kadinali JM
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 379
- 305
Habari bwana jf, kwema? Kama kuna mwenyekuuza lain ya mpesa, Mimi hapa nahitaji kununua kwa ajili ya biashara, Niko tabata dsm, napatikana kwa namba 0717267751, offer yangu ni tsh 150,000
Shida ni kwamba inawezekana ukanunua lain mkoa mmoja na kufanyia biashara mkoa mwingine?Me ninayo BT npo kigoma ntakuuzia kwa 120000 check me 0764616353