Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunauza pilipili hoho kwa jumla na rejareja. Shamba lipo Mkuranga, tuna uhakika wa kuvuna magunia 20 yenye kilo 100 kila wiki. Unaweza kuletewa mahali ulipo au ukanunulia shambani. Pia kama una...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HABARI ZENU WAKUU NATAFUTA SIM AINA YA BLACKBERRY Q20 (CLASSIC) MPYA AU USED KAMA KUNA WADAU WANAFAHAMU ZINAPOPATIKANA NA0MBA MNIFAHAMISHE TAFADHALI
1 Reactions
2 Replies
591 Views
Techno C5 inahitjika mwenye nayo ani Pm please niko dsm
0 Reactions
4 Replies
711 Views
Wakuu naomba anaejua studio nzuri inayopiga picha za kawaida na kuedit maeneo tajwa anisaidie, Sihitaji picha nyingi ni mbili tatu tu nzuri. Asante.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Haina shida yeyote ni nzimA na haijatumika muda sana Laki moja na ishirini tyuuu Kama unaitaka nicheki 0625563813
0 Reactions
1 Replies
656 Views
Haina shida yeyote Ipo kwenye good condition 120,000/tsh ony nichek 0625563813
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Timiza ndoto zako kwa kupata Gari nzuri kwa bei poa sh 5700000 piga no 0715 877933
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NNISSAN MITSUOKA VIEWT,YEAR 2000, CC 1000,KM 140,000.PETROL. BBEI MILLION 12 MAONGEZI YAPO
0 Reactions
5 Replies
855 Views
Tunauza pilipili hoho kwa jumla na rejareja. Shamba lipo Mkuranga, tuna uhakika wa kuvuna magunia 20 yenye kilo 100 kila wiki. Unaweza kuletewa mahali ulipo au ukanunulia shambani. Pia kama una...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza laini za Tigo pesa na vodacom bei nitafute 0713 877933
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwa mkazi wa Arusha anayehitaji nymba ya kupanga maeneo ya Engosheratoni, Vyumba viwili,jiko na choo ni vya nje, Umeme ni wa solar,Maji yapo karibu tu na hapo nyumbani, Bei ni maelewano...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ya vyumba viwili vya kulala kimoja master, sebule na jiko inauzwa salasala, ipo kwenye kiwanja chenye ukubwa wa 20m x 20m, haina hati, bei ni Tshs. 30,000,000/= kwa anayehitaji anaweza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nyumba ya vyumba viwili, kimoja masta, jiko na sebule inauzwa salasala, imo kwenye kliwanja chenye ukubwa wa 20m x 20m, haina hati, bei Tshs. 30,000,000/- kama unahitaji tafadhali piga simu namba...
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Habari wadau,ninauza vifaa vya stationary kwa bei nafuu kabisa,kama kuna mtu anahitaji tuwasiliane kwa PM. Vipo Morogoro mjini.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wakuu, kwa mahitaji ya vifaa vya umeme
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu Naomba kujua bei ya injini iliyotumika yenye maelezo haya injini ni ya Toyota, 1JZ D4D vvti. Naje inauzwa ikiwa pamoja na gearboz au injini pekee? Wasalaam
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Android phones nzuri kabisa zinauzwa kwa bei ya Promosheni. Inatumia line 2 Front and Back camera available. MTK MT6735 processor ARM® Cortex®-A53™ 1.0GHz x 4 1GB RAM 4GB ROM...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari bwana jf, kwema? Kama kuna mwenyekuuza lain ya mpesa, Mimi hapa nahitaji kununua kwa ajili ya biashara, Niko tabata dsm, napatikana kwa namba 0717267751, offer yangu ni tsh 150,000
0 Reactions
2 Replies
688 Views
MWENYE ESCUDO OLD MODEL KWA BEI HIYO ANITAFUTE SASA HIVI ,IWE AUTOMATIC
0 Reactions
1 Replies
741 Views
Huduma imesitishwa
0 Reactions
2 Replies
843 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…