Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,506
- 13,976
Habari zenu?
Ninauza mayai ya kuku chotara,kwa jumla na rejareja.Bei ya rejareja ni sh 9,000/= kwa teri moja na bei ya jumla ni 8,500/= kwa trei Kuanzia trei kumi na zaidi.
Mayai yanapatikana Maji ya Chai (Arusha) na unaweza kuletewa Arusha na maeneo ya jirani endapo utakuwa unahitaji mengi.
KUMBUKA: Mayai chotara ni yale yatokanayo na jogoo.
Mawasiliano: 0755 033636 au PM.
Ninauza mayai ya kuku chotara,kwa jumla na rejareja.Bei ya rejareja ni sh 9,000/= kwa teri moja na bei ya jumla ni 8,500/= kwa trei Kuanzia trei kumi na zaidi.
Mayai yanapatikana Maji ya Chai (Arusha) na unaweza kuletewa Arusha na maeneo ya jirani endapo utakuwa unahitaji mengi.
KUMBUKA: Mayai chotara ni yale yatokanayo na jogoo.
Mawasiliano: 0755 033636 au PM.