Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

AFYA YA NGOZI (CHUNUSI). Kuna baadhi ya watu wenye changamoto ya CHUNUSI, hazitaki kuisha katika ngozi zao...hii huweza kutokana na kwamba tatizo liko ndani ya mwili ila wewe unatumia bidhaa za...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Natafuta gari aina ya noah kwa milioni saba nitatoa milioni tatu na nusu cash na baada ya miezi sita nitamalizia milioni tatu na nusu. Mwenye nayo wasiliana nami kupitia +255753868912
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wana jf nauza nokia lumia 525 ipo katika hali nzuri Simu ina gb 7 za ndani pia uta pata na ofa ya memory ya 2 gb. Ina kreki kido kwenye kioo ila ukitaka na kioo kipya unabadilishiwa...
0 Reactions
1 Replies
752 Views
Watu wengi wenye nyumba zenye madirisha ya alluminium wanapata tatizo la mbu kujaa ndani. Hili linatokana na sababu zifuatazo. 1. Nyavu kuchoka na na kuwa na matundu makubwa. 2. Mafundi kutoweka...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Natafuta smartphone ya shilingi elfu hamsini please mwenye anayo ani PM
1 Reactions
6 Replies
832 Views
Natafuta Microsoft wireless keyboard and mouse plzz nichek kama unazo. Contact 0719210905
0 Reactions
0 Replies
474 Views
Kutoka mbeya sisi ni wasambazaji wa bidhaa mbalimbali kama: mchele halisi wa kyela na kamsamba kuanzia kg2, kg5, kg 10 na kg20 maharage kuanzia kg2, kg5, kg 10 na kg20 unga wa sembe na dona...
0 Reactions
5 Replies
939 Views
Natafuta smartphone ya shilingi elfu hamsini please mwenye anayo ani PM
0 Reactions
1 Replies
658 Views
Nauza techno Y6 mpya haina tatizo lolote sh.130000/=haina tatizo mimi nataka kubadilisha tu simu,bei pungufu tunaongea. Ni dm plz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SALE SALE SALE ....nguo zote leo ni 35000 tupigie cm number 0754242888 Kwa picha zaidi go follow @beachbebas @beachbebas
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya kufungiwa electric fence, CCTV, Spy and Hidden cameras na vifaa vyote vya ulinzi karibu REVELATION SECURITY SERVICES COMPANY
0 Reactions
0 Replies
680 Views
Habarini wana jamii forum, samahani naomba msaada nina shida ya vifungashio vya products zangu ambazo ni mafuta ya kujipaka sasa sijajua ni kiwanda gani wanaweza kunitengenezea maana nahitaji...
1 Reactions
5 Replies
8K Views
CISCO SYSTEMS catalyst 3750 series 48 ports " catalyst 3550 series 24 ports " catalyst 5505 series 8 ports & CENTRAL NETWORK CONTROLLER CONTACT...
0 Reactions
0 Replies
546 Views
7,000/= 4,500/= None Alcoholic 6,000/=
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari, Naomba kwa yeyote mwenye uelewa wa kupata chumba/hostel jirani na shule ya sheria anijuze. Natanguliza Shukrani!
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Gali tajwa inauzwa Mwaka 2003 Cc 1500 Km 60000 Bei 10m(maongez ypo) Call 0762295954
0 Reactions
5 Replies
1K Views
husika na kichwa ya habar apo juu.Naomba kuuliza dukan w4 tecno ni sh ngap??? ahsante.Nawasilisha
1 Reactions
1 Replies
611 Views
Lipo umbali wa kilometers 13 kutoka Barabara ya lami Linauzwa million 25 zipo hekali 52 Linapatikana njombe ktk kijiji cha iboya Kwa mawasiliano zaidi npigie 0764426929,0655726929 na whatsap...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza Mira screen kwa ajili kwa ajili ya kusupport simu au laptop kwenda big tv screen .ipo full HD 1080 wale wazee wa mobdro na games etc hii itawafaa bei ni 60000 tuu offer kwa jamii forum...
0 Reactions
1 Replies
792 Views
Back
Top Bottom