Nyumba inauzwa Mbezi beach

Nyumba inauzwa Mbezi beach

Luz_12

Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
57
Reaction score
7
Gorofa + nyumba ya kawaida + swimming pool + two garages + generator + 10 Tanks + Eneo la kutosha: 4000 sqr meters na vingine vingi ndani yake..

Mawasiliano: +255716939441

1474983857166.jpg
1474983871410.jpg
1474983882112.jpg
1474983892072.jpg
1474983901858.jpg
1474983914594.jpg
1474983926508.jpg
1474983938118.jpg
1474983951045.jpg
1474983962734.jpg
1474983972492.jpg
1474983981315.jpg
 
Hii sio bilioni mbili ? Ngoja kwanza nifukuzie kiwanja Mpiji Majohe 20*20 hii dunia haiko fair
ha ha ha kweli aiise huo mjengo unaweza kuta bei yake unaweza jenga nyumba kama 5 Kyle chanika na chenji ya kununulia ka passo ikabaki..wacha maisha yaendelee
 
acha roho mbaya mkuu

Siyo hivyo tatizo wewe unataka vilivyokwishatengenezwa utumie tu hutaki kutafuta wa kumpa mawazo ambayo mupate kije kiwafae wote,tumia plan B kama A haikusaidi ila kupata milioni siyo tabu tabu kuitunza tu hiyo milioni
 
Haaaaaaah..... Hii c nyumba ya Uncle?? Inawaje anaiuza? kapatwa na nini? Mmmmh..!!! Ngoja nimuulize Mother hapa
 

Naona tayri safari y kuishi kama mashetani imeanza sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom