Pata kiwanja dsm kwa bei poa

Pata kiwanja dsm kwa bei poa

Genchi

Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
95
Reaction score
48
Kwa wale waliochelewa kupata ile offer ya kiwanja kwa bei safi wahi sasa kwan vimebaki vichache,,
Viwanja vipo kilwa road MWANDEGE ( mbele ya mbagala)
ni nyuma ya kiwanda cha tajir BAKHRESA mji unaitwa CHATEMBO,
Kwa ukubwa wa kipimo cha futi 50×50 unapata kwa thamani ya tsh mil.3 tu,
Usafir kutoka mbagala upo,
Woote mnakaribishwa
Kwenda kuona ni buree!!!
0683 775566,
0714 775566.
 
umbali gani toka kwa baresa?au mmepakana ukuta na kiwanda?? hatutumii futi tunatumia mita kwenye viwanja
 
Kwa wale waliochelewa kupata ile offer ya kiwanja kwa bei safi wahi sasa kwan vimebaki vichache,,
Viwanja vipo kilwa road MWANDEGE ( mbele ya mbagala)
ni nyuma ya kiwanda cha tajir BAKHRESA mji unaitwa CHATEMBO,
Kwa ukubwa wa kipimo cha futi 50×50 unapata kwa thamani ya tsh mil.3 tu,
Usafir kutoka mbagala upo,
Woote mnakaribishwa
Kwenda kuona ni buree!!!
0683 775566,
0714 775566.
Pale sio DSM, ni Pwani wilaya ya Mkuranga.
 
Back
Top Bottom