Viwanja maeneo mbalimbali ya Goba lakini hakuna kilichombali 4km kutoka barabara ya Goba-massana
kwa ukubwa tofauti tofauti
Kwa mawasiliano
Call/Whatsapp
0719573444
Bei ni tsh laki moja tu Kwa heka
Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea.
Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe
Kwa mahitaji wasiliana nami kwa simu namba 0764426929 na whatsap...
KWA MARA YA KWANZA TANZANIA
Tsh 678,000
[emoji392]4G
[emoji161]Metal case
[emoji328]Kamera ya mbele 5MP
[emoji328]Kamera ya nyuma 13MP
[emoji332]16GB memory [emoji336]5.0inches...
Jamani nilikuwa naomba kwa member yeyote wa jf ambaye ana full infos kuhusu landmark hotel amabayo sasa imegeuzwa kuwa hostel.....accomodations fee pamoja na other expenses infos please
Nina eneo kama hekali 5 huko Mbondole hapa DSM. Nataka kulitumia eneo hilo kwa ajili ya ufugaji pamoja na kilimo cha mboga mboga. Natafuta mtu/Kampuni ambayo itanifanyia tathmini ya matumizi ya...
Salama wana jamvi. Natufuta kampuni ndogo ya IT ( creative, software development ilioanzishwa na graduates. Iwe ana wateja tayari wa uhakika na walue iwe imeweza ku breakeven kimapato. Ni-pm kwa...
Nauza kiwanja eneo la kibada Block 7,kina ukubwa wa squremeter 1350 kimepakana na eneo la NSSF,Kimepimwa na kina hati,anae hitaji tafadhali ani PM au awasiliane kwa namba 0654274004.
Listing by: Bestates Properties +255786157788
Tunapenda kuwatangazia wananchi wote raia wa Tanzania, mwendelezo wa uuzaji viwanja kwa bei nafuu kwa kuzingatia viwango vya serikali.
Hati...
Are you looking for a job? Or you want to make a career change? With many oil and gas projects are coming online and the petroleum sector expanding at a rapid pace, so the oil and gas sector is...
Desktop yangu ilikufa motherboard nikaamua ninunue PC mpya, nimebaki na vifaa vya ndani so kama unataka kuzipa kazi tena HDD na RAM ya 2GB(Micron MT8JTF25664AZ-1G6M1 1Rx8 PC3-12800U) nishtue...
Aloe vera gel ni kinywaji cha asili ambacho kimetengenezwa na mmea wa aloe vera kina virutubisho vyote ambavyo mwili unahitaji kila siku
Weekend watu tumekula vyakula mbalimbali na vinywaji...
habarini za saaa hizi . kutokana na shughuli ambayo nimefungua sehemu nahitaji mayai ya kisasa ambayo yana lishe nzuri.. yawe makubwa na yenye kiini cha njano. nimeshawah kaa mkoa flan nlikuwa...
Mko poa mjengoni, ndoto yangu ni kuwa na gari mwaka huu na ninapenda harrier ama Brevis kiwango changu ni milioni 12. Je ubora na matumizi ya mafuta ukoje? Naomba ushauri wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.