz bus speed
500gb hdd
Graphics:Intel Hd 4000 (1.57gb adaptor memory)
Os x El capitan (upgradedable...
MAHALI: Kisarawe Km 35 toka Airport
UKUBWA: Heka 17
SIFA: Lina Hati , kuna Nyumba kubwa Pia Kuna Mazao Kama Mitiki, Michungwa,Mikaratusi
Bei: Tsh Milioni 800
aliyesirias Anakaribishwa kuliona Pi...
Shamba linauzwa morogoro habari njema kwa wakazi wa morogoro au hata hapa dar shamba kubwa sana linauzwa morogoro limelimiwa mpunga mpaka sasa ni hekali 12 na bei yake ni rahisi million 7 kwa...
Wana jamii ninashida sanaa na frem mbili.
Kwanza kwaajili ya biashara ya vitu vya mtaani au sokoni(food staff).
Na frem kwaajili ya kukamua juice ya miwa. kwa maeneo yote ya Dar...
Kwa mahitaj ya mayai ya kanga yenye uhakika wakutoa vifaranga wasiliana nani nisipokua hewani waweza ni sms wasap kupitia 0717 209059 ila elimu ya ufugaj ni bure
KARIBU SANA NAFAS NDIO HII
Napenda kuwatangazia kuwa kuanzia tarehe 5 mwezi ujao tutakuwa tukitoa kuku wa nyama kuanzia 1000 tunapokea tenda kuanzia kuku kumi tutakufikishia katika eneo lako la kazi au ofisini kwako bei...
Habari rafiki?
Je umekuwa na kiu ya kuongeza kipato chako zaidi ya unachopata sasa? Au kwa sasa huna kipato cha uhakika?
Karibu kwenye semina ya MILIONI YA ZIADA,
Hii ni semina ambayo utajifunza...
Nauza samaki sato na sangara jumla na rejareja hapa jijini Dar. Natafuta tenda za samaki eneo lolote Dar, mahotelini, maofisini, mashuleni na hata kwa wafanyabiashara wa reja reja (wenye mabucha...
Natafuta nyumba ya double rooms self contained.
Bajeti: 100,000 kwa mwezi
Kama wewe ni mwenye nyumba na una nyumba yenye sifa nilizotaja hapo juu tafadhali wasiliana nami kupitia:
Simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.