Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 6,003
- 10,992
Nyanya wa mke wa rais amekufa na ameisha zikwa mwanza.akiwa na umri wamiaka 82 na wajukuu zaidi ya 20. Mazishi tayari mke wa rais yupo uko.
Mh raisi alikuwa tait sanaaaa ameshindwa kufika, ila nadhani ccm watakuwa wametuma mwakilishi wa raisi.
Pole mh raisi kwa kufiwa
Mh raisi alikuwa tait sanaaaa ameshindwa kufika, ila nadhani ccm watakuwa wametuma mwakilishi wa raisi.
Pole mh raisi kwa kufiwa