Heshima kwenu wadau,
Ninahitaji 2 tires za 10 Inches na 2 inner tubes za 10 Inches.
Nahihitaji kwa ajili ya mountain buggy stroller.
Kwa aliye nazo au anajua wapi kwa kuzipata tafadhali anijuze...
Nauza kiwanja changu Iringa kipo eneo la Mawelewele, kina ukubwa wa ekari moja, hati zote zipo.
Bei milioni kumi na tano(15mil) kipo karibu na barabara kuu mita 150 kutoka barabara kuu na km 14...
True Ink Associates would like to announce that CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Classes is scheduled to commence on Monday 25/07/2016, Dar Es Salaam City Center, Raha Tower...
Kwa wanaohitaji simu mpya na hii inaweza kuwa fursa na pia inaweza kusaidia kubana matumizi. Hii ni kwamba ukinunua TECNO N2 wanakupa muda wa maongezi wa 10,000 na GB2 za intaneti utakuwa unapewa...
Kwa wale wa chuo..
Laptop bomba kwa bei reasonable..
Ts nearly new..
Lenovo (slim)
Ideapad 100
Intel processor @2.1ghz
2gb ram
15" hd screen
500gb hdd
Mlango wa dvd read n write
Charge masaa 4...
kama unahitaji mtu wa kukuletea document au parcel kwa bei ndogo piga simu no 0653620415,,,kwa mawakili na wanasheria pia unaweza kutupa document confidential ikafika sehemu husika ,, tuna bima...
Eneo lipo goba mwisho barabara ya masana-goba-mbezi hata km 1 haifiki kutoka usawa wa goba centre
Eneo lina ukubwa wa eka 3
Bei ya kuanzia ni mil 450 maelewano yapo
Kwa maelezo zaidi
0719573444/...
Habari wapendwa, kwa niaba ya kampuni ya RABEVENTS ninayo furaha ya kuwatangazia fursa ndugu zangu wenye magari yao binafsi na wangependa kupata wateja wa kuyakodi magari hayo.
Hii itakusaidia...
Kiwanja Kinauzwa. Kipo maeneo ya Kimele Bagamoyo, Kabla hujafika Shule ya BaoBab unaingia upande wa Kushoto kama umetokea Bunju Dar es Salaam. Kipo umbali wa Kilometa 2 kutoka Barabara Kuu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.