Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

natafuta mtu anayehitaji tushare ofisi, ofisi iko kariakoo msimbazi kongo anayehitaji anifate pm
1 Reactions
3 Replies
725 Views
Ninahitaji kampuni inayo fanya shughuli ya utafiti na uchimbaji maji. Kazi zinazo takiwa kufanyika: 1. Kufanya survey na kushauri, 2. Kuchimba Kisima. Asante. Josam
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu natafuta nyumba ya kununua DSM ofa Yangu isizidi 30mil. 0754459572
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Salaam wadau..natafuta Wafanyakazi wa kusaidiana nao kazi kwenye mini super market iliyopo Kunduchi Ununio.1 wa kile na 1 wa kiume..sifa ni kama ifuatavyo: 1.Awe anakaa maeneo ya karibu ili...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Bei za leo tu... Sd Memory Card 16gb - 15,000 32gb - 25,000 64gb - 50,000 Call: 0655659115
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Nahitaji malori tipper zile semitrailer kwa ajili ya kaz ya kubeba gypusm kwa maelezo zaidi njoo inbox..
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Eneo lenye square metre 900 linauzwa kigamboni mwembe mdogo. Eneo halijapimwa ila lina docunents za serikali ya mtaa. Bei 18 mils.mhusika namba yake ni 0688151545. Anayehitaji ampigie Over
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Ina Master bedroom moja,Bedroom moja ya kawaida, Sebule, Jiko na Choo cha public na parking ya magari. Kwa maelezo zaidi nicheki Pm
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natafuta mashine ya kukamulia juisi ya miwa. Iwe kubwa (for big commercial project) yenye rollers kuanzia 4 au 5 na kuendelea. Kama unamfahamu mtu anayeuza au zinakopatikana msaada tafadhali...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
kifaa cha kupaa samaki. Usisumbuke tena kapaa samaki wako kwa kutumia kisu na kukupotezea muda wa kupika. bei 15,000..piga 0718520552..Tupo Magomeni-dar..mkoani tunatuma
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Natumaini ni wazima wana JF..... Kwa wauzaji wa mashine za kukamua miwa au yeyote anayefahamu bei za hizo mashine tafadhali naomba bei zake.
1 Reactions
2 Replies
992 Views
TUNAUZA #VIFARANGA Na #MAYAI YA KUKU AINA YA #KUROILER. 1.Tunaunza Mayai kwa ajili ya kutotolesha ya kuku aina ya Kuroiler. Tray ni sh 18,000. 2.Tunauza Vifaranga wa Kuroiler @ 2500/= ( kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
TUNAUZA #VIFARANGA Na #MAYAI YA KUKU AINA YA #KUROILER. 1.Tunaunza Mayai kwa ajili ya kutotolesha ya kuku aina ya Kuroiler. Tray ni sh 18,000. 2.Tunauza Vifaranga wa Kuroiler @ 2500/= ( kwa...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Mpgie 0688151545
2 Reactions
24 Replies
7K Views
Kwa yeyote mwenye body ya Suzuki carry tuonane
0 Reactions
1 Replies
674 Views
Deki nzuri kutoka UK original zinapitakana kwa bei poa fika ofisini kwetu ilala boma mtaa wa arusha au piga Namba 0715 856687 NB:Deki ni special for flat TV Tupigie kuweka oda yako na mkoani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NYUMBA ya kupanga mjini Iringa inahitajika haraka sana. Sifa zake ni vyumba viwili na sebule kimoja. Nyumba iwe kati ya Wilolesi , Lugalo, Kihesa , Mkwawa, Gangilonga , Ilala ,Frelimo, Makorongoni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta lens za saiz mbalimbali kwa dar naweza pata maeneo gani?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kifaa cha kupaa samaki. Usisumbuke tena kapaa samaki wako kwa kutumia kisu na kukupotezea muda wa kupika. bei 15,000..piga 0718520552..Tupo Magomeni-dar..mkoani tunatuma
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habar za humu wakuu ninauza mashine ya kuoshea magar bei kuanzia laki 3.5 ila pia maelewano yapo.. nichek kupitia 0712268339 au 0767563949
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom