AFYA YA NGOZI (CHUNUSI).
Kuna baadhi ya watu wenye changamoto ya CHUNUSI, hazitaki kuisha katika ngozi zao...hii huweza kutokana na kwamba tatizo liko ndani ya mwili ila wewe unatumia bidhaa za...
Natafuta gari aina ya noah kwa milioni saba nitatoa milioni tatu na nusu cash na baada ya miezi sita nitamalizia milioni tatu na nusu.
Mwenye nayo wasiliana nami kupitia +255753868912
Habari wana jf nauza nokia lumia 525 ipo katika hali nzuri
Simu ina gb 7 za ndani pia uta pata na ofa ya memory ya 2 gb.
Ina kreki kido kwenye kioo ila ukitaka na kioo kipya unabadilishiwa...
Watu wengi wenye nyumba zenye madirisha ya alluminium wanapata tatizo la mbu kujaa ndani.
Hili linatokana na sababu zifuatazo.
1. Nyavu kuchoka na na kuwa na matundu makubwa.
2. Mafundi kutoweka...
Kutoka mbeya sisi ni wasambazaji wa bidhaa mbalimbali kama:
mchele halisi wa kyela na kamsamba kuanzia kg2, kg5, kg 10 na kg20
maharage kuanzia kg2, kg5, kg 10 na kg20
unga wa sembe na dona...
Habarini wana jamii forum, samahani naomba msaada nina shida ya vifungashio vya products zangu ambazo ni mafuta ya kujipaka sasa sijajua ni kiwanda gani wanaweza kunitengenezea maana nahitaji...
Lipo umbali wa kilometers 13 kutoka Barabara ya lami
Linauzwa million 25 zipo hekali 52
Linapatikana njombe ktk kijiji cha iboya
Kwa mawasiliano zaidi npigie 0764426929,0655726929 na whatsap...
Nauza Mira screen kwa ajili kwa ajili ya kusupport simu au laptop kwenda big tv screen .ipo full HD 1080 wale wazee wa mobdro na games etc hii itawafaa bei ni 60000 tuu offer kwa jamii forum...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.