Eneo lenye square metre 900 linauzwa kigamboni mwembe mdogo.
Eneo halijapimwa ila lina docunents za serikali ya mtaa.
Bei 18 mils.mhusika namba yake ni 0688151545
Kwa anayehitaji ampgie huyo...
HABARI WAKUU.
Ulimwengu wa biashara hauhitaji wataalamu wa kuinstall na kuitumia system.Bali wanahitaji wataalamu wanaoweza kukaa chini na wateja na kuwasikiliza mahitaji yao, kuchambua namna...
Nauza nyumba ipo mbagara.
Nyumba ina sifa zifuatazo.
-ina umeme
-ina maji ( maji yanapanikana nyumbani kabisa ya bomba)
-kwa ndani ina gypsum
-Nyumba ina tiles(malumalu) kwe chini.
-NYUMBA INA...
Nina million 1 naomba mwenye pikipiki aina ya boxar ambayo ipo kwenye hali nzur aniuzie,kama unayo nicheki 0753 90 31 90,
A-iwe kwenye hali poa maana kabla ya ununuzi ukaguzi muhimu.
B- iwe ni...
Nauza nyumba ipo mbagara sabasaba mwanamtoti karibu na shule ya sekondari ya st antony.
Nyumba ina sifa zifuatazo.
-ina umeme
-ina maji ( maji yanapanikana nyumbani kabisa ya bomba)
-kwa ndani...
Kama wewe unauza vitu USED hivi hapa tuwasiliane !!!Kwa bei nzuri
Flat screen
Kitanda cha kulalia
TV stand
Godoro confy
Meza ndogo ya kioo
Sofa ndogo
Mahali popote kama unaflat lakini n...
Habari waungwana..
Kama heading inavyojieleza.
Ninahitaji mtu wa kuweza kunipatia mayai ya kuku kuanzia tray 30 ambazo ni mahitaji ya siku moja na kuendelea. Nipo tiyari kuchukua kiasi...
Kwa yeyote anaehitaji smartphone.. Kuna samsung galaxy note 3 inauzwa, iko katika hali nzuri sana, Bei ni 300,000.......Bei inaweza ikapungua.... Kwa yeyote anaehitaji, whatsapp 0714132075..
Nyumba iko maeneo ya kona ya mbauda jijini Arusha, stend ya mirongo, ziko mbili, moja self, na nyingine ya vyumba vitatu kwenye uwanja mmoja, mita 50 kutoka barabara ya Oljoro, maji na umeme...
Habar wapendwa nauza car wash machine inayotumia umeme. Mashine ni mpya sana dhumun la kuuza ni kwamba imekosa msimamiz hivyo nimeamua kuuza bei inaanza laki 4..!! Nichek kupitia...
NYUMBA YA VYUMBA 3 VITATU VYA KULALA, SITTING ROOM, DINING, KITCHEN AND STORE INAPANGISHWA. NYUMBA INA FENCE YA UKUTA NA GETI. KWA MAWASILIANO 0768 079190 0652-209552.
Kama kichwa cha habari kinavo elekeza wana jamii naomba msaada wa kupata connection ya Mayai kwa bei ya kupoza poza kidogo nihitaji trei 1000 kila wiki msaada wadau nipo dar 0715 856687
Nikon D3200 24.2 MP CMOS Digital SLR with 18-55mm f/3.5-5.6 Auto Focus-S DX VR NIKKOR Zoom Lens (Black)...Price 400 USD...
haina begi lake original na kifuniko cha lens hapo mbele..vingine vyote...
Nyanya wa mke wa rais amekufa na ameisha zikwa mwanza.akiwa na umri wamiaka 82 na wajukuu zaidi ya 20. Mazishi tayari mke wa rais yupo uko.
Mh raisi alikuwa tait sanaaaa ameshindwa kufika, ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.