Nauza laini za Tigo pesa na M-pesa

Nauza laini za Tigo pesa na M-pesa

Hahaha nimekuelewa mkuu sh 450000 kwazote
Ukiwa na line ya tigo pesa na mpesa mtaji unatakiwa kuwa nao sh ngapi?huwa zinauzwa sh ngapi huko kwenye makampuni?kwa ni ni unaziuza usijeuzia mtu matatizo yako mkuu!
 
Ukiwa na line ya tigo pesa na mpesa mtaji unatakiwa kuwa nao sh ngapi?huwa zinauzwa sh ngapi huko kwenye makampuni?kwa ni ni unaziuza usijeuzia mtu matatizo yako mkuu!
napunguza lini zipo nyingi na mm nimehamishwa kitengo usimamizi shida
 
utalipa hiyo 150 nitakudai 20000 pia nimekutumia sms kwenye no yako
SMS nimeiona nikakujibu kwa voda, angalia inbox yako, kama 150, 000 inakulipa niletee nikupe, kwa 170 000 hapana siwezi
 
Back
Top Bottom