Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza samaki sato na sangara jumla na rejareja hapa jijini Dar. Natafuta tenda za samaki eneo lolote Dar, mahotelini, maofisini, mashuleni na hata kwa wafanyabiashara wa reja reja (wenye mabucha...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Natafuta nyumba ya double rooms self contained. Bajeti: 100,000 kwa mwezi Kama wewe ni mwenye nyumba na una nyumba yenye sifa nilizotaja hapo juu tafadhali wasiliana nami kupitia: Simu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wadau,nahitaji mtu yeyote mwenye chumba chakupangisha kuanzia maeneo ya ubungo stand ya mkoa mpaka big brother kikiwa mabibo ni vizuri sana...bei kuanzia shilling 40 - 50 naomba ni PM...
1 Reactions
1 Replies
656 Views
Habari? Nahitaji chumba cha biashara maeneo ya Magomeni au Manzese... Bei isizidi 50,000/= kwa mwezi. Njoo pm au nitumie text hapa 0766444050(whatsapp only) Asante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mganga halisi anayejua mambo ya mapenzi na biashara anahitajika sasa hivi. Tafadhali asikuwe ni tapeli. Tumechoshwa na matapeli
1 Reactions
11 Replies
2K Views
haijatumika sana bdo mpyaaaaaaaa Bei ni 2m sina maelezo sana chombo kinajieleza Mawasiliano ni 0625499022 nitxt Whatsap 0657445777 ... Npo dar manzese.....
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Karibuni JEWS CONSTRUCTION inapatikana Kerege na Bunju. Tuna supply vifaa vya ujenzi. Tume establish kiwanda cha matofali kilichopo Kerege na Bunju. Tunatoa tofali zenye ubora wa hali ya juu...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
JE VIDONDA VYA TUMBO LIMEKUWA NI TATIZO SUGU KWAKO? Piga/Whatsapp: +255 719 700 745 na/au +255 677 368 220. Yawezekana umepata tatizo la Vidonda vya Tumbo na kusumbuka kwa Muda mrefu. Njoo...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Karibun tupo arusha 0755661541. Wakuu jiko linatumia mkaa kidogo sana na inasave kwa asilimia 50-60 kwa matumizi yako...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari wakuuuu.................... kama ilivvo hapo juu nauza laptop aina ya hp bei 380000 hard disk 500gb ram 2gb
0 Reactions
3 Replies
982 Views
Habar za asubuh wakuu, nauza printer ya color ina scan, print na copy. Bei ni 500000. Karibuni 0755661541
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jamani mwenye kuuza starlet ya kuanzia milioni mbili anijuze
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Bei ni tsh laki moja tu Kwa heka Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe Kwa mawasiliano zaidi npigie 0764426929,0655726929 na 0742188846...
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Habari za leo ndugu zangu. Nina mzigo wa spare ya TVS King ( wengi tumezoea kuziita Bajaj) aina ya Minor Kit (Rubber za Master) kama zilivyo zoeleka mtaani. Nina pieces 500 kwa sasa na nauza kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
kama unaitaji kiwanja , magari aina zote , nyumba mahali popote usiogope kuntafuta upate uepec katika kuvipata piga namba 0628353336 au 0719702658 au 0682281995
0 Reactions
0 Replies
960 Views
Hbr za majukumu wadau, nina mpango wa karibuni wa kununua water pump kwa ajili ya kurahisisha Kilimo cha umwagiliaji, nalima ekari 2, chanzo cha Maji ni mto. Mtu mmoja akanishauri nianze na water...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jipatie kitanda cha 5 kwa 6 kwa shilingi 160000 tu. Kinapatikana dodoma west chinangali karibu na hijra au chama kubwa (ccm). Nitafute kwa nambari 0764858251 au 0689922279
0 Reactions
7 Replies
7K Views
- Nabadilisha mikanda/tape za vhs kwenda mfumo wa digital yani kuziweka kwenye memory au dvd e.g. mikanda ya maharusi, vipaimara, etc (vhs tapes to modern digital video conversion...store in...
4 Reactions
3 Replies
593 Views
Nilinunua friji yangu aina ya candy kubwa mtumba nikaiwasha kwa 3 month bila tatizo shida niliyoiona ni thermostat ilikuwa hijizimi na kuwaka kama nyngn, tatizo limejitokeza baada ya kuizima...
0 Reactions
9 Replies
615 Views
Back
Top Bottom