Nyumba inauzwa Mbezi Luis

Nyumba inauzwa Mbezi Luis

stephot

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2012
Posts
17,745
Reaction score
27,223
Nyumba kubwa yenye vyumba 2 vya kulala inauzwa Mbezi Luis,kimoja ni master na kimoja ni cha kawaida,ina sitting room,dinning,jiko,choo na bafu ndani,pia ina garage ya gari iliounganika na nyumba.Upande wa nyuma kuna vyumba 2,kimoja kina sitting room,chumba cha kulala ,choo na bafu,na kimoja kipo chenyewe kinajitegemea.Pia kuna mabanda 3 makubwa ya kufugia.Bei ni mil.110 maongezi yapo.Kwa mawasiliano piga 0655880429.
 

Attachments

  • IMG-20161107-WA0015.jpg
    IMG-20161107-WA0015.jpg
    82.3 KB · Views: 59
  • IMG-20161107-WA0016.jpg
    IMG-20161107-WA0016.jpg
    122.5 KB · Views: 59
  • IMG-20161107-WA0017.jpg
    IMG-20161107-WA0017.jpg
    109.7 KB · Views: 55
  • IMG-20161107-WA0018.jpg
    IMG-20161107-WA0018.jpg
    148.3 KB · Views: 55
  • IMG-20161107-WA0019.jpg
    IMG-20161107-WA0019.jpg
    102.2 KB · Views: 49
  • IMG-20161107-WA0020.jpg
    IMG-20161107-WA0020.jpg
    149.8 KB · Views: 51
  • IMG-20161107-WA0022.jpg
    IMG-20161107-WA0022.jpg
    153.9 KB · Views: 47
  • IMG-20161107-WA0023.jpg
    IMG-20161107-WA0023.jpg
    131.6 KB · Views: 44
  • IMG-20161107-WA0025.jpg
    IMG-20161107-WA0025.jpg
    75.5 KB · Views: 46

Similar Discussions

Back
Top Bottom