Nauza kiwanja kipo Chanika Dar Es Salaam.

Nauza kiwanja kipo Chanika Dar Es Salaam.

Madihani

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6,326
Reaction score
7,529
Habari wana Jf.

Nauza kiwanja kipo Chanika jirani na mtaa wa Ngwale.

Ukubwa ni mita 15*15,,bei ni 2.7mil,,maelewano yapo.

Kiwanja hakina hati,huduma mhimu kama barabara na umeme vipo.

Umbali ni 1.0Kms kutoka barabara ya lami ya Chanika.

Sababu ya kuuza ni shida ya pesa ili kutatua matatizo mengine.

Kuhusu mawasiliano naomba tuwasiliane PM kwa wanaohitaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom