1. Kiti kimoja kirefu
2. Viti viwili vya kuzunguka kwa ajili ya kunyolea
3.machine mbili moja mpya kabisa na ingine imetumika kidgo
4. Kabineti ya alumium na vioo kwa ajli ya kuwekea vipodozi
5...
Salaam wadau...nauza hiyo mashine (defeathering machine/plucker),nimeitumia kidogo.Inatumia umeme na inanyonyoa kuku 6 mpaka 8 kwa sekunde 30 tu.Nauza kwa Tsh laki 4 tu.Ipo dar.Kwa mawasiliano...
EBENEZA Academy Center (E.A.C), inatoa kozi ya kiingereza cha kuongea na kuandika kwa mbinu za kisasa,makini na asili.
Vilevile tunafundisha kusoma watu wasiojua, chekechea kwa watoto wadogo, na...
Wadau nimechoka kuishi nyumba za kupanga,nahitaji kujenga nyumba yangu ASAP. Najua jukwaani humu wanafika wataalam waliobobea kuchora ramani za nyumbani.Nahitaji ramani simple ya vyumba...
Nauza T-shirt za size mbalimbali; ainabalimbali kwa bei ya round T-shirt in 10;000 na polo T-shirt ni 17000. Popote ulipo mzigo unakufikia
Cc: ladyfurahia
Wadau habari zenu:
Kuna bwana nafanya nae biashara fulani ,sasa kuna kimzigo nilimpa lakini mambo yake hayajakaa sawa sasa anashughulika kuuza tairi za magari,
kwa uungwaana tu kaniambia nipeleke...
Ipad 2 for sale
Condition: Almost New.... No scratches...ipo kwenye box lake kabisa
Cellular (Inaingiza Sim card) And WiFi
Storage:64GB
Price:tsh. 450,000/=(negotiable)
Call/text /whatsapp...
Tunatoa huduma ya ku-deliver pacels ,documents au mzigo wowote hapa Dar es salaam.
Bei zetu ni ndogo mno ukilinganisha na bei za makampuni mengine , kwa wanasheria ambao mnapenda kutuma document...
Jipatie meza ya tv kwa bei ya sh 400000 kwa mawasilino piga 0713449460/0755206666^0784449460 au fika dukani kwangu maeneo ya njia panda ya kilakala na kichangani mkoani morogoro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.