Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za leo ndugu zangu. Nina mzigo wa spare ya TVS King ( wengi tumezoea kuziita Bajaj) aina ya Minor Kit (Rubber za Master) kama zilivyo zoeleka mtaani. Nina pieces 500 kwa sasa na nauza kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
kama unaitaji kiwanja , magari aina zote , nyumba mahali popote usiogope kuntafuta upate uepec katika kuvipata piga namba 0628353336 au 0719702658 au 0682281995
0 Reactions
0 Replies
960 Views
Hbr za majukumu wadau, nina mpango wa karibuni wa kununua water pump kwa ajili ya kurahisisha Kilimo cha umwagiliaji, nalima ekari 2, chanzo cha Maji ni mto. Mtu mmoja akanishauri nianze na water...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jipatie kitanda cha 5 kwa 6 kwa shilingi 160000 tu. Kinapatikana dodoma west chinangali karibu na hijra au chama kubwa (ccm). Nitafute kwa nambari 0764858251 au 0689922279
0 Reactions
7 Replies
7K Views
- Nabadilisha mikanda/tape za vhs kwenda mfumo wa digital yani kuziweka kwenye memory au dvd e.g. mikanda ya maharusi, vipaimara, etc (vhs tapes to modern digital video conversion...store in...
4 Reactions
3 Replies
593 Views
Nilinunua friji yangu aina ya candy kubwa mtumba nikaiwasha kwa 3 month bila tatizo shida niliyoiona ni thermostat ilikuwa hijizimi na kuwaka kama nyngn, tatizo limejitokeza baada ya kuizima...
0 Reactions
9 Replies
615 Views
jipatie memory card zenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu kabisa na upewe warrant ya miezi 12, 4gb-7,000 8gb-10,000 16gb-14,000 kwa wanaohitaji jumla na rejareja pia napatikana mwanza,mikoani...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji Computer yenye Ram GB 8 nakuendelea kiufupi yenye uwezo mzuri iwe mpakato kwa matumizi upande wa Vidéo Editing.
0 Reactions
0 Replies
650 Views
Nahitaji Computer yenye Ram GB 8 nakuendelea kiufupi yenye uwezo mzuri iwe mpakato kwa matumizi upande wa Vidéo Editing.
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu,nahitaji kujua bei za tanks za kutunzia maji na ni tank gani ni bora kati ya Kiboko na Polytanks!!!
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Wakuu kuna jamaa yangu anauza kiwanja chake tabata segerea kabla ya daraja la majumba sita kuria, kiko takribani meter 150 kutoka barabarani Hakina hati ukubwa ni kama 20 by 20 Kwa anayehitaji...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Kiwanja kinauzwa, kipo kibaha, eneo viziwaziwa, kinaukubwa wa 25 kwa 30 (mita), bei million 2 fixed. 0766120777
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Infinity works, tunatengeneza madirisha, milango, partition za ofisi, maduka ya madawa, makabati kwa kutumia alluminium. Tumehamishia ofisi toka tegeta kwa ndevu kwa sasa tuko tegeta njia ya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari. Nauza stand za tv na redio. Ni imara na zinastahimili uzito na zinapatikana dodoma west chinangali karibu na hijra au chama kubwa (ccm) kwa bei ya shilingi elfu 60 (60000) nitafute kwa...
0 Reactions
3 Replies
11K Views
Tunapangisha nyumba ya kujitegemea Arusha maeneo ya sekei ina kila kitu. Ina room 3 vikubwa moja ina dining, choo cha ndan, jiko, dining..0755661541.kodi ni 350000 kwa mwezi.
0 Reactions
3 Replies
796 Views
Heka 300 zipo eneo zuri lenye rutuba na maji bei Ni 25mil.mazungumzo yapo shamba lipo kitongoji cha lunyele,kijiji cha mtetema kata ya mpepo wilaya ya nyasa . Miji ya karibu Ni mbinga na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Infinix X554
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Kiwanja kinauzwa Eneo: kipo MWANZA- KISHIRI. Ukifika kishiri unashuka sehemu inaitwa Chadema, ukishuka ili kukikuta Kiwanja unatembea dk 15. Kiwanja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni msaada nitapata wapi machujio ya asali yanayoweza kuchuja asali fasta, kuna asali yangu hapa nimenunua ndoo nzima lakini siwezi kuichuja
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom