Uzito uliyopitiliza si Afya.

Uzito uliyopitiliza si Afya.

Kaie

Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
48
Reaction score
24
FIT PROGRAM
INAANZA NA CLEAN 9 PROGRAM

1477551472986.jpg


C9 Mpya ,ina vitu vifuatavvyo;

• Aloe vera gel (2 bottles)
• Forever lite ultra shake mix(1)
• Forever therm(18 Tablets)
• Forever fibre(9 sticks)
• Garcinia plus (54 softgels)

MATUMIZI
SIKU YA 1&2
MUDA
TUKIO

BREAKFAST
12:00 Asb
Kunywa Garcinia 2(Subiri dakika 20)

12:20Asb
Kunywa Aloevera gel(4oz)
Kunywa Forever Therm(kidonge kimoja)
(Na angalau glass moja ya maji)

12:30-7:00Asb
Fanya mazoezi mepesi kwa angalau Dakika 30(Tembea,Endesha Baiskeli,Ogelea,Kimbia)

SNACK
3:00 Asb
Kula paketi moja ya Forever Fibre(Changanya na glass moja ya Maji au Kinywaji kingine)

LUNCH
6:30-7:00 Mchana
Kunywa Garcinia vidonge 2
Subiri dakika 20
Kunywa Aloevera gel(4oz) na maji angalau glass moja
Kunywa Forever Therm(kidonge kimoja)
Kunywa Forever Lite Ultra Kijiko kimoja changanya na maji 10 Oz au skimmed milk

DINNER
12:30-7:00 Jioni
Kunywa Garcinia vidonge 2
Subiri dakika 20
Kunywa Aloevera gel(4oz) na maji angalau glass moja
Kula Vyakula vyepesi,Mf Matango,Apples,

USIKU
2:30-3:00 Usiku
Kunywa Aloevera gel(4oz) na maji angalau glass moja

NOTE:
Kunywa Maji Mengi Uwezavyo ni muhimu sana katika hatua hii ya Kutengeneza mwili wako

SIKU YA 3 -9

BREAKFAST
12:00 Asb
Kunywa Garcinia 2(Subiri dakika 20)
12:20Asb
Kunywa Aloevera gel(4oz)
Kunywa Forever Therm(kidonge kimoja)
(Na angalau glass moja ya maji)
Kunywa Forever Lite Ultra Kijiko kimoja changanya na maji 10 Oz au skimmed milk

12:30-7:00Asb
Fanya mazoezi mepesi kwa angalau Dakika 30(Tembea,Endesha Baiskeli,Ogelea,Kimbia)

SNACK
3:00 Asb
Kula paketi moja ya Forever Fibre(Changanya na glass moja ya Maji au Kinywaji kingine)

LUNCH
6:30-7:00 Mchana
Kunywa Garcinia vidonge 2
maji angalau glass moja
Kunywa Forever Therm(kidonge kimoja)
Kunywa Forever Lite Ultra Kijiko kimoja changanya na maji 10 Oz au skimmed milk

(AU Kula chakula kisichozidi Carolies 300,Hii itaanza kukuandaa kuingia kwenye program ya pili ya FIT 1

DINNER
12:30-7:00 Jioni
Kunywa Garcinia vidonge 2
maji angalau glass moja
Kula Vyakula vyepesi,Mf Matango,Apples,Mapeazi,maberry,figs,strawberry,Zabibu,spinach,nyanya nk( Vyakula visizidi Carolies 600)


(Kati ya siku ya 3-8 Wanaume wanaweza kula chakula mpaka cha Carolies 800,au baada ya chakula cha Carolies 600 wanaweza kunywa na Forever Lite Utra)

USIKU
2:30-3:00 Usiku
Kunywa maji angalau glass moja

NOTE
Kama utapendelea chakula cha mchana kikawa usiku na usiku kuwa mchana kwa siku ya 3-9 unaweza kufanya hivyo.

Namba zangu: 0719 700 745, 0677 368 220.

1477551433270.jpg
 
Back
Top Bottom