Nauza mitungi ya Mihan gas 6kg kwa bei ya sh 70000 ukiwa kamili na Regulator, Burner, na Trivet, yaani wewe ni kuchukua na kupikia tu.
Napatikana Kongowe-Kibaha. Ukiwa maeneo ya Kibaha unaletewa...
appoh 19:59 Today
nauza
samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 10000 kwa pea
serfin more
shiling 10000 kwa pea
orange more shiling 10000 kwa pea...
Gari inauzwa, ni suzuki vitara yenye engine ya V6 manual. Haidaiwi popote. Body/engine vipo katika hali nzuri. Bei ni 5m. For serious buyers, pls tuwasiliane!
Natafuta mteja wa air condition nimeitumia kwa mieezi mtatu tu. Nimeacha kuitumia baada ya kufunga biashara yangu ya Saloon ya kike.
Kwa hiyo nimeamua kufungua aina nyingime ya biadhara ambayo...
Wakuu wa nchi Natumaini mnaendelea vizuri na huu mwendo kasi ,
Nina mpango wa kuhamia Dodoma na Nina scania tipper mende kwa ajili ya biashara yaani kubebea mchanga .Naomba kuuliza kama Kuna mtu...
BEST HD Spy Wrist Watch 8GB Video Recorder Hidden Camera Waterproof Camcorder
PRICE TSH 140000=
Contact: Only serious buyer may call/ whatsuApp )0765428633 [emoji95]ONYO USIWEKE NAMBA YAKO SIMU...
Kiwe katika maeneo ambayo tayari yameendelezwa, maeneo ambayo watu wameshajenga au ujenzi unaendelea...na kiwanja kiwa na hati miliki. Kiwanja kiwe na ukubwa usiopungua 1000 square meters. Kama...
Shamba linauzwa liko Kiegea, karibu na Tungi Estate - Manispaa ya Morogoro
Lina ukubwa wa heka 10, Bei Milioni 16 (mazungumzo yapo)
Mawasiliano: 0712263764
Brands kati ya LG, Samsung au Star-X, mpya au used. Offer yangu ni sh. 600,000/= Hakikisha sio copy ya brand nilizo zitaja. Njoo PM naamini tutafikia makubaliano.
Vizuri ikiwa na HDMI port 2 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.