Ninahitaji kampuni inayo fanya shughuli ya utafiti na uchimbaji maji.
Kazi zinazo takiwa kufanyika:
1. Kufanya survey na kushauri,
2. Kuchimba Kisima.
Asante. Josam
Salaam wadau..natafuta Wafanyakazi wa kusaidiana nao kazi kwenye mini super market iliyopo Kunduchi Ununio.1 wa kile na 1 wa kiume..sifa ni kama ifuatavyo:
1.Awe anakaa maeneo ya karibu ili...
Eneo lenye square metre 900 linauzwa kigamboni mwembe mdogo.
Eneo halijapimwa ila lina docunents za serikali ya mtaa.
Bei 18 mils.mhusika namba yake ni 0688151545.
Anayehitaji ampigie
Over
Natafuta mashine ya kukamulia juisi ya miwa. Iwe kubwa (for big commercial project) yenye rollers kuanzia 4 au 5 na kuendelea. Kama unamfahamu mtu anayeuza au zinakopatikana msaada tafadhali...
kifaa cha kupaa samaki. Usisumbuke tena kapaa samaki wako kwa kutumia kisu na kukupotezea muda wa kupika. bei 15,000..piga 0718520552..Tupo Magomeni-dar..mkoani tunatuma
TUNAUZA #VIFARANGA Na #MAYAI YA KUKU AINA YA #KUROILER.
1.Tunaunza Mayai kwa ajili ya kutotolesha ya kuku aina ya Kuroiler. Tray ni sh 18,000.
2.Tunauza Vifaranga wa Kuroiler @ 2500/= ( kwa...
TUNAUZA #VIFARANGA Na #MAYAI YA KUKU AINA YA #KUROILER.
1.Tunaunza Mayai kwa ajili ya kutotolesha ya kuku aina ya Kuroiler. Tray ni sh 18,000.
2.Tunauza Vifaranga wa Kuroiler @ 2500/= ( kwa...
Deki nzuri kutoka UK original zinapitakana kwa bei poa fika ofisini kwetu ilala boma mtaa wa arusha au piga Namba 0715 856687
NB:Deki ni special for flat TV
Tupigie kuweka oda yako na mkoani...
NYUMBA ya kupanga mjini Iringa inahitajika haraka sana. Sifa zake ni vyumba viwili na sebule kimoja. Nyumba iwe kati ya Wilolesi , Lugalo, Kihesa , Mkwawa, Gangilonga , Ilala ,Frelimo, Makorongoni...
kifaa cha kupaa samaki. Usisumbuke tena kapaa samaki wako kwa kutumia kisu na kukupotezea muda wa kupika. bei 15,000..piga 0718520552..Tupo Magomeni-dar..mkoani tunatuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.