Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kipo eneo zuri na karibu na barabara Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam. Kina ukubwa wa 20*20 mita, bei milioni 20 tu, maelewano yapo. PM kwa biashara.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Cm bd n mpya kabisa 390,000 Contact 0719210905
0 Reactions
8 Replies
830 Views
Chanika Mjini(Videte) 50Ft X 50Ft, Bei: 4.5M. Umeme na Maji hapo hapo. 0.6Kms kutoka Barabara ya Lami. 1.7Kms toka Chanika Stand. Pamepimwa kienyeji vizuri sana. Kiwanja #29 & #30 Bado...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza viwanja Moshi (Kawawa,Uchira,Mabungo, Pumwani,barabara ya Kilema ) viwanja vipo vya kuanzia mill 2 vyenye maji tu vipo pia vya kuanzia mill 4 vilivyo karibu na kila kitu barabara ya lami...
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Msiwe na wasi wasi watanzania...tuko salama na ulinzi wa kutosha hizo ni fataki tuu wala sio mabomu....kuweni na amani
0 Reactions
3 Replies
801 Views
Nahitaji gari iliyotumika, iwe haidaiwi na TRA kodi zote ziwe sawa 0626658983
0 Reactions
2 Replies
978 Views
Ndugu wadau naomba kufahamu. Je, ni kampuni lipi ambalo linatoa huduma ya kuuza magari kwa installments?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naombe nahitaji miche ya miembe iliyoboreshwa nahitaji kupanda bagamoyo na mkuranga. nataka kampuni mahususi sio wale wa pembezon mwa barabara wanauza miche isiyo na ubora, asanten
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Natafuta simu janja kali..bajeti yangu 200k kama unayo Tecno c8. Ni pm tufanye biashara..
0 Reactions
3 Replies
920 Views
tecno m 3 inauzwa ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote bei ni nafuu sana TSH 50000 mawasiliano 0756817931 nipo gongo la mboto dar es salaam
0 Reactions
2 Replies
948 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa ekeri 4 (squire meter 16690) kinauzwa kiko kunduchi mtongani kinapakana na bahari ya hindi. bei ni dola 1.8 mil($1.8 MIL) Kimepimwa na kina hati na kiko ndani ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu kiwanja kinauzwa Mbezi kwa Msumi. Ukubwa ni 20 kwa 20. Bei, kinaanzia milioni 5 (kwa mnunuaji mazungumzo yatazingatiwa) Kiwanja kipo eneo tambarare na kipo jirani kabisa na barabara,pia...
0 Reactions
0 Replies
893 Views
MODEL YA MWAKA 2000 IMETEMBEA KILOMITA 52000 4 CYLINDER BEI YA KUUZA 15.5 MILION KWA WALE WATAKAJI AMBAO NI SERIOUS TUWASILIANE KUPITIA # 0715591141..DSM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MacBook Pro 13 inch Core i5 RAM 4GB HDD 500GB Intel HD Graphics 4000 1536MB Processor Speed 2.5GHz OS X EL Capitan Version 10.11.3 Clean Condition Location: Dar es salaam PRICE: 1.36M...
0 Reactions
6 Replies
887 Views
Iphone 7gold.32gb. 2.5 million.- iphone 6s gold.1.2million And iphone 6s silver. 1 million all for sale call now. @ 0713836150 or wats app.
0 Reactions
0 Replies
438 Views
Kwa mtu yyte mwenye taarfa yyte anisaidie nahitaj chumba maeneo ya magomeni mapipa... Najiandaa kujiunga na chuo cha D I T hivyo nilihitaj huduma hiyo ya makaazi maeneo ya mapipa t...ahsanteni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari. Tunapokea ORDERS kwaajili ya Tractor Kongwe 'original' aina ya MASSEY FERGUSON 1080. Zitakazowasili Nchini December 2016.- *Zitashushiwa Zanzibar. Ni diesel engine, zenye uwezo wa...
0 Reactions
2 Replies
873 Views
Samsung galaxy tab 3 lite sm-t110 inauzwa pamoja na charger yake.. imetumika miez sita haina tatizo lolote.. bei 350,000... pm kwa serious buyer..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NAITAJI CHUMBA CHA KUPANGA MAENEO YA SAABA SABA AU KWA AZIZI ALI AU MTONGANI AU UFUNDI BEI 40000 AU 50000 LAKINI MWENYE NYUMBA ANISAIDIE NMPATIE ELA NUSU BAADA MWEZI MMOJA NAMALIZIA PESA YAKO KAMA...
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Back
Top Bottom