Mcheki huyo mama Ana heka 3 kibaha, km chache kutoka morogoro road, 0654 686 700wadau natafuta mashamba yawe eka moja na zaidi maeneo ya kibaha,kibamba,
mpigi magoe na maeneo jirani ya hayo
wadau natafuta mashamba yawe eka moja na zaidi maeneo ya kibaha,kibamba,
mpigi magoe na maeneo jirani ya hayo
Specifications zote hizi, muda wote uliotumia, fursa na sifa zote ulizomwaga hapa; still you wanna dispose this piece of land probably at a throw away price!nina shamba la heka 15 maeneo ya horohoro Tanga. liko kilomita sita kabla ya kufika mpaka wa horohoro, ni kilomita 65 toka Tanga mjini na.kilomita 100 kuelekea Mombasa. Kwenye shamba hilo nimechimba lambo kubwa la maji na kuna nyumba ya vyumba vitatu, kuna banda kubwa.la kuwwza kuweka kuku wasiopungua 600 kwa mpigo. mazao yanayokubali hapo ni tikiti, bamia, pilipili aina zote, tango, karanga, kunde nk. kuna water pump kubwa ya maji. Ukiwa na nguvu ni kufanya.drip irrigation. nitafute kwa namba 0764475317. shamba liko mita 300 pembeni ya barabara kubwa ya lami Tanga-Mombasa.
Specifications zote hizi, muda wote uliotumia, fursa na sifa zote ulizomwaga hapa; still you wanna dispose this piece of land probably at a throw away price!
Do you know how it worth having a kinda asset like this one?
Have you just imagined how it will be valued after say 5yrs to come?! Then what was the motive behind thinking of acquiring it? How about the extra miles you have gone?