Kiwanja kipo eneo zuri na karibu na barabara Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam. Kina ukubwa wa 20*20 mita, bei milioni 20 tu, maelewano yapo. PM kwa biashara.
Chanika Mjini(Videte)
50Ft X 50Ft,
Bei: 4.5M.
Umeme na Maji hapo hapo.
0.6Kms kutoka Barabara ya Lami.
1.7Kms toka Chanika Stand.
Pamepimwa kienyeji vizuri sana.
Kiwanja #29 & #30 Bado...
Nauza viwanja Moshi (Kawawa,Uchira,Mabungo, Pumwani,barabara ya Kilema )
viwanja vipo vya kuanzia mill 2 vyenye maji tu vipo pia vya kuanzia mill 4 vilivyo karibu na kila kitu barabara ya lami...
Wadau naombe nahitaji miche ya miembe iliyoboreshwa nahitaji kupanda bagamoyo na mkuranga. nataka kampuni mahususi sio wale wa pembezon mwa barabara wanauza miche isiyo na ubora, asanten
Kiwanja chenye ukubwa wa ekeri 4 (squire meter 16690) kinauzwa kiko kunduchi mtongani kinapakana na bahari ya hindi.
bei ni dola 1.8 mil($1.8 MIL)
Kimepimwa na kina hati na kiko ndani ya...
Wakuu kiwanja kinauzwa Mbezi kwa Msumi.
Ukubwa ni 20 kwa 20.
Bei, kinaanzia milioni 5 (kwa mnunuaji mazungumzo yatazingatiwa)
Kiwanja kipo eneo tambarare na kipo jirani kabisa na barabara,pia...
MODEL YA MWAKA 2000
IMETEMBEA KILOMITA 52000
4 CYLINDER
BEI YA KUUZA 15.5 MILION
KWA WALE WATAKAJI AMBAO NI SERIOUS TUWASILIANE KUPITIA # 0715591141..DSM
MacBook Pro
13 inch
Core i5
RAM 4GB
HDD 500GB
Intel HD Graphics 4000 1536MB
Processor Speed 2.5GHz
OS X EL Capitan Version 10.11.3
Clean Condition
Location: Dar es salaam
PRICE: 1.36M...
Kwa mtu yyte mwenye taarfa yyte anisaidie nahitaj chumba maeneo ya magomeni mapipa...
Najiandaa kujiunga na chuo cha D I T hivyo nilihitaj huduma hiyo ya makaazi maeneo ya mapipa t...ahsanteni...
Habari.
Tunapokea ORDERS kwaajili ya Tractor Kongwe 'original' aina ya MASSEY FERGUSON 1080.
Zitakazowasili Nchini December 2016.-
*Zitashushiwa Zanzibar.
Ni diesel engine, zenye uwezo wa...
NAITAJI CHUMBA CHA KUPANGA MAENEO YA SAABA SABA AU KWA AZIZI ALI AU MTONGANI AU UFUNDI BEI 40000 AU 50000 LAKINI MWENYE NYUMBA ANISAIDIE NMPATIE ELA NUSU BAADA MWEZI MMOJA NAMALIZIA PESA YAKO KAMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.