Wakuu kuna jamaa yangu anauza kiwanja chake tabata segerea kabla ya daraja la majumba sita kuria, kiko takribani meter 150 kutoka barabarani
Hakina hati
ukubwa ni kama 20 by 20
Kwa anayehitaji...
Infinity works, tunatengeneza madirisha, milango, partition za ofisi, maduka ya madawa, makabati kwa kutumia alluminium.
Tumehamishia ofisi toka tegeta kwa ndevu kwa sasa tuko tegeta njia ya...
Habari.
Nauza stand za tv na redio. Ni imara na zinastahimili uzito na zinapatikana dodoma west chinangali karibu na hijra au chama kubwa (ccm) kwa bei ya shilingi elfu 60 (60000) nitafute kwa...
Tunapangisha nyumba ya kujitegemea Arusha maeneo ya sekei ina kila kitu. Ina room 3 vikubwa moja ina dining, choo cha ndan, jiko, dining..0755661541.kodi ni 350000 kwa mwezi.
Heka 300 zipo eneo zuri lenye rutuba na maji bei Ni 25mil.mazungumzo yapo
shamba lipo kitongoji cha lunyele,kijiji cha mtetema kata ya mpepo wilaya ya nyasa . Miji ya karibu Ni mbinga na...
Kiwe na Hati
Natafuta Kiwanja kuanzia tangibovu hadi ununio nikimaanisha ukanda huu wa beach. Taja bei ya muuzaji upige hela kuliko kuweka bei za udalali
Chenye ofa nzuri kitazingatiwa
Call...
Mwanzoni niliwahi kusema dawa ya kutibu nguvu za kiume duniani haipo, au ipo isipokuwa ni chakula tu na kuishi maisha bora ndio suluhisho pekee na msimamo wangu haukubadilika.
Nilipoona...
Habari wakuu.
Moja ya kazi za mwalimu ni kusahihisha(marking) na kupanga matokeo. Okoa muda wa kufanya zoezi hili kwa kutumia Ms excell iliyoratibiwa ambapo wewe utarekodi Jina na marks tu za...
Sasa unaweza pata WEBSITE &BLOG kwa Bei NAFUU.
Utapata HOSTING ya mwaka na DESIGN ya uhakika kuanzia 150,000/= kwa mwaka mzima, tuna uzoefu wa kutengeneza WEB BASED SYSTEM na mobile Apps...
Tunatoa mikopo kw watumishi/wafanyakazi wa serikali dr es slaam kwanzia laki mbili mpka million kumi. Malipo ni kwanzia miezi sita mpaka miaka mitano. Riba yetu ni 18% kwa mwaka. Masharti ni uwe...
Kwa mahitaji ya second hand(used) containers tunawakaribisha kuwasiliana nasi. kontena ziko katika hali nzuri na utapewa documents zote including TRA receipt.
location; New National Building 1st...
tunatengeneza paving brick kwa tsh. 150 na kuzipanga kila moja kwa tsh. 150 gharama hiyo pamoja na landscaping na mashine ya kushindilia (compactor machine) tufollow instagram hibiscus interior...
Refractometer : kwa ajili ya kupimia juisi, wine, tomato sauce etc inarange ya 0-30 degree brix: Bei 350000
Mzani mdogo...range kuanzia 0.001g-50 gm kwa ajili ya kupimia preservatives na food...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.