clinton gidioni
Senior Member
- Oct 24, 2016
- 172
- 194
Habari wanajamii forum nyumba inauzwa mbagara mwanamtoti Pia iko karibu na barabara na gari linafika hadi nyumbani.
NYUMBA INASIFA ZIFUATAZO.
- ina umeme
- ina maji (maji sio ya chumvi)
-nyumba imesha sakafiwa pia ina tiles na gypsum kwa juu.
-nyumba ina vyumba vinne vya kulala ina jiko ina stoo ina vyoo viwili cha nje na cha ndani.
Pia ipo karibu na barabara ya kuelekea mbagara kuu.
NYUMBA INA NYARAKA ZOTE. BEI NI SH 55M MAONGEZI YAPO.
Karibuni sana njoo PM KWA MAWASILIANO ZAIDI
NYUMBA INASIFA ZIFUATAZO.
- ina umeme
- ina maji (maji sio ya chumvi)
-nyumba imesha sakafiwa pia ina tiles na gypsum kwa juu.
-nyumba ina vyumba vinne vya kulala ina jiko ina stoo ina vyoo viwili cha nje na cha ndani.
Pia ipo karibu na barabara ya kuelekea mbagara kuu.
NYUMBA INA NYARAKA ZOTE. BEI NI SH 55M MAONGEZI YAPO.
Karibuni sana njoo PM KWA MAWASILIANO ZAIDI