Msaada:Photo studio maeneo ya Ubungo mpaka Mwenge

Msaada:Photo studio maeneo ya Ubungo mpaka Mwenge

NDESSA

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2013
Posts
1,946
Reaction score
1,801
Wakuu naomba anaejua studio nzuri inayopiga picha za kawaida na kuedit maeneo tajwa anisaidie,
Sihitaji picha nyingi ni mbili tatu tu nzuri.
Asante.
 
Pale ubungo kiwandani Urafiki Getini upande Wa kushoto mwa geti kuu LA kuingilia kiwandani
 
nenda stand ya makumbusho lango la kutokea kuna jengo lina tizamana na lango hilo kwa ndan uwani kuna studio kubwa na vifaa murua lakin hawana bango nadhan wana kwepa ushuru cjui lakin huenda saiv lime wekwa pia bei zao n cheaap
 
mwenge stand ya zamani pale kwenye mti mkubwa ambapo zilkuwa zinapaki gari za goms kuna jm photo studio wapo vzr sana
 
Kituo cha daladala cha mawasiliano ,opp na geti la kutokea daladala , bei zao ni cheap sana .more info ni pm
 
pale ubungo stendi mpya kule mawasiliano ipo studio inaitwa dotpic
 
Back
Top Bottom