Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Eneo lenye square metre 900 linauzwa kigamboni mwembe mdogo. Eneo halijapimwa ila lina docunents za serikali ya mtaa. Bei 18 mils.mhusika namba yake ni 0688151545 Kwa anayehitaji ampgie huyo...
0 Reactions
0 Replies
668 Views
HABARI WAKUU. Ulimwengu wa biashara hauhitaji wataalamu wa kuinstall na kuitumia system.Bali wanahitaji wataalamu wanaoweza kukaa chini na wateja na kuwasikiliza mahitaji yao, kuchambua namna...
1 Reactions
0 Replies
646 Views
Infinity works, wataalamu wa kutengeneza bidhaa za aluminium. Tunapatikana tegeta njia ya wazo. 0620775877/0758358580
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza nyumba ipo mbagara. Nyumba ina sifa zifuatazo. -ina umeme -ina maji ( maji yanapanikana nyumbani kabisa ya bomba) -kwa ndani ina gypsum -Nyumba ina tiles(malumalu) kwe chini. -NYUMBA INA...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Nina million 1 naomba mwenye pikipiki aina ya boxar ambayo ipo kwenye hali nzur aniuzie,kama unayo nicheki 0753 90 31 90, A-iwe kwenye hali poa maana kabla ya ununuzi ukaguzi muhimu. B- iwe ni...
0 Reactions
0 Replies
575 Views
Nauza nyumba ipo mbagara sabasaba mwanamtoti karibu na shule ya sekondari ya st antony. Nyumba ina sifa zifuatazo. -ina umeme -ina maji ( maji yanapanikana nyumbani kabisa ya bomba) -kwa ndani...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama wewe unauza vitu USED hivi hapa tuwasiliane !!!Kwa bei nzuri Flat screen Kitanda cha kulalia TV stand Godoro confy Meza ndogo ya kioo Sofa ndogo Mahali popote kama unaflat lakini n...
0 Reactions
2 Replies
971 Views
Wakuu..mwenye psp iliyo katika hali nzuri,aniuzie..namba yangu 0658327429...dsm
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Habari waungwana.. Kama heading inavyojieleza. Ninahitaji mtu wa kuweza kunipatia mayai ya kuku kuanzia tray 30 ambazo ni mahitaji ya siku moja na kuendelea. Nipo tiyari kuchukua kiasi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa yeyote anaehitaji smartphone.. Kuna samsung galaxy note 3 inauzwa, iko katika hali nzuri sana, Bei ni 300,000.......Bei inaweza ikapungua.... Kwa yeyote anaehitaji, whatsapp 0714132075..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nyumba iko maeneo ya kona ya mbauda jijini Arusha, stend ya mirongo, ziko mbili, moja self, na nyingine ya vyumba vitatu kwenye uwanja mmoja, mita 50 kutoka barabara ya Oljoro, maji na umeme...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Habar wapendwa nauza car wash machine inayotumia umeme. Mashine ni mpya sana dhumun la kuuza ni kwamba imekosa msimamiz hivyo nimeamua kuuza bei inaanza laki 4..!! Nichek kupitia...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Natafuta fliji ya lakimoja mwenyenalo anijulishe
0 Reactions
0 Replies
786 Views
NYUMBA YA VYUMBA 3 VITATU VYA KULALA, SITTING ROOM, DINING, KITCHEN AND STORE INAPANGISHWA. NYUMBA INA FENCE YA UKUTA NA GETI. KWA MAWASILIANO 0768 079190 0652-209552.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu nawasalimu, mwenye mtungi wa gesi ya kupikia 30 kg awasiliane nami 0713 758165. Nipo Dar
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Kama kichwa cha habari kinavo elekeza wana jamii naomba msaada wa kupata connection ya Mayai kwa bei ya kupoza poza kidogo nihitaji trei 1000 kila wiki msaada wadau nipo dar 0715 856687
0 Reactions
2 Replies
721 Views
Kama kuna mtu anaweza kunipatia mayai kwa bei poa ajitokeze tufanye biashara. Nina malengo wa kufungua frem ya mayai kwa jumla.
0 Reactions
1 Replies
928 Views
Nikon D3200 24.2 MP CMOS Digital SLR with 18-55mm f/3.5-5.6 Auto Focus-S DX VR NIKKOR Zoom Lens (Black)...Price 400 USD... haina begi lake original na kifuniko cha lens hapo mbele..vingine vyote...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nyanya wa mke wa rais amekufa na ameisha zikwa mwanza.akiwa na umri wamiaka 82 na wajukuu zaidi ya 20. Mazishi tayari mke wa rais yupo uko. Mh raisi alikuwa tait sanaaaa ameshindwa kufika, ila...
0 Reactions
2 Replies
759 Views
Back
Top Bottom