Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu,nahitaji kujua bei za tanks za kutunzia maji na ni tank gani ni bora kati ya Kiboko na Polytanks!!!
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Wakuu kuna jamaa yangu anauza kiwanja chake tabata segerea kabla ya daraja la majumba sita kuria, kiko takribani meter 150 kutoka barabarani Hakina hati ukubwa ni kama 20 by 20 Kwa anayehitaji...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Kiwanja kinauzwa, kipo kibaha, eneo viziwaziwa, kinaukubwa wa 25 kwa 30 (mita), bei million 2 fixed. 0766120777
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Infinity works, tunatengeneza madirisha, milango, partition za ofisi, maduka ya madawa, makabati kwa kutumia alluminium. Tumehamishia ofisi toka tegeta kwa ndevu kwa sasa tuko tegeta njia ya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari. Nauza stand za tv na redio. Ni imara na zinastahimili uzito na zinapatikana dodoma west chinangali karibu na hijra au chama kubwa (ccm) kwa bei ya shilingi elfu 60 (60000) nitafute kwa...
0 Reactions
3 Replies
11K Views
Tunapangisha nyumba ya kujitegemea Arusha maeneo ya sekei ina kila kitu. Ina room 3 vikubwa moja ina dining, choo cha ndan, jiko, dining..0755661541.kodi ni 350000 kwa mwezi.
0 Reactions
3 Replies
796 Views
Heka 300 zipo eneo zuri lenye rutuba na maji bei Ni 25mil.mazungumzo yapo shamba lipo kitongoji cha lunyele,kijiji cha mtetema kata ya mpepo wilaya ya nyasa . Miji ya karibu Ni mbinga na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Infinix X554
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Kiwanja kinauzwa Eneo: kipo MWANZA- KISHIRI. Ukifika kishiri unashuka sehemu inaitwa Chadema, ukishuka ili kukikuta Kiwanja unatembea dk 15. Kiwanja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni msaada nitapata wapi machujio ya asali yanayoweza kuchuja asali fasta, kuna asali yangu hapa nimenunua ndoo nzima lakini siwezi kuichuja
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tecno C9 350000 Tecno j8 330000 Tecno c8 270000 Tecno pad8 11 370000 Tecno l8 plus 240000 Tecno w4 180000 Tecno w3 170000 Tecno w3lit 180000 Tecno y2 100000 Samsung j2 270000 Samsung j1ice...
2 Reactions
47 Replies
11K Views
Kiwe na Hati Natafuta Kiwanja kuanzia tangibovu hadi ununio nikimaanisha ukanda huu wa beach. Taja bei ya muuzaji upige hela kuliko kuweka bei za udalali Chenye ofa nzuri kitazingatiwa Call...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mwanzoni niliwahi kusema dawa ya kutibu nguvu za kiume duniani haipo, au ipo isipokuwa ni chakula tu na kuishi maisha bora ndio suluhisho pekee na msimamo wangu haukubadilika. Nilipoona...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wakuu. Moja ya kazi za mwalimu ni kusahihisha(marking) na kupanga matokeo. Okoa muda wa kufanya zoezi hili kwa kutumia Ms excell iliyoratibiwa ambapo wewe utarekodi Jina na marks tu za...
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Sasa unaweza pata WEBSITE &BLOG kwa Bei NAFUU. Utapata HOSTING ya mwaka na DESIGN ya uhakika kuanzia 150,000/= kwa mwaka mzima, tuna uzoefu wa kutengeneza WEB BASED SYSTEM na mobile Apps...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunatoa mikopo kw watumishi/wafanyakazi wa serikali dr es slaam kwanzia laki mbili mpka million kumi. Malipo ni kwanzia miezi sita mpaka miaka mitano. Riba yetu ni 18% kwa mwaka. Masharti ni uwe...
1 Reactions
0 Replies
607 Views
Kwa mahitaji ya second hand(used) containers tunawakaribisha kuwasiliana nasi. kontena ziko katika hali nzuri na utapewa documents zote including TRA receipt. location; New National Building 1st...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
tunatengeneza paving brick kwa tsh. 150 na kuzipanga kila moja kwa tsh. 150 gharama hiyo pamoja na landscaping na mashine ya kushindilia (compactor machine) tufollow instagram hibiscus interior...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Refractometer : kwa ajili ya kupimia juisi, wine, tomato sauce etc inarange ya 0-30 degree brix: Bei 350000 Mzani mdogo...range kuanzia 0.001g-50 gm kwa ajili ya kupimia preservatives na food...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom